marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

casinomilyon

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

vdcasino

Featured Kitaifa

TANZANIA MWENYEJI WA MKUTANO WA TATU WA NCHI ZINAZOZALISHA KAHAWA AFRIKA

Written by Alex Sonna

 

WAZIRI wa kilimo Mhe.Hussein Bashe,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Januari 14,2025 jijini Dodoma kuelekea  mkutano wa tatu  wa  nchi zinazozalisha kahawa Afrika (G25 African Coffee Summit) unaotarajiwa kufanyika Februari  21 na 22 mwaka huu  jijini Dar es  Salaam.Kushoto ni Naibu Waziri Mhe.David Silinde.

WAZIRI wa kilimo Mhe.Hussein Bashe,akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari wakati akizungumza  kuelekea  mkutano wa tatu  wa  nchi zinazozalisha kahawa Afrika (G25 African Coffee Summit) unaotarajiwa kufanyika Februari  21 na 22 mwaka huu  jijini Dar es  Salaam.Kushoto ni Naibu Waziri Mhe.David Silinde.

WAZIRI wa kilimo Mhe.Hussein Bashe,akizundua  mkutano wa tatu  wa  nchi zinazozalisha kahawa Afrika (G25 African Coffee Summit) unaotarajiwa kufanyika Februari  21 na 22 mwaka huu  jijini Dar es  Salaam.  

Na.Alex Sonna-DODOMA

RAIS  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan anatarajia kuwa mgeni rasmi  katika Mkutano wa tatu  wa  nchi zinazozalisha kahawa Afrika (G25 African Coffee Summit) uliopangwa kufanyika February 21 hadi 22,mwaka huu kwenye  ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere  jijini Dar es Salaam.

Hayo yamesemwa leo Januari 14,2025 jijini Dodoma na Waziri wa kilimo Mhe.Hussein Bashe,wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mkutano huo ambao umeandaliwa kwa  kushirikiana na Shirika la Kahawa la Afrika (IACO) kauli mbiu ya  Mkutano huo ni “Kufungua Fursa za Ajira kwa Vijana Kupitia Uboreshaji wa Sekta ya  Kahawa Afrika.” .  

Bashe amesema  mkutano huo utahudhuriwa na Wakuu wa nchi zinazolima Kahawa Barani Afrika,  Mawaziri wa Kilimo, Sekta Binafsi, Viongozi wa Taasisi za Kahawa katika nchi zinazolima  Kahawa, Wakulima na Wadau wengine katika mnyororo wa thamani wa Kahawa.

“Mkutano huu utatoa mwongozo wa jinsi ya kushirikiana na Umoja wa Afrika na Mashirika yake, Benki za Maendeleo za Afrika na taasisi nyingine za fedha ili kuunda programu zinazochochea  ujasiriamali na ajira kwa vijana kupitia Sekta ya Kahawa.”amesema Mhe.Bashe

Amesema  lengo la Tanzania kuomba uwenyeji wa mkutano huo ni pamoja na kutaka kuwaelewesha watanzania juu ya umuhimu wa zao la Kahawai hapa nchini na duniani kote,lakini kushawishi wakulima wajikite katika kilimo hiko.
Bashe amesema kuwa uzalishaji wa zao la Kahawa hapa nchini umeongezeka kutoka tani 34,000 hadi kufikia Tani 85,000 kwa mwaka jana,ambapo alisema  hiyo ni hatua kubwa katika kilimo cha zao hilo.
“Serikali iko katika hatua za kuliongezea mnyororo wa thamani wa zao hilo,ndio maana wameandaa mkutano huo ili wadau wa sekta ya Kahawa kuja.kubadilisha mawazo kuhusu zao hilo lakini pia kuona umuhimu wa biashara hiyo dunianie”amesema Bashe .
Aidha amesema kuwa Kituo cha Utafiti wa zao la Kahawa  kwa nchi za Afrika kinatarajia kujengwa mkoani Kilimanjaro kwa ajili ya kufanyia utafiti zao hilo kabla ya kuingia sokoni
Kuhusu ujenzi wa kituo cha Utafiti cha Kahawa ambacho kitafanya kazi ya utafi,Bashe alisema 
walikubaliana na Taasisi ya Uzalishaji Kahawai Afrika (IACO),kutoa eneo kwa ajili kituo kikubwa cha utafiti wa zao la Kahawa barani ambacho kitajengwa mkoani Kilimanjaro.
Amesema wameiomba Taasisi ya Uzalishaji Kahawai Afrika (IACO) kushirikiana nao kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda hicho ili kuhakikisha Kahawa inayozalishwa Barani Afrika ikiwemo Tanzania inakuwa safi.

