marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

matbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

interbahis

betmarino

betpipo giriş

imajbet

betmarino

casinowon

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betparibu, betparibu giriş

zirvebet, zirvebet giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

meritking güncel giriş

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

aaa

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

grandpashabet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

pokerklas

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

pokerklas

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

lordcasino

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

casibom

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

betpark

jasminbet

jasminbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

betper

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

sekabet giriş

casino siteleri

Featured Kitaifa

MHE. CHANDE AISHAURI SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR KUJENGA MFUMO WA UNUNUZI WA UMMA

Written by Alex Sonna
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande akizungumza na Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar walipomtembelea ofisini kwake jijini Dodoma. Kamati hiyo ipo katika ziara kujifunza masuala ya ununuzi wa umma kutoka Mamlaka ya Ununuzi wa Umma nchini (PPRA).
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande akiongoza kikao kati yake na Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar ambayo imeitembelea Mamlaka ya Ununuzi wa Umma nchini (PPRA) kwa ajili ya kujifunza masuala ya ununuzi wa umma, jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande akimsikiliza Naibu Waziri wa Ofisi ya Raisi, Fedha na Mipango, Zanzibar, Mhe. Juma Makungu Juma wakati wa kikao kati yake na Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar ambayo imetembelea Mamlaka ya Ununuzi wa Umma nchini (PPRA) kwa ajili ya kujifunza masuala ya ununuzi wa umma, jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (kushoto), Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe. Mwanaasha Khamis Juma (wa pili kushoto) na Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango, Zanzibar, Mhe. Juma Makungu Juma (wa pili kulia) wakimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Ununuzi wa Umma nchini (PPRA), Bw. Dennis Simba, baada ya kikao kati yake na Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar ambayo Mamlaka ya Ununuzi wa Umma nchini (PPRA) kwa ajili ya kujifunza masuala ya ununuzi wa umma, jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande akiagana na  Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango, Zanzibar, Mhe. Juma Makungu Juma baada ya kikao kati yake na Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar ambayo imeitembelea Mamlaka ya Ununuzi wa Umma nchini (PPRA) kwa ajili ya kujifunza masuala ya ununuzi wa umma, jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande akiagana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Ununuzi wa Umma nchini (PPRA), Bw. Dennis Simba baada ya kikao kati yake na Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar ambayo imeitembelea Mamlaka ya Ununuzi wa Umma nchini (PPRA) kwa ajili ya kujifunza masuala ya ununuzi wa umma, jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande, Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe. Mwanaasha Khamis Juma na Naibu Waziri wa Ofisi ya Raisi, Fedha na Mipango, Zanzibar, Mhe. Juma Makungu Juma wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar ambayo imekuja Mamlaka ya Ununuzi wa Umma nchini (PPRA) kwa ajili ya kujifunza masuala ya ununuzi wa umma, jijini Dodoma.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF -Dodoma)
Na Farida Ramadhani, WF – Dodoma

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande ametoa wito kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzaber kujenga Mfumo wa Ununuzi wa Umma kwa kutumia  wataalam wa ndani ili kusimamia kikamilifu fedha za Serikali zinazotumika katika ununuzi.

Alitoa wito huo jijini Dodoma alipokutana na kufanya mazungumzo na Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar iliyotembelea Mamlaka ya Ununuzi wa Umma nchini (PPRA) kwa ajili ya kujifunza masuala ya ununuzi wa umma kwa ujumla.

Alisema Mfumo huo pia utasaidia kurahisisha mchakato wa ununuzi pamoja na kuongeza uwazi wa zabuni kwa kujua thamani halisi ya fedha.

Aidha Mhe. Chande aliipongeza Kamati hiyo kwa kufanya uamuzi wa kuja kujifunza PPRA katika kipindi hiki ili kwenda kuboresha Muswada wa Sheria ya Ununuzi ambao utajadiliwa katika Baraza la Wawakilishi Zanzibar.

“Haya ni maamuzi sahihi kwa sababu Taasisi za Umma ndio ambazo zinatumia bajeti kubwa katika ununzi wa umma kwa kuwa zaidi ya asilimia 70 ya Bajeti zetu zinakwenda kwenye ununuzi, kwa hiyo tunapoenda kupitisha Mswada wetu tuhakikishe Sheria imewekwa vizuri ili kuepuka changamoto”, aliongeza Mhe. Chande.

Aliwakaribisha kutembelea PPRA mara kwa mara kwa ajili ya kuendelea kujifunza zaidi na ikiwezekana waende jijini Arusha ambako kumesimikwa Mfumo wa Ununuzi ili waone uhalisia uliopo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe. Mwanaasha Khamis Juma alisema kwa sasa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inafanya maboresho ya Sheria ya Ununuzi, hivyo kamati imeamua kuja kujifunza ili waweze kuishauri Serikali kikamilifu.

“Kama nilivyosema hapo awali, hii ni Kamati ya Bayeti na kazi yeke ni kupitisha Bajeti ya Serikali ambayo ndani yake kuna miradi na kwenye miradi kuna ununuzi, kwa hiyo tumeamua tuje tuone wenzetu wanafanyaje, Sheria zao zikoje, ili tuone namna bora ya kuishauri Serikali”, aliongeza Mhe. Mwanaasha.

Naye Naibu Waziri wa Ofisi ya Raisi, Fedha na Mipango, Zanzibar, Mhe. Juma Makungu Juma, alisema wamekuja kujifunza kwa sababu fedha nyingi za Taifa zinatumika katika ununuzi hivyo ni muhimu Serikali ihakikishe fedha hizo zinatumika vizuri.

Alisema kuwa wamekuja kuchukua uzoefu wa taratibu mbalimbali za ununuzi pamja na mafanikio kwa sababu taratibu hizo za zinatofautiana kati ya Tanzania Bara na Zanzibar pamoja na kujadili mafanikio na changamoto zilizopo katika masuala ya ununuzi.

About the author

Alex Sonna