Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

rekabet

matbet

maxwin, maxwin giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

redwin

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

lisanslı casino siteleri

jojobet

holiganbet

jojobet

betpark

maxwin

jojobet

marsbahis

ultrabet giriş

lunabet

jojobet

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

piabellacasino

ultrabet

piabellacasino

piabellacasino

kulisbet

betlike

artemisbet

piabellacasino

jojobet giriş

mavibet

casinoroyal

artemisbet

hdabla

doeda

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

maxwin giriş

matbet

dinamobet giriş

casibom

casibom

betkolik

goldenbahis

casibom

goldenbahis

casibom

kalebet

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

luxbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

jojobet

royalbet

jojobet

betface

betface

pashagaming

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

avrupabet

betsat

betpark giriş

vdcasino

jojobet

casibom

betsat

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

Featured Kitaifa

WAZIRI MASAUNI AWAANDALIA FUTARI WABUNGE, AWASHURUKU KWA USHIRIKIANO

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Yusuf Masauni akizungumza wakati wa Iftar aliyowaandalia Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za Maji na Mazingira pamoja na Utawala, Katiba na Sheria kushiriki Iftar aliyoandaa jijini Dodoma Machi 24, 2025.

….

Ofisi ya Makamu wa Rais imesema ushirikiano inaoupata katika Kamati za Kudumu za Bunge umekuwa nguzo katika kuimarika kwa Muungano na usimamizi endelevu wa hifadhi ya mazingira nchini.

Hayo yamebainishwa Machi 24, 2025 jijini Dodoma na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Yusuf Masauni wakati wa IFTAR aliyoiandaa kwa Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za Maji na Mazingira pamoja na Utawala, Katiba na Sheria.

Mhe. Masauni amesema katika kipindi cha miaka mitano sasa, kamati hizo  zimekuwa mhimili muhimu katika kusimamia wajibu wake kupitia maelekezo mbalimbali kwa Menejimenti ya Ofisi ya Makamu wa Rais katika namna bora ya kuimarisha utendaji kazi wenye tija.

“Sote tunatambua namna ya utendaji kazi wetu unavyoimarika, tunazishukuru kamati za Bunge kwa namna zilivyoweza kufanya kazi zake kwa weledi wa hali ya juu na namna inavyopata mrejesho na  ushirikiano kutoka kwa menejimenti ya Ofisi ya Makamu wa Rais” amesema Waziri Masauni. 

Mhandisi Masauni amesema Ofisi ya Makamu wa Rais inajivunia weledi wa kamati hizo katika kusimamia wajibu wake wa kikatiba ambao umeiwezesha Ofisi ya Makamu wa Rais kushughulikia kwa kasi na mafanikio makubwa hoja za masuala ya Muungano na Mazingira zilizowasilishwa katika vikao vya kamati na mikutano ya Bunge.

Ameeleza kuwa Viongozi, Menejimenti na watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais wapo tayari kutoa ushirikiano wowote unaohitajika katika kufanikisha utekelekezaji wa majukumu ya kamati ili kuweza kufikia malengo iliyojiwekea katika kuhudumia wananchi.

“Menejimenti ya Ofisi ya Makamu wa Rais imeendelea kufanya kazi nzuri sana. Nipo Bungeni kwa zaidi ya miaka 15 sasa na moja ya mambo yanayodhihirisha utendaji wa Ofisi hii ni namna wanavyoshughulikia hoja za Muungano ambazo kwa sasa zimebaki hoja 3 kutoka hoja 25 za awali” amesema Mhandisi Masauni.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira, Mhe. Jackson Kiswaga amesema kamati hiyo itaendelea kusimamia kwa karibu utekelezaji wa majukumu Ofisi ya Makamu wa Rais ili kuleta tija iliyokusudiwa.

“Tumeendelea kulisema hili kila wakati kuwa katika kipindi hiki kifupi, Ofisi hii imeendelea kutoa ushirikiano mkubwa kwa kamati katika kutekeleza majukumu yake……Tunaahidi kufanya kazi muda wote usiku na usiku na mchana ili tuweze kufikia malengo tuliyojiwekea” amesema Mhe. Kiswaga.

Naye Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Florent Kyombo amesema Ofisi ya Makamu wa Rais imekuwa Ofisi ya kupigiwa mfano katika Wizara za kisekta katika namna inavyoshirikiana kwa karibu na kamati hiyo katika kutekeleza majukumu na wajibu wa mhimili huo.

“Mmeendelea kuiunganisha vyema kamati na Serikali katika kutekeleza majukumu tuliyonayo, hii ndiyo dhamira ya Viongozi wetu wakuu akiwemo Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan” amesema Mhe. Kyombo.

Awali Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja aliwashukuru wajumbe wa kamati za kudumu za Bunge kwa kutenga muda wao na kujumuika pamoja katika hafla ya Iftar ikizingatiwa wingi wa majukumu waliyonayo katika kipindi hiki ikiwemo maandalizi ya vikao vya mkutano wa Bunge la bajeti.

“Tunawashuru kwa kuweza kujumuika nasi katika Iftar hii ambayo imeandaliwa na Ofisi kwa ajili ya kujumuika pamoja na hii inaonesha ushirikiano mkubwa mnaoendelea kutupatia katika kutekeleleza majukumu yetu” amesema Mhandisi Luhemeja.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Yusuf Masauni akijumuika na Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za Maji na Mazingira pamoja na Utawala, Katiba na Sheria kushiriki Iftar aliyoandaa jijini Dodoma Machi 24, 2025. Kushoto ni Katikati ni Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis na katikati ni Mbunge wa Bukene Mhe. Selemani Zedi.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira Mhe. Jackson Kiswaga akishiriki Iftar iliyoandaliwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Yusuf Masauni kwa ajili ya kamati hiyo pamoja na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria jijini Dodoma Machi 24, 2025.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Yusuf Masauni akizungumza wakati wa Iftar aliyowaandalia Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za Maji na Mazingira pamoja na Utawala, Katiba na Sheria kushiriki Iftar aliyoandaa jijini Dodoma Machi 24, 2025.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Yusuf Masauni (wa pili kulia) akijumuika na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira Mhe. Jackson Kiswaga (wa pili kushoto) na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis kushiriki Iftar aliyoandaa kwa Kamati za Kudumu za Bunge za Maji na Mazingira pamoja na Utawala, Katiba na Sheria jijini Dodoma Machi 24, 2025.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Yusuf Masauni akiteta jamb na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Cyprian Luhemeja wakati wa Iftar aliyoandaa kwa Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za Maji na Mazingira pamoja na Utawala, Katiba na Sheria na Viongozi jijini Dodoma Machi 24, 2025.

Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za Maji na Mazingira pamoja na Utawala, Katiba na Sheria na Viongozi na watendaji Ofisi ya Makamu wa Rais wakishiriki Iftar iliyoandaliwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Yusuf Masauni jijini Dodoma Machi 24, 2025.

About the author

Alex Sonna