Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

TIA YAPONGEZWA ELIMU KWA VITENDO

Written by Alex Sonna
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Christian Omolo, akimkabidhi cheti cha pongezi kwa kufanya vizuri katika masomo yake ya Rasilimali Watu, Bi. Naf-hat fahmi Hamed, wakati wa Mahafali ya 22 ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) katika Kampasi ya Dar es Salaam Viwanja vya Kurasini ambayo ni Makao Makuu ya Taasisi hiyo.
 
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bi. Jenifa Christian Omolo, akizungumza na hadhara wakati wa Mahafali ya 22 ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) katika Kampasi ya Dar es Salaam Viwanja vya Kurasini ambayo ni makao makuu ya Taasisi hiyo.
 
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Christian Omolo, akiteta jambo na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Prof. William Pallangyo, wakati wa Mahafali ya 22 ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) katika Kampasi ya Dar es Salaam Viwanja vya Kurasini ambayo ni makao makuu ya Taasisi hiyo.
 
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Taasisi ya Uhasibu, Prof. Jehovaness Aikael, akizungumza na hadhara wakati wa Mahafali ya 22 ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) katika Kampasi ya Dar es Salaam Viwanja vya Kurasini ambayo ni Makao Makuu ya Taasisi hiyo.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bi. Jenifa Christian Omolo (katikati), akiwa katika maandamano ya Mahafali ya 22 ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) katika Kampasi ya Dar es Salaam Viwanja vya Kurasini ambayo ni Makao Makuu ya Taasisi hiyo. Kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Prof. William Pallangyo na kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Taasisi ya Uhasibu Prof. Jehovaness Aikael. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Dar es Salaam)
……
Na: Josephine Majura na Scola Malinga WF, Dar es Salaam.
Taasisi ya Uhasibu (TIA), imepongezwa kwa kuwa mstari wa mbele katika kuwaendeleza wanafunzi wenye mawazo ya kibunifu ili waweze kufikia malengo yao na kutekeleza Mpango wa Vituo Atamizi, unaowawezesha wanafunzi kujiajiri, kuajirika, na kuchangia uchumi wa Taifa.
 
Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bi. Jenifa Christian Omolo kwa niaba ya Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb,) kwenye sherehe za Mahafali ya 22 ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) katika Kampasi ya Dar es Salaam Viwanja vya Kurasini ambayo ni Makao Makuu ya Taasisi hiyo.
 
Bi. Omolo alisema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuwekeza katika kuboresha miundombinu ya elimu ili kukidhi ongezeko la udahili.
 
“TIA ni miongoni mwa Taasisi zilizowezeshwa jumla ya shilingi za Kitanzania bilioni 58.1, kwa ajili ya kukamilisha miradi mbalimbali ya maendeleo hususan ujenzi wa miundombinu ya kusomea na kufundishia”,alisema Bi. Omolo.
 
Aliwapongeza uongozi na watumishi wa TIA kwa kusimamia vizuri rasilimali fedha na kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa wakati na kwa umakini.
 
Aidha, Bi. Omolo aliwasisitiza Menejimenti ya Chuo kuhakikisha inaweka mipango madhubuti ili kuhakikisha miundombinu iliyopo kwenye Taasisi hiyo inatunzwa ili iweze kukaa muda mrefu na kutumika na watu wengi.
 
Akizungumza na Wahitimu, Bi. Omolo aliwasisitiza kutumia mitandao ya kijamii kwa njia chanya kwa lengo la kujifunza, kujitangaza kibiashara, na kujipatia kipato kwa kuwa ni rasilimali yenye nguvu.
 
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Taasisi ya Uhasibu, Prof. Jehovaness Aikael, aliwaasa wahitimu kuwa mabalozi wazuri wa Chuo hicho kwa kuonesha uadilifu na ufanisi.
 
“Mafunzo mliyoyapata hapa yakawe chachu katika jamii zetu kwa kuwa sisi ni wataalamu hivyo mkaipeperushe bendera ya TIA kwa kuwa mfano wa kuigwa katika maeneo mbalimbali na sehemu za kazi ili kuleta mabadiliko katika jamii,” alisema Prof. Aikael.
 
Naye Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Prof. William Pallangyo, alisema kuwa kumekuwa na ongezeko la idadi ya Wanafunzi mwaka hadi mwaka hilo limechangiwa na kuongezeka idadi ya wanufaika wa mikopo kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB). 
 
Prof. Pallangyo, aliishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuongeza idadi ya wanufaika na kiwango cha mkopo kwa wanachuo wa TIA.
 
Aliongeza kuwa katika mwaka wa masomo 2024/2025, jumla ya wanachuo 12,263 wamenufaika na mkopo wenye thamani ya takribani shilingi bilioni 7.49 kiasi ambacho ni sawa na ongezeko la asilimia 35.9 ikilinganishwa na wanachuo 9,025 katika mwaka wa masomo 2023/2024, waliopokea jumla ya shilingi bilioni 6.14.
 
“Ninayo furaha kubwa kukufahamisha kuwa, mahafali haya yameambatana na kuanzishwa kwa Kampasi ya Nane, Mkoani Tanga”, alisema Prof. Pallangyo.
 
Alifafanua kuwa ni hatua muhimu inayotimiza dhamira ya TIA ya kufikisha huduma karibu na wananchi kupitia Kampasi zake zilizopo Kanda zote za Tanzania. 
 
Prof. Pallangyo, alisema kuwa Kampasi hizo zenye jumla ya Wanachuo 31,084, zipo kimkakati katika Mikoa ya Dar es Salaam (Kanda ya Pwani), Singida (Kanda ya Kati), Mbeya (Kanda ya Nyanda za Juu usini), Mtwara (Kanda ya Kusini), Mwanza (Kanda ya Ziwa), Kigoma (anda ya Magharibi), Tanga (Kanda ya Kaskazini), na Zanzibar.

About the author

Alex Sonna