slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

jojobet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

vdcasino

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

interbahis

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

meritking

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

betist

betist

marsbahis

jojobet giriş

matbet

sekabet

pusulabet

Featured Kitaifa

TCRA YAZINDUA KAMPENI YA “NI RAHISI SANA” KANDA YA KASKAZINI KUHIMIZA KUJILINDA NA UHALIFU MTANDAONI

Written by Alex Sonna

 

 

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Kaskazini Mhandisi Francis Mihayo akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Ni Rahisi Sana

 

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Kaskazini Mhandisi Francis Mihayo akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Ni Rahisi Sana

Na Mwandishi wetu- Malunde 1 blog

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Kaskazini imezindua Kampeni Kabambe ilijulikanayo kama ‘Ni Rahisi Sana’ yenye lengo la kuwahimiza watanzania wote wajilinde dhidi ya uhalifu mtandaoni.

Akizungumza wakati wa Uzinduzi huo wa Kampeni ‘NI RAHISI SANA’ leo Jumatano Oktoba 9,2024 katika jengo la PAPU Jijini Arusha, Meneja wa TCRA Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Manyara, Kilimanjaro na Tanga) Mhandisi Francis Mihayo amesema moja ya majukumu ya TCRA ni kujenga jamii inayowezeshwa vyema na huduma za mawasiliano kupitia udhibiti kwa ajili ya ustawi wa jamii ya Tanzania.

“Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inaungana na Dunia katika kuadhimisha Mwezi wa Elimu ya Usalama Matandaoni, ambayo huadhimishwa Oktoba kila mwaka kwa kuwahimiza wananchi wajilinde dhidi ya uhalifu mtandaoni. Kama mdhibiti wa huduma za mawasiliano nchini Tanzania na muwezeshaji uchumi wa kidijitali, TCRA katika kutekeleza majukumu yake hivi karibuni Mkurugenzi mkuu  wa TCRA Dk Jabiri Bakari alizindua kampeni kabambe ijulikanayo “ Ni Rahisi Sana” na leo hii tumezindua Kampeni hii katika Kanda ya Kaskazini”,amesema Mhandisi Mihayo.

“Kampeni hii ya Ni Rahisi Sana imelenga kuwahimiza watanzani wote tujilinde dhidi ya uhalifu mtandaoni kwani uwepo wa mazingira salaama mtandaoni yatawezesha kufikia malengo ya uchumi wa Kidijiti.Katika wakati tuliopo sasa wa kidigitali matumizi ya teknolojia yamekua yakiongezeka kwa kasi na ni muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku”,amesema Mhandisi Mihayo. 

Amebainisha kuwa Kampeni ya Ni Rahisi Sana itakapotekelezwa kwa mujibu wa mpango uliopendekezwa itakuwa na matokeo mengi ikiwemo Kuongeza uelewa kwa umma juu ya kutosambaza taarifa za uongo, Uelewa wa umma juu ya kugundua maudhui ya upotoshaji, Kujua utaratibu wa kuripoti kwa watumiaji wanapokumbana na taarifa za uongo wanapotumia huduma za mawasiliano, Uelewa Zaidi kwenye jina la kikoa cha DOT TZ, ili kupunguza Ufutaji wa kikoa cha DOT TZ, Kuongeza idadi ya usajili wa kikoa cha DOT TZ na Kuongeza idadi ya watumiaji na mwingiliano kupitia mitandao yetu ya kijamii.

 

Amefafanua kuwa, Kampeni ya ‘Ni Rahisi Sana’ imegawanyika katika awamu mbili kwa muda wa miezi sita (1 Oktoba, 2024 mpaka 30 Machi, 2025) ambapo Kipindi cha kwanza kitakuwa kuanzia (1 Oktoba 2024 hadi 31 Disemba 2024) na kipindi cha pili kitakuwa kuanzia (1 Januari 2025 hadi 30 Machi 2024)

Mhandisi Mihayo ameeleza kuwa, Kampeni hii Ni Rahisi Sana inalenga kuwapa watu Maarifa muhimu ya kuzunguka katika majukwaa mbalimbali ya  kidijitali yanayohusu  usalama mtandaoni; Kuongeza usajili wa jina la kikoa cha DOT TZ, kuongeza uelewa juu ya jinsi TCRA inavyosaidia bunifu mbali mbali zinazohusu TEHAMA, Kuongeza uelewa juu ya kuripoti vitendo vya ulaghai na kukomesha kueneza habari za uongo kwa jamii na Kuthamini wateja na wadau wengine nchini Tanzania.

