slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

noktabet, noktabet giriş

betgar, betgar giriş

betorbet, betorbet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

holiganbet

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

capitolbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler 2026

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

cratosroyalbet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

perabet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

madridbet

holiganbet giriş

jojobet giriş

trust score weak 3

marsbahis

bets10 giriş

slot siteleri

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

meritbet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

kulisbet, kulisbet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

royalbet

Goldenbahis

taraftarium24

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

marsbahis

vdcasino

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

Featured Kitaifa

DKT.BITEKO ATETA NA JUMUIYA YA WASAMBAZAJI WA MITUNGI YA GESI NCHINI

Written by Alex Sonna

*Awashukuru kwa mchango wao utekelezaji Mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia

* Ataka LPG ipatikane kwa wingi hadi ngazi ya Vijiji

* Ahimiza Tanzania kuwa kitovu cha usambazaji LPG Afrika Mashariki

*Tanzania yaendelea kupigiwa mfano Kimataifa matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Jumuiya ya Kampuni zinazohusika na Usambazaji wa Mitungi ya Gesi (LPG) -TZLPGA kwa lengo la kuwashukuru kwa mchango wao katika utekelezaji wa Mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia pamoja na kujadiliana masuala mbalimbali ikiwemo utatuzi wa changamoto zinazoikumba TZLPGA ili kuhakikisha wanatoa huduma kwa urahisi nchi nzima.

Mazungumzo kati ya Dkt. Biteko na Jumuiya hiyo yamefanyika leo Februari 20, 2025 jijini Dodoma na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba pamoja Watendaji kutoka.Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji ( EWURA) pamoja na Wakala wa Nishati Vijijini ( REA).

“ Ili Serikali ifanikiwe lazima kuwashirikisha watu wake, tunawashukuru sana kwa mchango wenu katika kufanikisha Mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia ambao kutoka tuuzindue mwaka 2024, uelewa na matumizi ya mitungi ya gesi umeendelea kuongezeka, mitungi hii ni gharama lakini ninyi mnajitoa na kutuunga mkono.” Amesema.Dkt.Biteko

Hata hivyo Dkt.Biteko amezitaka kampuni hizo kuhakikisha huduma ya upatikanaji wa mitungi ya gesi inafika kwa wingi hadi ngazi ya vijiji ili kuweza kufikia lengo la kuhakikisha kuwa asilimia 75 ya wananchi wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo 2030 ikiwa pia ni utekelezaji wa Mpango wa Mahsusi wa Nishati ( Energy Compact uliosainiwa mwezi Januari 2025.

Amesema kuwa lengo la kikao hicho pia lilikuwa ni kujadili changamoto ambazo kampuni hizo wanakutana nazo ikiwemo za kikodi ambazo zina nafasi ya kujadiliwa katika Muswada wa Masuala ya Fedha utakaosomwa katika Bunge la Bajeti la mwaka 2025/2026.

 “Tumekutana hapa ili tunapoelekea kwenye Bajeti ya Serikali mtuambie kipi tukiboreshe kupitia Muswada wa Masuala Fedha na ni vizuri pia mkatueleza jambo gani lifanyike ili kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa wananchi.” Ameeleza Dkt. Biteko

Kuhusu Mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia amesema kuwa, “ Tangu tulipozindua Mkakati wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia tumepata ushirikiano mkubwa sana Afrika na duniani kote kupitia diplomasia ya Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na tumeendelea kupata fursa kubwa ya kuonesha na kuuelezea Mkakati wetu, pia tunaalikwa na nchi mbalimbali hata ambazo zimepiga hatua kuliko sisi, hii inaonesha kwa vitendo dhamira yetu ya kuhakikisha watu wanahama kutoka kwenye matumizi ya kuni na mkaa na kwenda kwenye nishati safi ya kupikia.” Amebainisha Dkt. Biteko

 Amesema mwaka 2021 idadi ya watumiaji wa Nishati Safi ya Kupikia nchini ilikuwa asilimia 9 pekee. Aidha, wakati Mkakati huo unazinduliwa Mei 2024 hadi Februari 2025 watumiaji wamefikia asilimia 33 hivyo ni hatua nzuri katika kufikia lengo la Serikali la kufikisha asimilia 80 ya watumiaji wa Nishati Safi ya Kupikia ifikapo mwaka 2034.

Ameeleza kuwa changamoto inayoikabili Serikali katika kuhamasisha wananchi kutumia Nishati Safi ya Kupikia ni uwepo wa nishati mbadala ambazo si safi za kuni na mikaa ukilinganisha na nchi zingine ambazo hazina urahisi wa upatikanaji wa kuni na mkaa, hivyo ametaja mbinu ya kukabiliana na changamoto hiyo kuwa ni kuendelea kutoa elimu mara kwa mara ili kusaidia wananchi kubadili tabia na mitazamo juu ya matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia.

Akijibu baadhi ya hoja za wajumbe wa Jumuiya hiyo, hususan kuhusu ombi la unafuu wa kodi katika bidhaa za gesi, amesema suala hilo limepokelewa na litafanyiwa kazi na Serikali.

Vilevile, ameishauri Jumuiya hiyo kutumia vyombo vya habari kwa ajili ya kutoa elimu kwa umma kuhusu matumizi ya Nishati Safi ya Kulipia.

Aidha, ametoa changamoto kwa Jumuiya hiyo kutumia fursa ya Bandari kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha usambazaji wa mitungi ya gesi katika Ukanda wa Afrika Mashariki ambayo ni faida ya kichumi kwa nchi na pia kuwezesha matumizi ya nishati safi ya kupikia.

Naye, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felschemi Mramba amesema kuwa Serikali inaendelea na mikakati ya kuwa hifadhi maalum za mafuta ambapo suala la hifadhi maalum ya mitungi ya gesi linaangaliwa.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kampuni zinazohusika na Usambazaji wa Mitungi ya Gesi (LPG) nchini ( TZLPGA),  Hamisi Ramadhani amemshukuru Dkt. Biteko kwa kuitisha  kikao na Jumuiya hiyo ili kujadili masuala ya kiutendaji ambayo yanalenga kuhakikisha kampuni hizo zinaendelea kufanya biashara kikamilifu na gesi ya mitungi inapatikana katka maeneo yote nchini kwa wakati wote.

Ramadhani amesema kuwa, kampuni zinazohusika na usambazaji wa mitungi ya gesi zinapata ushirikiano mzuri kutoka Serikalini kupitia Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji ( EWURA) kwa kutengeneza sheria zinazoongoza biashara ya LPG,  Wakala wa Nishati Vijjini ( REA) kwa kutekeleza programu mbalimbali za Nishati Safi ya Kupikia na Shirika la Viwango Tanzania ( TBS) kwa kuweka viwango (standards) zinazoongoza biashara ya LPG.

Ameipongeza EWURA pia kwa kuwa mdhibiti bora kwani mara zote imekuwa ikisikiliza maoni ya wadau na kuyafanyia kazi kwa maslahi ya pande zote mbili ambazo ni Serikali na Wafanyabiashara.

Ameongeza kuwa mitungi ya gesi imesambaa sana sehemu za mijini kuliko vijijini hata hivyo kampuni hizo zinajitahidi ili biashara hiyo iendelee kushamiri maeneo ya vijijini pia ikiwa ni jitihada za kuhakikisha asilimia 75 ya watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo 2030.

Katika hatua nyingine, Jumuiya hiyo imesema ipo tayari kushirikiana na Serikali ili kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha usambazaji wa LPG katika nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki.

About the author

Alex Sonna