marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sakarya escort

izmit escort

matbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

betnano giriş

marsbahis

perabet giriş

interbahis

betmarino

betpipo giriş

imajbet

betmarino

casinowon

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betparibu, betparibu giriş

zirvebet, zirvebet giriş

alobet, alobet giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

meritking güncel giriş

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

aaa

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

betwoon

deneme bonusu

İkimisli

onwin

holiganbet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

ngsbahis giriş

perabet

ngsbahis

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

betwoon giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

pokerklas

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

lordcasino

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

casibom

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

betpark

jasminbet

jasminbet giriş

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu

interbahis

agb99

betper

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

sekabet giriş

betist

Featured Kitaifa

WATUMISHI NELSON MANDELA WAJENGEWA UWEZO ELIMU KUHUSU UKATILI WA KIJINSIA

Written by Alex Sonna

 

Naibu Makamu Mkuu wa Taasisi Mipango, Fedha na Utawala,Prof.Suzana Augustino akiongea na watumishi wanaume wakati wa ufunguzi wa warsha ya wanaume Machi 14,2025 Jijini Arusha

…….

Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) imendesha warsha ya siku mbili ya kuwajengea uwezo watumishi wanaume, ikiwa ni kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuondokana na ukatili wa kijinsia na kuelimisha kuhusu umuhimu wa elimu jumuishi na afya bora ya akili katika maeneo ya kazi na jamii kwa ujumla.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, Machi 14, 2025 jijini Arusha, Naibu Makamu Mkuu wa Taasisi Mipango, Fedha na Utawala Prof. Suzana Augustino kwa niaba ya Makamu Mkuu wa Taasisi ameeleza kuwa, warsha hiyo imefadhilwa na Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET PROJECT) ambao una kipengele cha kuwajengea uwezo watumishi

“Naamini baada ya hizi siku mbili watumishi wetu wa kiume watakuwa na uelewa mpana wa namna ya kushirikiana na watu wenye ulemavu na changamoto mbalimbali, kuimarisha mashirikiano mazuri kazini na uelewa wa jinsi ya kuishi baina ya wanawake na wanaume kazini” alisema Prof. Suzana.

Alieleza kuwa, warsha hiyo italeta matokeo chanya kwa watumishi wote wa NM-AIST wanaume na wanawake kuongea lugha moja , kwa kuwa wanawake walishapatiwa mafunzo hayo hivyo kutoa huduma bora kwa wateja.

Naye Dkt. Rehema Horera mtoa mada katika eneo la ukatili wa kijinsia na unyanyasaji wa kingono kutoka Wizara ya Elimu , Sayansi na Teknolojia ameipongeza taasisi ya NM-AIST kwa kuona umuhimu wa kutoa mafunzo ya ndani kwa makundi tofauti tofauti kwa kuzingatia kuwa, wanaume ni nguzo muhimu katika kusimamia maadili , kuzuia ukatili wa kijinsia na kingono ndani ya taasisi na jamii kwa ujumla.

“Warsha kama hizi zinatusaidia kukumbushana kwa pamoja umuhimu wa kuendelea kusimamia maadili na kudhibiti vitendo vya ukatili wa kijinsia na unyanyasaji wa kingono katika taasisi, na maeneo tunayotoka ili kuweza kufanya shughuli zetu kwa ufanisi” alisema Dkt. Rehema

Naye mmoja wa washiriki wa warsha hiyo, Prof. Revocatus Machunda alieleza kuwa, kupitia warsha hiyo, imewajenga katika kuhakikisha wanalinda ustawi wa afya ya akili, kusimamia haki ya usawa kwa watu wote ili kutoathiri utendaji kazi katika maeneo ya kazi na kuwa mabalozi wema kwa jamii zinazowazunguka katika kuwaelimisha masuala hayo.

Kwa Upande wake Bw. Denis Nandi Afisa Masoko Mwandamizi ameeleza kuwa, warsha hiyo ni chachu kwa watumshi kuimarisha ushirikiano mzuri katika eneo la kazi na jamii kwa ujumla hivyo kuleta tija katika utendaji.

Warsha hiyo ya siku mbili imewakutanisha watumishi wanaume zaidi ya 120 kutoka ngazi ya uongozi, wahadhiri, utawala na watendaji wa kiufundi ambapo wameweza kujengewa uwezo katika masuala ya afya ya akili, ukatili wa kijinsia, unyanyasaji wa kingono, elimu jumuishi pamoja na kukabiliana na msongo wa mawazo.

Naibu Makamu Mkuu wa Taasisi Mipango, Fedha na Utawala,Prof.Suzana Augustino akiongea na watumishi wanaume wakati wa ufunguzi wa warsha ya wanaume Machi 14,2025 Jijini Arusha.

 Mwezeshaji na Mtoa Mada kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,Dkt.Rehema Horera, akiwasilisha mada kuhusu Ukatili wa Kijinsia na Unyanyasaji wa kingono kwa watumishi wanaume kutoka Taasisi ya Nelson Mandela Machi 14,2025 jijini Arusha.

Dkt. Staricko Meshack kutoka Chuo cha Mipango akiwasilisha mada ya Jinsia na Dawati la Jinsia, wakati wa warsha ya wanaume wa Taasisi ya NM-AIST Machi 14,2025 jijini Arusha.

Prof. Ernest Mbega Amidi wa Shule Kuu ya LiSBE akimuwakilisha Naibu Makamu Mkuu wa Taasisi Taaluma, Utafiti na Ubunifu akiongea neno wakati wa warsha ya wanaume wa Taasisi ya NM-AIST Machi 14,2025 Jijini Arusha

Watumishi wanaume wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa warsha iliyoandaliwa kwa ajili ya wanaume wa Taasisi hiyo Machi 14,2025 Jijini Arusha.

BW.Emmanuel Lema Mhasibu kutoka Taasisi ya NM-AIST akichangia jambo wakati wa Warsha ya wanaume wa Taasisi hiyo iliyofanyika Machi 14,2025 Jijini Arusha.

About the author

Alex Sonna