slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

jojobet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

vdcasino

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

interbahis

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

jojobet

jojobet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

meritking

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

betist

betist

marsbahis

jojobet giriş

matbet

Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU AFUNGUA KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA VETA

Written by Alex Sonna

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza, Joshua Kingu mwanachuo kutoka Chuo cha VETA Kipawa jijini Dar es salaam, fani ya Mekatroniki alipotoa maelezo kuhusu mfano wa kiwanda unaotumika kufundishia,  alipotembelea banda la maonesho la Chuo hicho kabla ya   kufungua Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Utoaji wa Elimu ya Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini  na Miaka 30 ya VETA. Kwenye Kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Machi 18, 2025. 

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wadau wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi nchini watoe mafunzo yanayozingatia mahitaji halisi ya soko la ajira.

“Mahitaji ya soko la ajira tutayajua kwa kufanya tafiti za mara kwa mara kwa ushirikiano kati ya Serikali, sekta binafsi, na mashirika ya kimataifa.”

Ametoa wito huo leo (Jumanne, Machi 18, 2025) katika Maadhimisho ya miaka 30 ya Uanzishwaji wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) yaliyofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere, Dar es Salaam.

Amesema katika zama hizi zenye kasi ya maendeleo ya teknolojia, ni muhimu kwa VETA kuendelea kujiimarisha kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia duniani.

“Toeni mafunzo ya ufundi stadi yanayoendana na mabadiliko ya teknolojia, mafunzo hayo yajumuishe ujuzi wa teknolojia za kisasa zinazochochea uzalishaji wenye tija.”

Akizungumza kuhusu umuhimu wa Elimu ya Ufundi Stadi, Mheshimiwa Majaliwa amesema kuwa takwimu za Shirika la Kazi Duniani (ILO) zinaonesha kuwa takribani asilimia 70 ya ajira zote ni ajira binafsi na kwa watu wenye elimu ya ufundi stadi hasa kwenye sekta za kilimo, ujenzi, usafirishaji, na huduma za kijamii.

“Kwa upande wa nchi yetu, takwimu za ajira zilizozalishwa kati ya mwaka 2020 na 2024 zinafikia Milioni 7 ambapo ajira binafsi katika sekta isiyo rasmi imeajiri watu milioni 6.1 sawa na asilimia 87.1 ambapo wengi wao wana elimu ya ufundi stadi, na sekta rasmi imeajiri watu 907,873 (asilimia 12.9) ambapo wengi wao ni wale wenye elimu ya juu”.

Pia, Waziri Mkuu ameiagiza Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais – TAMISEMI na Wizara ya Viwanda na Biashara wahakikishe ujenzi wa vyuo 65 vya ufundi unakamilika haraka.

Waziri Mkuu amesema ukamilishwaji wa vyuo hivyo vinavyojengwa na Serikali unalenga kutimiza dhamira ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuwawezesha Watanzania kiujuzi.

“Ujenzi wa vyuo hivi ukikamilika, VETA itakuwa na vyuo 145 katika ngazi ya Mikoa yote 26 na Wilaya zote nchini. Vilevile, katika vyuo 80 vilivyopo, vyuo 30 vilikamilishwa katika kipindi cha Serikali ya Awamu ya Sita (6). Tuna kila sababu ya kumpongeza Rais wetu kwa kazi kubwa anayowafanyia Watanzania.”

Kadhalika Waziri Mkuu ameitaka VETA ihakikishe inatangaza fursa za mafunzo zilizopo ili vijana haswa wa vijijini waweze kuzitumia. “Inawezekana kabisa kuwa, wapo vijana katika maeneo mbalimbali nchini haswa ya vijijini ambao hawana taarifa ya fursa za mafunzo zilizopo.”

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa VETA, CPA Anthony Kasore amesema  taasisi hiyo imejizatiti katika kuboresha mafunzo na kwamba wataendelea kutoa ujuzi ili kuhakikisha Taifa linakuwa na watu wenye ujuzi.

Pia, CPA Kasore ametumia fursa hiyo kuishukuru Serikali kwa kuwekeza katika eneo la kutoa ujuzi eneo ambalo litawawezesha Watanzania wengi kujikwamua kiuchumi.

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi alipowasili kwenye Kituo cha Mikutano cha Kikataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam kufungua Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Utoaji wa Elimu ya Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini na Miaka 30 ya VETA, Machi 18, 2025. Kutoka kushoto ni Waziri wa Elimu, Syansi na Teknolojia, Profesa Adolf  Mkenda, waziri wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Dennis Londo, na kulia ni Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omari Kipanga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akiongozwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda kuingia ukumbi wa mikutano wa Kituo cha Mikutano cha Kikataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam kufungua Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Utoaji wa Elimu ya Mafunzo ya Udundi Stadi inchini na Miaka 30 ya VETA, Machi 18, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza, Joshua Kingu mwanachuo kutoka Chuo cha VETA Kipawa jijini Dar es salaam, fani ya Mekatroniki alipotoa maelezo kuhusu mfano wa kiwanda unaotumika kufundishia,  alipotembelea banda la maonesho la Chuo hicho kabla ya   kufungua Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Utoaji wa Elimu ya Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini  na Miaka 30 ya VETA. Kwenye Kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Machi 18, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Abdallah Mohammed , Mkurugenzi wa  Vyuo na Mafunzo, Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar kuhusu hotipoti iliyotengenezwa kwa kutumia mti alipotembelea banda la manesco la  mamalaka hiyo  kabla ya kufungua Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Utoaji wa Elimu ya Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini na Miaka 30 ya VETA. Kwenye Kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Machi 18, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa kampuni ya Fay Fashion Tanzania, Gregory (kushoto) kuhusu bidha mbalimbali zinazotengenezwa na  kampuni hiyo alipotembelea banda la maonesho la kampuni hiyo kabla  ya kufungua Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Utoaji wa Elimu ya Mafunzo ya Ufundi  Stadi inchini na Miaka 30 ya VETA. Kwenye Kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Machi 18, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiingia kwenye ukumbi wa mikutano wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam kufungua Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Utoaji wa Elimu ya Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini  na Miaka 30 ya VETA, Machi 18, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Utoaji wa Elimu ya Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini na Miaka 30 ya VETA, kwenye Kituo cha  Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Machi 18, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

About the author

Alex Sonna