Ameongeza kuwa kwa upande wa Tanzania utekelezaji huu umeanza kupitia Wizara ya Kilimo ambapo  imezindua programu wa ujasiriamali kwa vijana uitwao Jenga Kesho Iliyo Bora – Build a  Better Tomorrow – BBT ambapo mojawapo ya mipango inayotekelezwa ni kuanzisha  “Maduka ya kahawa yanayotembea” ili kuchochea na kuongeza matumizi ya kahawa nchini,”

 

Hata hivyo Mhe.Bashe  amesema mpango wa kuanzisha mkutano wa nchi wazalishaji wa kahawa Afrika ni matokeo ya azimio  lililopitishwa wakati wa mkutano wa 61 wa mwaka wa IACO uliofanyika Kigali, Rwanda, Novemba 18, 2021, la kuandaa mkutano wa ngazi ya juu wa nchi 25 zinazozalisha kahawa  barani Afrika ili kutathmini mapungufu na changamoto zinazosababisha kudumaa kwa wa sekta  ya kahawa Barani Afrika. 

“Baada ya kupitishwa kwa azimio hilo, Mkutano wa kwanza wa nchi wazalishaji wa kahawa  Afrika ulifanyika nchini Kenya mwezi Mei 2022, na ulipitisha “Tamko la Nairobi” (Nairobi  Declaration) ambalo liliazimia kuweka mkakati wa kuingiza zao la kahawa kama bidhaa  muhimu ya kimkakati katika Umoja wa Afrika (AU) sambamba na Agenda 2063 ya AU.”amesema Mhe.Bashe

Aidha  amesema  mkutano wa pili wa nchi wazalishaji wa kahawa Afrika uliofanyika Kampala, Uganda, Agosti  2023, ulipitisha Tamko la Kampala (Kampala Declaration) ambalo lilikusudia kuwaomba Wakuu wa Nchi 25 zinazozalisha kahawa barani Afrika kuunga mkono kuidhinishwa na  kujumuishwa kwa zao la kahawa kama bidhaa muhimu ya mkakati katika AGENDA 2063 ya  AU na kuifanya IACO kuwa shirika maalum la Umoja wa Afrika.

Katika Kikao cha 37 cha kawaida cha Baraza la kuu la umoja wa Afrika kilichofanyika Februari  2024 huko Addis Ababa, Wakuu wa Nchi na Serikali walipitisha kwa kauli moja kuingiza zao la  kahawa kama bidhaa muhimu ya mkakati katika AGENDA 2063 ya AU na kuifanya IACO kuwa  shirika maalum la Umoja wa Afrika. 

Amesema kuwa moja ya hatua zilizochukuliwa katika kutatua changamoto za biashara ya kahawa baina ya nchi  za Afrika ni kuanzishwa kwa Mkataba wa Biashara Huria Afrika (African Continental Free Trade  Area – AfCFTA) wa 2018 kwa lengo la kuondoa vikwazo vya biashara katika ya nchi za Africa na  hivyo utekelezaji kamili wa mkataba huo utaimarisha biashara ya kahawa bila vizuizi baina ya  nchi za Africa.

Hivyo, Mkutano huu wa Tatu  utajadili maeneo muhimu katika mnyororo wa  thamani wa kahawa kwa ajili ya kufungua fursa za biashara na ajira kwa vijana. 

About the author

Alex Sonna