marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

tambet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis giriş

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

jojobet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

Grandpashabet

türk ifşa

İkimisli

casinofast

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

celtabet

casino zonder cruks

Featured Kitaifa

MSD  YAKAMILISHA UJENZI WA KIWANDA CHA  KUZALISHAJI  MIPIRA YA MIKONO

Written by Alex Sonna

Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Bw. Mavere Tukai akizungumza na waandishi wa habari leo Machi 17,2025 katika Ofisi za Idara ya Habari – MAELEZO, jijini Dodoma kuhusu mafanikio na mwelekeo wa Bohari ya Dawa katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita.

Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Bw. Mavere Tukai akizungumza na waandishi wa habari leo Machi 17,2025 katika Ofisi za Idara ya Habari – MAELEZO, jijini Dodoma kuhusu mafanikio na mwelekeo wa Bohari ya Dawa katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita.

Na.Alex Sonna-DODOMA

SERIKALI imeiwezesha Bohari ya Dawa  (MSD) kukamilisha ujenzi wa Kiwanda pekee cha kuzalisha mipira ya mikono “Gloves” kilichopo Halmashauri ya Mji Makambako, Mkoani Njombe na kuanza uzalishaji.
Hayo yamesemwa leo Machi 19,2025 na Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Bw. Mavere Tukai,wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio na mwelekeo wa Bohari ya Dawa katika kipindi cha miaka minne chini ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.
Amesema kuwa Kiwanda hicho  kimegharimu a kiasi cha shilingi bilioni 16 kutoka Serikali,  Kiwanda hicho kina uwezo wa kuzalisha wastani wa Gloves milioni 24.4 na kusaidia kukidhi zaidi ya asilimia 60 ya mahitaji ya bidhaa hii nchini na kupunguza uagizaji wa bidhaa hiyo kutoka nje ya nchi.
“Viwanda hivyo kwa sasa vipo chini ya Kampuni Tanzu ya MSD, MSD Medipharm Manufacturing Company Limited ambayo inasimamia Kiwanda cha Mipira ya Mikono Idofi – Njombe, eneo la viwanda la Zegereni – Pwani na Kiwanda cha Barakoa – Dar es Salaam pamoja na viwanda vya bidhaa za Afya zitokanazo na malighafi ya pamba na hivyo kupunguza uagiazaji wa bidhaa zitokanazo na pamba ambazo hugharimu nchini zaidi ya shilingi bilioni 25.”amesema Bw. Mavere
Aidha amesema kuwa hadi kufikia mwezi Februari 2025, Kiwanda kimeweza kuzalisha jumla ya gloves zaidi ya milioni 5.6 zenye thamani ya shilingi bilioni 1.9 ambapo mpaka sasa gloves zenye thamani ya shilingi 709,597,840 zimeshaingizwa sokoni na zitaendelea kuingizwa sokoni. 
“Kutokana na uwepo wa kiwanda hicho , Bohari ya Dawa imeanza mkakati wa kuhimiza uzalishaji wa utomvu nchini wa kiwango kinachostahili ili malighafi zote za kiwanda hicho ziweze kupatikana nchini hivyo kuongeza wigo wa ajira na kupunguza matumizi ya fedha zinazotumika kuagiza malighafi hizo.
“amesema 
Amesema kuwa Mnamo mwezi Oktoba 2024, Kampuni Tanzu ya Bohari ya Dawa inayoitwa MSD 
Medipharm Manufacturing Company Limited ilifanikiwa kusaini makubaliano ya  uzalishaji wa bidhaa za afya kwa njia ya Joint Venture na Kampuni ya Rotabiogen East  Africa inayomilikiwa na Kampuni ya Rotabiogen Egypt ya nchini Misri.
Amesema kuwa lengo  la  kufanya uwekezaji na kuanza uzalishaji wa dawa za binadamu katika eneo la MSD lilipo Zegereni (Industrial Park for health commodities) na hivyo kwa pamoja kuanzisha 
Kampuni inayoitwa ROTAMEDI CO.LTD kwa utekelezaji wa mradi huu.
“Gharama za mradi huu zinatarajia kufika shilingi bilioni 183.3, sawa na Dola za Kimarekani milioni 
72. Utekelezaji wa mradi huu umeanza mwezi Januari 2025 ambapo wataalamu kutoka  Misri wamefika Tanzania na kukagua eneo la mradi na kuchukua taarifa kwa ajili ya  kuanza usanifu wa mradi.”amesema 
Hata hivyo amesema kuwa Viwanda hivyo  vitakapokamilika vitapunguza uagizaji wa bidhaa  za afya kutoka nje ya nchi zenye thamani ya shilingi bilioni 35 kwa mwaka, kutoa mafunzo na ajira kwa Watanzania juu ya uzalishaji wa bidhaa za afya.
Kampuni Tanzu  ya MSD inaendelea kukamilisha uchambuzi wa athari za kimazingira (Enviromental and  Social impact assessment) la eneo la mradi kama inavyoelekezwa na Baraza la  Usimamizi wa mazingira (NEMC).

About the author

Alex Sonna