marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

türk ifşa

Featured Kitaifa

MOROGORO WAITIKIA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

Written by mzalendo

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa (Rufaa) Jacobs Mwambegele akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Nyuki Kata ya Lukobe wakati alipokitembelea kituo hicho cha ofisi ya Serikali za Mtaa kukagua zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura lililoanza leo Machi mosi, 2025 mkoani Morogoro.  

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa (Rufaa) Jacobs Mwambegele akizungumza na wananchi wakati akifatilia mwenendo wa zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura lililoanza leo Machi mosi, 2025 mkoani Morogoro.  

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa (Rufaa) Jacobs Mwambegele akiangalia namna mwendesha kifaa cha biometriki akichukua picha ya mwananchi aliyefika kuboresha taarifa zake katika kituo cha Mafiga B kata ya Mafiga mkoani Morogoro leo.

 

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa (Rufaa) Jacobs Mwambegele akimkabidhi Kadi ya Mpiga Kura Ramadhani Waziri ambaye ni mpiga Kura Mpya wa Kata ya Mafiga Mkoani Morogoro.

Ramadhani Waziri ambaye ni Mpiga Kura Mpya wa Kata ya Mafiga Mkoani Morogoro akionesha kadi yake baada ya kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

Mpiga Kura mpya Joyce Salehe mkazi wa Kata ya Boma katika Manispaa ya Morogoro akionesha kadi yake.

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Rufani, Jacobs Mwambegele akitembelea vituo hii leo akiwa na Afisa Mwandikishaji wa Manispaa ya Morogoro, Ndg. Faraja Maduhu.

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Rufani, Jacobs Mwambegele akitembelea vituo hii leo.

Na Mwandishi wetu, Morogoro.
TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesema
kumekuwa na mwitikio mkubwa kwa wananchi kujitokeza katika vituo mbalimbali vya
uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaofanyika mkoani  Morogoro na sehemu ya mkoa wa Tanga kwa siku
saba kuanzia Machi mosi hadi 7, 2025.
 
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi,
Jaji Rufani, Jacobs Mwambegele alisema hayo Machi 1, 2025 alipokua akishuhudia
zoezi la uboreshaji wa Daftari wa Kudumu la Wapiga Kura lilivyokuwa
linaendelea  kituo cha Mafiga B, Kata ya
Mafiga , Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
 
“Nimekuja kushuhudia jinsi zoezi hili
linavyoendelea, Saa 2:00 kamili vituo vimefunguliwa na nimefika katika Kituo
cha Mafiga B ambako kituo kilifunguliwa Saa 2 asubuhi na wananchi wengi sana
wamejitokeza katika kuboresha taarifa zao au kujiandikisha kuwa Wapiga
Kura,”alisema Jaji Mwambegele.
 
Alisema ametembelea vituo vingi na wananchi
wamejitokeza kwa wingi kuboresha taarifa zao au kujiandikisha na alitoa wito
kwa wakazi wa manispaa ya Morogoro na mkoa mzima wa Morogoro kujitokeza kwa
wingi katika zoezi hilo.
 
“Nawasihi wakazi wa Manispaa ya Morogoro
kujitokeza kwa wingi katika kujiandikisha au kuboresha taarifa zao, nawasihi
wafanye hivyo mapema iwezekanavyo kwani zoezi hili limaenza leo na litachukua
muda wa siku 7  mpaka hapo tarehe
7,2025,”alisema Jaji Mwambegele.
 
Amesema Wananchi wasisubiri mwisho ndio
wakaja kujiandikisha bali wafanye hivyo mapema na wasubiri tu tarehe ya
Uchaguzi Mwezi Oktoba ili wapige Kura kuwachagua viongozi wanaowataka.
 
Akizungumzia changamoto iliyobainika na
kufanya watu kukaa muda mrefu vituoni, Jaji Mwambegele alisema wamebaini kuna
watu wamesahau majina yao waliyoyatumia kujiandikisha hapo awali hivyo hutumia
muda mrefu kutafuta katika mfumo.
 
“Kunachangamoto kidogo imejitokeza katika
kuwatafuta wale waliokuja kuboresha taarifa zao, wengi inachukua muda kumpata
kwa sababu amesahu majina yake, jina la kwanza analiweka la pili au saa
nyingine anakosea ‘speling’ kwa mfano wewe kama unaitwa Zaituni inaandikwa na
‘i’ mwisho au bila ‘i’ sasa unapotamka jina ambalo linatofautiana na lilivyo
katika data base yetu inachukua muda kukupata, alisema.
 
Amewasihi wananchi wakumbuke majina yao kama
ni Khadija inaanza na K wakumbuke namna hiyo au kama ni Hadija ina anza na H
wakumbuke namna hiyo na kama ni Mohammed
au Muhammed wakumbuke  katika

kutamka majina yako vizuri.
 
Kwa mujibu wa ratiba, kwa sasa Tume imeanza
Uboreshaji wa Daftari wa Kudumu la Wapiga kura mzunguko wa 12 kati ya mizunguko
13 iliyopangwa na Tume kwa mkoa wa Morogoro na Halmashauri Nne za Bumbuli,
Handeni, Mkinga na Pangani zilizopo mkoani Tanga limeanza leo Machi mosi na
litafika tamati Machi 07, 2025 na litadumu kwa siku saba huku vituo
vikifunguliwa Saa 2:00 asubuhi na kufungwa Saa 12:00 jioni.

About the author

mzalendo