Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

BARRICK YAPELEKA TABASAMU KWA WAATHIRIKA WA MAAFA YA MVUA MUSOMA

Written by Alex Sonna
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi (kulia), akisikiliza maelezo ya msaada huo kutoka kwa Meneja Mahusiano wa Mgodi wa Dhahabu wa North Mara, Francis Uhadi.
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi (aliyevaa suti ya kijivu) na Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Juma Chikoka (aliyevaa shati jeupe), wakifurahia picha ya pamoja na wawakilishi wa Mgodi wa Dhahabu wa North Mara na wakandarasi wakati wa makabidhiano ya msaada uliotolewa na mgodi huo kwa ajili ya waathirika wa maafa ya mvua mjini Musoma leo Aprili 17, 2025.
————————————
 
Na Mwandishi Wetu, Musoma
 
Mgodi wa Dhahabu wa North Mara kwa kushirikiana na baadhi ya wakandarasi wanaofanya nao kazi, umetoa msaada fedha taslimu na bidhaa mbalimbali kwa ajili ya wananchi walioathiriwa na maafa ya mvua katika mji wa Musoma.
 
Mgodi huo umekabidhi shilingi milioni 45.2, saruji mifuko 200 na magodoro 20 kwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi mjini Musoma leo Aprili 17, 2025.
 
Msaada huo kutoka Barrick umekuja wiki chache baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kutoa shilingi milioni 100 kwa ajili ya kugharamia mahitaji ya kibinadamu ya wakazi wa mji wa Musoma walioathiriwa na mvua kubwa iliyoambatana na kimbunga hivi karibuni.
Akizungumza mbele ya timu ya wafanyakazi kutoka mgodi wa North Mara ikiongozwa na Meneja Mahusiano, Francis Uhadi na msaidizi wake, Nasieku Kisambu, Kanali Mtambi ameushukuru mgodi huo na wakandarasi hao kwa msaada huo.
 
Kiongozi huyo amesema anaona fahari mkoa huo kuwa na wawekezaji kama Barrick wanaojali maisha ya watu wenye uhitaji kama kampuni.
 
“Ninawashukuru sana Barrick na wadau wengine. Huu ndio Utanzania, na mimi kama Mkuu wa Mkoa najisikia fahari kwa uwepo wenu. Siwezi kupata maneno mazuri ya kuelezea shukrani zangu kwa sababu hali ya waathirika ilikuwa mbaya sana,” amesema.
 
Mgodi wa Dhahabu wa North Mara uliopo Halmashauri ya Wilaya ya Tarime unaendeshwa na kampuni ya Barrick kwa ubia na Serikali ya Tanzania kupitia kampuni ya Twiga Minerals.
 
Kanali Mtambi ameahidi kushirikiana na kamati husika kuhakikisha kuwa msaada huo kutoka Barrick unawafikia walengwa kwa ukamilifu.
 
Kwa mujibu wa Kanali Mtambi, baadhi ya waathirika wa maafa hayo wamekamilishiwa mahitaji na wengine bado wanahitaji misaada mbalimbali ya kibinadamu.
 
Kanali Mtambi amefafanua kuwa waliokamilishiwa mahitaji muhimu ni pamoja na wazee wasiojiweza, wakiwemo waliojengewa nyumba za makazi.
 
Amesema miundombinu ya umeme na barabara iliyoharibiwa na mvua hiyo imeshafanyiwa matengenezo na kurejeshwa katika hali ya kawaida.
 
Awali, Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Juma Chikoka amesema mvua iliyoambatana na kimbunga iliezua paa za majengo ya makazi ya watu, biashara na taasisi mbalimbali, zikiwemo shule za msingi, kituo cha polisi, msikiti na kuharibu baadhi ya miundombinu ya umeme na barabara.
 
Aidha, watu wachache waliripotiwa kujeruhiwa katika tukio hilo, kwa mujibu wa Chikoka.



About the author

Alex Sonna