marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sakarya escort

izmit escort

matbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

betnano giriş

marsbahis

perabet giriş

interbahis

betmarino

betpipo giriş

imajbet

betmarino

casinowon

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betparibu, betparibu giriş

zirvebet, zirvebet giriş

alobet, alobet giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

meritking güncel giriş

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

aaa

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

betwoon

deneme bonusu

İkimisli

onwin

jojobet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

ngsbahis giriş

perabet

ngsbahis

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

betwoon giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

pokerklas

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

lordcasino

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

casibom

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

betpark

jasminbet

jasminbet giriş

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu

interbahis

agb99

betper

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

sekabet giriş

betist

Featured Kitaifa

TUME YAWATAKA WAENDESHA BVR DAR KUFUATA SHARIA, KUTUNZA VIFAA

Written by mzalendo
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele (katikati) akizungumza  na washiriki wa mafunzo ya siku mbili ya Waandikishaji Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki kwa Jimbo la Ukonga Halmashauri ya Jiji la Daes Salaam alipotembelea mafunzo hayo Machi 14,2025. (Pichja na INEC).  

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele (katikati) akizungumza  na washiriki wa mafunzo ya siku mbili ya Waandikishaji Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki kwa Jimbo la Ukonga Halmashauri ya Jiji la Daes Salaam alipotembelea mafunzo hayo Machi 14,2025. Kulia ni Mratibu wa Uchaguzi Mkoa wa Dar es Salaam, Ndg. Gerald Sondo na Kushoto ni Afisa Mwandikishaji wa Jiji la Dar es Salaam, Adv. Faraja Nakua. (Pichja na INEC). 

 

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama Kuu, Asina Omari, akizungumza wakati alipotembelea mafunzo ya siku mbili kwa watendaji hao, katika Halmashauri ya Manispaa ya Temeke. ambapo aliwataka Waandikishaji Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki, wametakiwa kutumia kauli nzuri kwa wananchi, wakati wanatekeleza majukumu yao kwenye vituo vya kuandikisha wapiga kura.

Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya siku mbili ya Waandikishaji Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki kwa Jimbo la Ukonga Halmashauri ya Jiji la Daes Salaam wakiwa katika mafunzo hayo. 

Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya siku mbili ya Waandikishaji Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki kwa Jimbo la Ukonga Halmashauri ya Jiji la Daes Salaam wakiwa katika mafunzo hayo. (Picha na INEC). 

*******************

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)
imewataka Waandikishaji Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki (BVR)
kutekeleza majukumu yao vituoni kwa kufuata sharia, Kanuni na Taratibu za Tume
pamoja na umakini katika utunzaji vifaa.


 Hayo yamesemwa leo Machi 14, 2025 na
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs
Mwambegele wakati alipotembelea na kuzungumza na washiriki wa mafunzo ya siku
mbili ya Waandikishaji Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki kwa Jimbo
la Ukonga Halmashauri ya Jiji la Daes Salaam.

“Katika kufanya kazi ambayo kwayo
mnafundishwa hivi leo, mkafanye kwa kufuata Sheria, Kanuni na taratibu, vyote
hivyo mtafundishwa lakini pale ambapo utaona umekwama usisite kuwasiliana na
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ili usikwamishe zoezi,” alisema Jaji wa Rufani
Mwambegele.

Aidha, Jaji Mwambegele aliwataka washiriki
ambao ndio wanakwenda kutekeleza jukumu la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la
Wapiga Kura Mkoa wa Dar es Salaam kuhakikisha wanatunza vifaa watakavyo
kabidhiwa.

Jaji Mwambegele alisema vifaa hivyo
vimetumika nchi nzima kwa mizunguko 12 ambayo Tume iliipanga na sasa ipo
mzunguko wa 13 unaotaraji kutekelezwa Mkoani Dar es Salaam kuanzia Machi 17
hadi 23, 2025 kwa kutumia vifaa hivyohivyo na vinapaswa kutunzwa kwani
vitatumika pia katika awamu ya pili ya zoezi la uboreshaji nchi nzima.

“Vifaa hivi isingekuwa kutunza vyema
msingekuwa hapa leo, vifaa hivi vimenunuliwa na kodi za wananchi kwa bei ya juu
sana hivyo nawaomba mvitunze vifaa hivi kwanza wakati huu wa mafunzo lakini pili
wakati wa zoezi lenyewe,” alisema Jaji Mwambegele.
 
Akitembelea mafunzo kama hayo katika
Halmashauri ya Manispaa ya Temeke Mkoani Dar es Salaam, Mjumbe wa Tume Mhe.
Jaji Asina Omari amewataka Waandikishaji Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya
Bayometriki, kuzingatia mafunzo ya nadharia pamoja na vitendo ili wakaweze
kufanya kazi hiyo kwa ufanisi.

Mapema akifungua mafunzo hayo baada ya
kuwaapisha washiriki hao kiapo cha kujitoa unachama na kile cha kutunza siri,
Afisa Mwandikishaji wa Jiji la Dar es Salaam, Adv. Faraja Nakua aliwataka
washiriki hao kufanya kazi kwa weledi na kuwa na lugha nzuri kwa wananchi.

“Mtakapokua vituoni zingatieni weledi wa kazi,
nidhamu, kujituma na bidi ya kazi na lugha nzuri kwa wateja wetu, wateja wetu
ni Wapiga Kura watakao jitokeza kwaajili ya kuboresha au kujiandikisha au kutoa
taarifa za kufutwa kwa mpiga Kura aliyepoteza sifa ya kuwepo kwenye Daftari,”alisema
Nakua.

Mafunzo hayo ya siku mbili yaliyoanza leo
Machi 14 na kutaraji kutamatika Machi 15 mwaka huu ni maandalizi kuelekea zoezi
la Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura Mkoa wa Dar es salaam kuanzia
Machi 17 hadi 23,2025.
 
Waandikishaji Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki kutoka Jimbo la Ukonga Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaa wakila kiapo cha kujitoa uanachama na kile cha kutunza siri leo Machi 14,2025 kabla ya kuanza kwa mafunzo ya siku mbili kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. (Picha na INEC). 
Afisa Mwandikishaji wa Jiji la Dar es Salaam, Adv. Faraja Nakua  akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo akiwa na maafisa kutoka Tume, Bi. Fina Kidunda na Nicolaus Natay. 

Afisa kutoka INEC, Bi Fina Kidunda akifafanua jambo wakati wa mafunzo hayo. 

Washiriki kutoka Temeke wakiwa katika mafunzo hayo.

About the author

mzalendo