slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bos

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

casibom giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

marsbahis

pusulabet giriş

jojobet giriş

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

noktabet, noktabet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

casibom

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

celtabet

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

meritking

jojobet

trust score weak 3

jojobet

bets10 giriş

slot siteleri

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

meritbet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betingo, betingo giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

timebet

matbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

radissonbet

sekabet

grandpashabet

matbet

jetbahis

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

NGORONGORO WASISITIZWA KUACHA KUTUNZA FEDHA NYUMBANI

Written by Alex Sonna

Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya, akifafanua kuhusu umuhimu wa kuweka akiba, wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha iliyoambatana na Maafisa kutoka taasisi na wadau mbalimbali, ilipowasili kwa ajili ya kutoa elimu ya fedha na kuhamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini, katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha. 

Afisa Sheria Mwandamizi kutoka Kurugenzi ya Ustawi na Huduma Jumuishi za Fedha wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Ramadhani Myonga na Mchumi kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Renatus Lucas, wakimkabidhi zawadi ya fulana Bw.Roy Mollel, baada ya kutoa elimu ya fedha, wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha iliyoambatana na Maafisa kutoka taasisi na wadau mbalimbali, ilipowasili kwa ajili ya kutoa elimu ya fedha na kuhamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini, katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha. 

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro Bw. Hussein Urughu, akipokea vipeperushi kuhusu elimu ya fedha kutoka kwa Afisa Sheria Mwandamizi kutoka Kurugenzi ya Ustawi na Huduma Jumuishi za Fedha wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Ramadhani Myonga, wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha iliyoambatana na Maafisa kutoka taasisi na wadau mbalimbali, ilipowasili kwa ajili ya kutoa elimu ya fedha na kuhamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini, katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha. 

Baadhi ya wananchi wa Tarafa ya Loliondo, wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa kuhusu elimu ya fedha, wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha iliyoambatana na Maafisa kutoka taasisi na wadau mbalimbali, ilipowasili kwa ajili ya kutoa elimu ya fedha na kuhamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini, katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha. 

Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya (kushoto) na Afisa Sheria Mwandamizi kutoka Kurugenzi ya Ustawi na Huduma Jumuishi za Fedha wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Ramadhani Myonga (kulia), wakiwa na wananchi wakionesha baadhi ya mada walizojifunza katika mafunzo ya elimu ya fedha, wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha iliyoambatana na Maafisa kutoka taasisi na wadau mbalimbali, ilipowasili kwa ajili ya kutoa elimu ya fedha na kuhamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini, katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha. 

Afisa Sheria Mwandamizi kutoka Kurugenzi ya Ustawi na Huduma Jumuishi za Fedha wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Ramadhani Myonga (kulia), na Meneja wa Benki ya NMB Ngorongoro Bw. Gabriel Thomas Chabai, wakimkabidhi zawadi ya fulana Bw. Felician Pius Bukene zawadi ya fulana baada ya kujibu maswali kuhusu elimu ya fedha, wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha iliyoambatana na Maafisa kutoka taasisi na wadau mbalimbali, ilipowasili kwa ajili ya kutoa elimu ya fedha na kuhamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini, katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha. 

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro Bw. Hussein Urughu (Katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Timu ya Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha, na Maafisa kutoka taasisi na wadau mbalimbali, ilipowasili kwa ajili ya kutoa elimu ya fedha na kuhamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro. Kulia ni Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya, Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro Bw. Daniel Bura na Mratibu wa Huduma Ndogo za Fedha wilaya hiyo Bi. Gloria Nampesya. Kushoto ni Afisa Sheria Mwandamizi kutoka Kurugenzi ya Ustawi na Huduma Jumuishi za Fedha wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Ramadhani Myonga, Afisa Tarafa ya Loliondo na Mwakilishi wa Mkuu wa wilaya Bw. William Ndosi na Mchumi kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Renatus Lucas.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Ngorongoro, Arusha)

Na. Saidina Msangi, WF, Ngorongoro, Arusha.

Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro wametakiwa kutumia huduma rasmi za fedha kutunza fedha zao badala ya kutunza nyumbani ili ziweze kuingia katika mzunguko wa fedha na kuongezeka thamani.

Rai hiyo imetolewa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Bw. Hussein Urughu, alipokuwa akifungua mafunzo ya elimu ya fedha, wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha iliyoambatana na Maafisa kutoka taasisi na watoa huduma za Fedha ilipowasili kwa ajili ya kutoa elimu ya fedha na kuhamasisha utumiaji wa huduma za fedha zilizo rasmi katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro. 

Alisema kuwa njia ya kutunza fedha nyumbani si salama kutokana na kuweza kupata hasara kutokana na majanga ya moto au kuibiwa na hivyo kushauri wananchi kutumia huduma za benki kutunza fedha ili ziingie katika mzunguko watu wapate mikopo ili kukuza uchumi wa wananchi na Taifa kwa ujumla.

‘’Watu wanauza mifugo wanakaa na fedha nyumbani ambapo wangeweza kuweka sehemu nyingine ikazaa faida, wengine wanaingia vikundi vya kukopeshana bila kufuata taratibu na baadaye wanadhulumiwa, hivyo ni matarajio yetu kuwa elimu ya fedha mtakayoitoa itawafungua wananchi kuondokana na changamoto hizo,’’alisema Bw. Urughu.

Alisema kuwa masuala ya fedha yanafanyika kimazoea katika jamii kwani sheria kanuni na taratibu za fedha hazifuatwi hivyo elimu ya fedha ni chachu kwa wananchi wa Ngorongoro kupata uelewa wa namna bora ya kutunza na kutumia fedha zao kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu.

Aidha, alisema kuwa elimu ya fedha itawasaidia wananchi kuweza kujua namna ya kuweka akiba, umuhimu wa bima, jinsi ya kuwekeza pamoja na kujipanga vema kutumia fursa za mikopo inayotolea na Halmashauri ili kuweza kujikwamua kiuchumi.

Naye Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya, alieleza kuwa ni muhimu kila mwananchi kuhakikisha kuwa wanachukua mkopo katika taasisi za fedha zilizosajiliwa na Benki Kuu ya Tanzania.

‘’Unapoenda kukopa hakikisha kuwa taasisi imesajiliwa na Benki Kuu ya Tanzania lakini pia ni muhimu kuangalia riba ili kujiepusha na riba zisizofuata sheria kanuni na taratibu ambazo ndio zinasababisha kuwa na mikopo inayojulikana kama kausha damu kwani riba ni kandamizi,’’, alisisitiza Bw. Kibakaya.

Aidha, Bw. Kibakaya aliwaeleza wananchi hao kuwa bila kujali aina ya shughuli wanazofanya uwekaji wa akiba ni muhimu kwa maisha ya sasa na baadaye hivyo ni vema kuwa na mipango ya mapato na matumizi huku wakitoa kipaumbele katika upande wa kuweka akiba.

Naye Afisa Sheria Mwandamizi kutoka Kurugenzi ya Ustawi na Huduma Jumuishi za Fedha wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Ramadhani Myonga, alisisitiza kuwa dhamana zinazowekwa kwa ajili ya mikopo ni lazima zifanyiwe tathmini ili kujua thamani halisi ya mali inayowekwa dhamana.

‘’Unapotaka kuweka dhamana kwenye mali ambazo hazihamishiki usiweke hati ya kiwanja au nyumba bila kutathmini kujua thamani halisi kwani endapo utashindwa kurejesha mkopo maafisa wasio waaminifu wanaweza kusababisha mali hiyo kuuzwa kwa bei rahisi ukafilisika na mkopo unakuwa haujaisha,’’ alisisitiza Bw. Myonga.

Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha iliyoambatana na Maafisa kutoka taasisi na watoa huduma za Fedha inaendelea na programu ya elimu ya fedha kwa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro ambapo makundi ya wakulima, wafungaji, na wajasiriamali yanatarajiwa kufikishiwa elimu hiyo.

About the author

Alex Sonna