Amesema Kampeni ya Ni Rahisi Sana italenga zaidi watoto, vijana na wazee wakiwemo watu wenye mahitaji maalum ambapo pia itazingatia Mashirika au Mashirika ya Biashara, Mashirika yasiyo ya Faida (NGOs), Wanafunzi, Wamiliki wa Biashara, Watoa maamuzi, Waliopewa Leseni na TCRA na Mashirika ya Kitaalamu.

Kwa kuelewa matumizi ya jamii ya Watanzania, TCRA imeandaa ujumbe mahususi kwa kila eneo la kuongeza elimu na utatolewa kupitia vyombo vya habari, ujumbe kwenye simu za mkononi na kwenye maeneo ya umma kama stendi za mabasi, minada mbali mbali nk.

 “Kauli mbiu ya kampeni “Ni Rahisi sana” itakuwa inasisitiza mambo mbalimbali mfano;

Ni rahisi sana kumtambua tapeli kwani atakupigia namba ya kawaida badala ya namba 100;

Ni rahisi sana kutoa taarifa kwa mtu anayetaka kukutapeli tuma namba yake kwenye namba 15040;

Ni rahisi sana kuwasiliana na TCRA endapo una malalamiko yanayomuhusu mtoa huduma wako au ukitaka kupata elimu au ushauri wa kutaka kuanzisha biashara ya mawasiliano piga namba ya bure 0800008272;

Ni rahisi sana kujua maudhui mtandaoni yanayolenga kupotosha 

Ni rahisi sana kujua habari feki;

Ni rahisi sana kwa shule za awali, msinigi, sekondari na vyuo kuanzisha club za Kidijitali;

Ni rahisi sana kujisajili na kuanza kutumia Kikoa cha DOT TZ;

Ni rahisi sana kwa wabunifu wote katika nyanja za TEHAMA kupata kupata rasilimali kama namba na masafa kwaajili ya kufanyia majiribio bunifu zao;

Ni rahisi sana kuhuisha mifumo ya kifaa cha mawasiliano

Ni rahisi sana kusoma vigezo na masharti 

Ni rahisi sana kuchukua tahadhari kwa watoto wetu wanapotumia mitandao

Ni rahisi sana kujilinda dhidi ya majaribio ya udukuzi 

Ni rahisi sana kutambua usahihi wa taarifa

Ni rahisi sana kutambua vyanzo vya habari 

Ni rahisi sana kujielimisha na kusoma zaidi 

Ni rahisi sana kutumia teknolojia kuhakiki taarifa mtandaoni “,amesema Mhandisi Mihayo.

Mhandisi Mihayo ameeleza kuwa, watu wengi nchini Tanzania hawana ujuzi wakutosha wa matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii pamoja na namna ya kulinda  usalama wao mitandaoni, jambo linalowafanya kuwa hatarini kwa mashambulizi, ulaghai wa mtandaoni na pia matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii. 

 “TCRA kupitia kitengo cha Mawasilino na Mahusiano ya Umma (CPRU) inatambua umuhimu wa kukuza elimu ya kidijitali na usalama mitandaoni ili kuhakikisha mazingira ya kidijitali yana usalama na kuhamasisha juu ya fursa zilizopo kwa matumizi sahihi mtandao kwa wananchi wote kushiriki kwa usalama kiuchumi na kisiasa hasa katika kipindi cha chaguzi mbalimbali”,amesema Mhandisi Mihayo.

“Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania imekuwa ikitoa elimu katika maeneo mengi kwa uwazi kwa miaka mingi, ingawa utoaji wa elimu umeendelea kuwa endelevu wakati wote. Mabadiliko ya kasi ya teknolojia yamekuwa yakienda sambamba na ongezeko la vitendo vya ulaghai mitandaoni, ambapo wahusika wamekuwa wakibuni mbinu mpya kila wakati na kusababisha elimu ya usalama iwe endelevu wakati wote kwa jamii nzima. Mamlaka itaendelea kuelimisha umma kwa kusisitiza matumizi chanya ya teknolojia”,ameongeza Mhandisi Mihayo.  

 

 

 

 

About the author

Alex Sonna