Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

spinco

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

UDOM YAJA NA KOZI MAALUM YA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA UCHELEWESHAJI WA MIRADI

Written by Alex Sonna

 

Makamu Mkuu wa Chuo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Prof. Lughano Kusiluka akizungumza kwenye uzinduzi wa kozi fupi ya Ufuatiliaji na Tathmini ya miradi mbalimbali leo Disemba 10,2024 uliofanyika chuoni hapo.

Na Gideon Gregory, Dodoma.

Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kimezindua kozi fupi ya Ufuatiliaji na Tathmini ya miradi mbalimbali yenye lengo la kuisaidia Serikali kukabiliana na changamoto ya ucheleweshwaji wa kukamilisha miradi kwa wakati.

Akizungumza leo Disemba 10,2024 Jijini Dodoma mara baada ya kufungua mafunzo ya muda mfupi kwa wataalamu kutoka sekta mbalimbali toka mikoa mbalimbali ya Tanzania Bara na Zanzibar, Makamu Mkuu wa Chuo hicho Prof. Lughano Kusiluka, amesema mafunzo hayo ni muhimu katika kuhakikisha miradi inatekelezeka kwa wakati.

“Eneo la Ufuatiliaji na Tathmini ya miradi ni eneo nyeti na muhimu kuanzia hatua ya kuanza kuandika mradi hadi utekelezaji wake, ikiwemo miradi ya ujenzi wa miundombinu au utafiti”. Amesema, bila kuweka utaratibu mzuri wa usimamizi na tathmini mradi hauwezi kutekelezeka na ni hasara kwa Taifa na ndiyo sababu ya miradi mingi kushindwa kukamilika kwa wakati.

Aidha, Prof. Kusiluka amewakaribisha wasimamizi wanaokabidhiwa miradi kujiunga na kozi hiyo inatolewa na UDOM, ili kujua namna ya kukabiliana na changamoto ya usimamizi na ufuatiliaji wa miradi na kujiandaa na mbinu za kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazojitokeza wakati wa uendeshaji, ili kuwa na miradi inayotekelezeka.

“Mojawapo ya eneo linalofundishwa hapa ni kuwaangalia mradi wa aina gani, ulikuwa unahitaji kutekelezwa kwa kiasi gani na mambo gani yanatakiwa kufanyika lini na wapi ili wasimamizi wa miradi waweze kuwa na matokeo yanayotarajiwa,”amesema.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Taasisi ya Taaluma za Maendeleo UDOM Dkt. Ajali Mustafa, amesema matarajio yao kupitia kozi hiyo ni kwenda kuwatengeneza wasimamizi walio bora na watakoongoza miradi ya Serikali.

Amesema lengo la kozi hiyo ni kupeleka maarifa kwa watumishi wa taasisi za umma na binafsi huku akiongeza kuwa msukumo uliowapelekea kuanzisha kozi hiyo ni uhitaji mkubwa wa wataalamu wenye ujuzi wa usimamizi wa miradi na kwakuwa UDOM ina wataaalamu wabobevu kwenye sekta hiyo imekuwa vema kuanzisha kozi fupi ili kuwafikia walengwa.

“Hii tunaichukulia kama sehemu ya kutoa ushauri na maarifa yanayohusiana na utathmini ili kuweza kutekeleza majukumu ya taasisi mbalimbali zinazotekelezeka miradi ya maendeleo nchini,’amesema.

Naye Afisa usimamizi wa milki kutoka Shirika la Nyumba Zanzibar Bw. Juma Hassan, amesema kupitia kozi hiyo itaenda kusaidia miradi mbalimbali kukamilika kwa wakati huku akibainisha matarajio yao.

Amesema matarajio yao ni kuwa baada ya kozi hiyo washiriki wataweza kutatua changamoto nyingi zinazotokana na masuala ya Ufuatiliaji na Tathmini na hivyo kutoa ufumbuzi kwa masuala mbalimbali yanayohusu usimamizi wa miradi hususani ile ya Serikali.

Makamu Mkuu wa Chuo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Prof. Lughano Kusiluka akizungumza kwenye uzinduzi wa kozi fupi ya Ufuatiliaji na Tathmini ya miradi mbalimbali leo Disemba 10,2024 uliofanyika chuoni hapo.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Taaluma za Maendeleo
Chuo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dkt. Ajali Mustafa akimkaribisha Makamu Mkuu wa UDOM Prof. Lughano Kusiluka kwaajili ya kuzindua kozi fupi ya Ufuatiliaji na Tathmini ya miradi mbalimbali leo Disemba 10,2024 uliofanyika chuoni hapo.

Baadhi ya wataalamu kutoka katika sekta mbalimbali toka mikoa mbalimbali ya Tanzania Bara na Zanzibar walioshiriki kwenye uzinduzi wa kozi fupi ya Ufuatiliaji na Tathmini ya miradi mbalimbali leo Disemba 10,2024 yaliyofanyika katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).

Picha ya pamoja ya wataalamu kutoka katika sekta mbalimbali za Tanzania Bara na Zanzibar pamoja na wanafunzi walioshiriki kwenye uzinduzi wa kozi fupi ya Ufuatiliaji na Tathmini ya miradi mbalimbali leo Disemba 10,2024 uliofanyika katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).

About the author

Alex Sonna