marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sakarya escort

izmit escort

matbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

bahiscasino

marsbahis giriş

marsbahis

perabet giriş

interbahis

betmarino

betpipo giriş

imajbet

betmarino

casinowon

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

aaa

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

holiganbet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

grandpashabet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

ngsbahis giriş

perabet

ngsbahis

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

vbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

lordcasino

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

deneme bonusu

jasminbet

jasminbet giriş

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu

interbahis

agb99

betper

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

sekabet giriş

Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU AFUNGUA SKULI YA SEKONDARI MAKOBA YA ZANZIBAR

Written by Alex Sonna

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua Skuli ya Sekondari Makoba iliyoko Kaskazini Unguja ikiwa shamrashamra za Maadhimisho ya Maka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Januari 5, 2025. Wa pili kushoto ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Leila Muhamed Musa.

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wasimamizi wa miradi inayotekelezwa na Serikali ikiwemo ya elimu kuhakikisha inakamilika kwa wakati na kwa ubora unaolingana na thamani ya fedha iliyotolewa.

Ametoa wito huo leo (Jumatatu Januari 06, 2025) wakati wa ufunguzi wa Skuli ya Sekondari ya Makoba iliyopo Mkoa wa Kaskazini Unguja, Zanzibar. Ufunguzi wa skuli hiyo ni sehemu ya shamrashamra kuelekea maadhimisho ya miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Amesema kuwa Serikali imeendelea kutenga rasilimali fedha kwa ajili ya maendeleo ya sekta ya elimu ambayo kwa kiasi kikubwa imewezesha kuweka mazingira bora ya upatikanaji wa elimu ikiwemo ujenzi wa miundombinu.

Aidha, Mheshimiwa Waziri Mkuu amesema kuwa katika kipindi cha miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameendelea kuipa hadhi sekta ya elimu kwa kuhakikisha kunakuwa na ufanisi wa utoaji wa huduma za elimu.

“Sina shaka leo hii chini ya Jemedari Dkt. Hussein Ali Mwinyi sote tunashuhudia mwendelezo wa hatua kubwa ya kuongeza fursa za upatikanaji wa elimu nchini. Suala hili ni la kujivunia kwa kuwa ni Matunda ya Mapinduzi ambayo sasa yanafikisha miaka 61 tangu kuasisiwa kwake”.

Kadhalika, Mheshimiwa Majaliwa amesema kuwa Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Hussein Mwinyi, imeendelea kufanya mageuzi makubwa ya elimu katika kuhakikisha kunakuwa na ufanisi wa utoaji wa huduma za elimu nchini. “Mageuzi hayo ni pamoja na kutekeleza mtaala mpya wa umahiri utakaomwezesha mtoto kujifunza kwa vitendo na kumudu kasi kubwa ya mabadiliko ya sayansi na teknolojia”.

Ameongeza kuwa Serikali imeendelea kutekeleza mipango, mikakati na kufanya jitihada za makusudi za kuhakikisha kunakuwa na maendeleo kwenye sekta zote za kijamii ili kuleta tija inayotarajiwa kwa wananchi bila ubaguzi wa aina yoyote.

Kwa upande wake, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Lela Mohamed Mussa amesema kuwa Rais Dkt. Mwinyi ameendeleza ari ya Waasisi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuhakikisha analeta mageuzi makubwa katika Sekta ya Elimu.

“Serikali hii iliahidi kuboresha miundombinu ya madarasa kwa shule za msingi kwa kujenga madarasa 1,000 na 500 kwa ngazi ya Sekondari na mpaka sasa kwa ngazi ya msingi imejenga madarasa 2,893 na ngazi ya Sekondari imejenga madarasa 1,917”

Ujenzi wa Shule hiyo ambao umefikia asilimia 100 umegharimu kiasi cha shilingi bilioni 6.1 ambazo zimetolewa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inayoongozwa na Rais Dkt Hussein Ali Mwinyi.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kufungua Skuli ya Sekondari Makoba iliyoko Kaskazini Unguja ikiwa shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Januari 5, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi alipowasili kwenye uwanja wa Ndege Abeid Amani Karume Zanzibar ambako alifungua Skuli ya Sekondari Makoba iliyoko Kaskazini Unguja ikiwa shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Januari 5, 2025. (Picha na Of isi ya Waziri Mkuu)

Wananchi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipozungumza baada ya kufungua Skuli ya Sekondari Makoba iliyoko Kaskazini Unguja ikiwa shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Januari 5, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akimsikiliza Mwanafunzi, Ali Mustafa alipotembelea Maktaba ya Skuli ya Sekondari Makoba iliyoko Kaskazini Unguja baada ya kufungua Skuli hiyo ikiwa ni shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar, Januari 5, 2025. Wa pili kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Khamis Abdallah Said na wa pili kushoto ni Mkurugenzi Mkuu, Bodi ya Huduma za Maktaba Zanzibar, Dkt. Ulfat Abdulaziz Ibrahim. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wanafunzi alipogua madarasa kabla ya kufungua Skuli ya Sekondari Makoba iliyoko Kaskazini Unguja ikiwa shamrashamra za Maadhimisho ya Maka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Januari 5, 2025. Kushoto wake ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Leila Muhamed Mussa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe alipofungua Skuli ya Sekondari Makoba iliyoko Kaskazini Unguja ikiwa shamrashamra za Maadhimisho ya Maka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Januari 5, 2025. Kulia kwake ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Leila Muhamed Musa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana viongozi kwenye Uwanajwa wa Ndege wa Abeid Amani Karume, Zanzibar baada ya kufungua Skuli ya Sekondari Makoba iliyoko Kaskazini Unguja ikiwa shamrashamra za Maadhimisho ya Maka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Januari 5, 2025. Julia kwak ni Waziri wa Elimu na mafunzo ya Amali Zanzibar, Leila Muhamed Musa. (Picha na Of isi ya Waziri Mkuu

About the author

Alex Sonna