Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

spinco

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

holiganbet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

BODI YA USHAURI YA WMA YARIDHISHWA NA UJENZI WA JENGO LA WMA DODOMA

Written by Alex Sonna
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA),Prof.Eliza Mwakasangula,akiwa na wajumbe wa bodi hiyo wakipata maelezo wakati wa ziara ya wajumbe wa bodi hiyo ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la  WMA  Makao Mkuu Dodoma,leo Februari 7,2025.
Na.Alex Sonna-DODOMA
BODI  ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA),imeridhishwa na kasi ya ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Makao Mkuu Dodoma  ya wakala huo ambalo linatarajiwa kukabidhiwa Februari 10, mwaka huu.
Mwenyekiti wa Bodi hiyo Prof.Eliza Mwakasangula,ameyabainisha hayo leo Februari 7,2025 jijini Dodoma  mara baada ya ziara ya wajumbe wa bodi hiyo kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo.
Prof. Mwakasangula, amesema kuwa ziara hiyo ambayo imejumuisha wajumbe wa bodi ya ushauri ya WMA, lengo kuu lilikua ni kukagua ujenzi wa jengo hilo ambalo linagharimu kiasi cha Sh.bilioni 6.2.
“Ziara yetu hii leo pamoja na wajumbe hawa wa bodi ya ushauri ya WMA tumekuja kwa lengo la kukagua maendeleo ya ujenzi na kwa namna tulivyoona hapa tumeridhishwa na ujenzi na tunatarajia kulizindua wakati wowote”amesema Prof. Mwakasangula
Aidha, amemshukuru Waziri wa Viwanda na Biashara,Mhe.Dkt. Selemani Jafo na kamati yake kwa kusimamia kikamilifu ujenzi wa jengo hilo kukamilika kwa wakati.
“Lakini pia nimshukuru mtendaji mkuu wa WMA, kwa kusimamia ujenzi wa jengo hili bega kwa bega na kuhakikisha kwamba jengo hili linakamilika”amesema
Hata hivyo ameishukuru menejimenti ya WMA, kwa kuona umuhimu wa jengo hilo na kutenga bajeti kupitia fedha za ndani ambapo hadi sasa kiasi chote cha fedha Sh. Bilioni 6.2 kimeshalipwa na taasisi haidaiwi.
Kwa upande wake Afisa Mtendaji Mkuu Wakala wa Vipimo Bw. Alban Kihulla, amesema kuwa lengo la ziara hiyo ni wajumbe wa bodi kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo ambalo litatumika kama makao makuu ya taasisi hiyo.
“Wajumbe wa bodi wameridhika na ujenzi wa jengo hili na hali hiyo inatupa matumaini ya kukabidhiwa jengo hili ndani ya siku hizi tatu ambapo hivi sasa kuna ukamilishaji wa shughuli ndogondogo ambazo ndani ya siku hizi tatu utakua umekamilika”amesema Kihulla
Hata hivyo, amesema  jengo hilo limefikia zaidi ya asilimia 97 hivyo ni matumaini yake ndani ya siku hizo tatu watakua wamekabidhiwa.

Naye Mkandarasi wa Kampuni ya Mohamed Builders Bw.Burhan Hamza,ameipongeza WMA kwa kumpa kazi hiyo huku akiahidi kuwa mradi huo watakabidhi Februari 10 mwaka huu.

Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA),Prof.Eliza Mwakasangula,akiwa na wajumbe wa bodi hiyo wakipata maelezo wakati wa ziara ya wajumbe wa bodi hiyo ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la  WMA  Makao Mkuu Dodoma,leo Februari 7,2025 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA),Prof.Eliza Mwakasangula,akiwa na wajumbe wa bodi hiyo wakipata maelezo wakati wa ziara ya wajumbe wa bodi hiyo ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la  WMA  Makao Mkuu Dodoma,leo Februari 7,2025 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA),Prof.Eliza Mwakasangula,akiwa na wajumbe wa bodi hiyo wakipata maelezo wakati wa ziara ya wajumbe wa bodi hiyo ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la  WMA  Makao Mkuu Dodoma,leo Februari 7,2025 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA),Prof.Eliza Mwakasangula (kushoto) akisikiliza  maelezo wakati wa ziara ya wajumbe wa bodi hiyo ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la  WMA  Makao Mkuu Dodoma,leo Februari 7,2025 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA),Prof.Eliza Mwakasangula,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya  kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la  WMA  Makao Mkuu Dodoma,leo Februari 7,2025 jijini Dodoma.

Afisa Mtendaji Mkuu Wakala wa Vipimo Bw. Alban Kihulla,akizungumza ,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya  Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA) kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la  WMA  Makao Mkuu Dodoma,leo Februari 7,2025 jijini Dodoma.

Mkandarasi wa Kampuni ya Mohamed Builders Bw.Burhan Hamza,akizungumza ,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya  Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA) kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la  WMA  Makao Mkuu Dodoma,leo Februari 7,2025 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA),Prof.Eliza Mwakasangula,(katikati)akiwa katika picha ya pamoja mara baada  ya  kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la  WMA  Makao Mkuu Dodoma,leo Februari 7,2025 jijini Dodoma.

MUONEKANO wa  Jengo la  WMA  Makao Mkuu Dodoma.

About the author

Alex Sonna