Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

google

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

lisanslı casino siteleri

jojobet

holiganbet

jojobet

betpark

maxwin

jojobet

casibom

ultrabet giriş

lunabet

jojobet

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

piabellacasino

ultrabet

piabellacasino

piabellacasino

kulisbet

betlike

artemisbet

piabellacasino

jojobet giriş

mavibet

casinoroyal

artemisbet

hdabla

doeda

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

maxwin giriş

matbet

dinamobet giriş

jojobet

casibom

ultrabet

goldenbahis

jojobet

jojobet

casibom

casibom

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

holiganbet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

jojobet

royalbet

jojobet

betface

betface

pashagaming

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

avrupabet

betsat

betpark giriş

vdcasino

jojobet

casibom

betsat

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

Featured Kitaifa

TANZANIA NA OMAN KUSHIRIKIANA KATIKA MAENEO MUHIMU YA MAENDELEO

Written by Alex Sonna
Waziri wa Fedha, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (kulia), akipokea zawadi ya Kitabu chenye historia ya Oman, kutoka kwa Balozi wa Oman nchini Tanzania, Mhe. Mhe. Saud Al-Shidhani, mara baada ya kumalizika kwa mazungumzo yao, yaliyofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha Jijini Dar es Salaam, ambapo wamejadiliana kuhusu kuendeleza ushirikiano baina ya nchi hizo mbili katika Nyanja mbalimbali za maendeleo ikiwemo, katika Sekta ya Nishati na Madini, kutengeneza mazingira bora ya uwekezaji baina ya nchi hizo, Ushirikiano wa mafunzo katika masuala ya Kodi pamoja na kuondoa Utozaji kodi mara mbili kwa wawekezaji na wafanyabiashara watakaofanya shughuli zao kati ya nchi hizo mbili.
Na Joseph Mahumi, WF, Dar es Salaam
 
Tanzania na Oman zimekubaliana kuendeleza ushirikiano katika nyanja mbalimbali za maendeleo ikiwemo Sekta ya Nishati na Madini, kutengeneza mazingira bora ya uwekezaji, kubadilishana uzoefu na mafunzo katika masuala ya kodi pamoja na kuondoa utozaji kodi mara mbili kwa wawekezaji na wafanyabiashara watakaofanya shughuli zao kati ya nchi hizo mbili.
 
Hayo yamesemwa wakati wa kikao cha Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) alipokutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Oman nchini Tanzania, Mhe. Saud Al-Shidhani, katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha Jijini Dar es Salaam.
 
Mhe. Dkt. Nchemba, alisema kuwa ajenda kubwa ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, ni kuhakikisha inawezesha sekta binafsi kuwa na nguvu, sambamba na uboreshaji wa mazingira ya biashara na uwekezaji, hivyo ushirikiano kati ya nchi hizo utaendelea kunufaisha sekta binafsi na wawekezaji kwa kiasi kikubwa.
 
“Serikali zetu mbili zimeanzisha Tume ya Kudumu ya Pamoja inayosimamia maeneo ya ushirikiano kati ya nchi zetu mbili, ikiwemo biashara na uwekezaji, hivyo natarajia kutakuwa na fursa ya kupanua zaidi ushirikiano wetu wa maendeleo kwa manufaa ya watu wetu” alisema Dkt. Nchemba
 
Alikubali maombi ya Balozi wa Oman ambaye alisisitiza umuhimu wan chi yake kujifunza zaidi kuhusu mifumo ya kodi kutoka Tanzania kwa kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania ina uzoefu mkubwa katika aneo hilo na kwamba nchi yake imeanza kutoza kodi hivi karibuni. 
 
“Tunatazamia Ushirikiano wa mafunzo hasa kwenye masuala ya kodi, na sehemu ambazo nchi zetu hizi mbili zina utaalamu mahsusi, lengo ni kujengeana uwezo pamoja ili tuweze kunufaika zaidi” alisema Dkt. Nchemba.
 
Naye Balozi wa Oman nchini Tanzania, Mhe. Saud Al-Shidhani, ameipongeza Tanzania kwa kupiga hatua katika masuala ya kodi na ameona fursa ya kubadilishana uwezo katika masuala ya kodi ikiwa ni moja ya ajenda kubwa ya ushirikiano kati ya nchi hizo.
 
Mhe. Balozi Al-Shidhani, alisema kuwa biashara kati ya nchi hizi mbili umeongezeka kwa kiasi kikubwa na kuna tija kubwa ya kuondoa utozaji kodi mara mbili kwa wawekezaji na wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao kati ya nchi hizo mbili.
 
“Tunapenda kusema kuwa Oman tunataka kujifunza namna ya kushughulikia masuala ya ukusanyaji wa mapato kwa Kuwa Tanzania tayari imepiga hatua katika masuala hayo na sisi tumeanza miaka ya karibuni, kwa hiyo tuna mengi ya kujifunza” alisema balozi huyo.
 
Kikao hicho kilihudhuriwa na Kamishna Msaidizi Idara ya Fedha za Nje Bw. Melckzedeck Mbise, Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Sheria Wizara ya Fedha, Bi. Mwantumu Sultan na Maafisa wengine waandamizi wa Serikali.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (kulia) na Balozi wa Oman nchini Tanzania, Mhe. Saud Al-Shidhani, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukutana na kufanya mazungumzo katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha Jijini Dar es Salaam, kuhusu kuendeleza ushirikiano baina ya nchi hizo mbili katika Nyanja mbalimbali za maendeleo ikiwemo, katika Sekta ya Nishati na Madini, kutengeneza mazingira bora ya uwekezaji baina ya nchi hizo, Ushirikiano wa mafunzo katika masuala ya Kodi pamoja na kuondoa Utozaji kodi mara mbili kwa wawekezaji na wafanyabiashara watakaofanya shughuli zao kati ya nchi hizo mbili.
Waziri wa Fedha, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (Katikati) akiongoza kikao chake na Balozi wa Oman nchini Tanzania, Mhe. Saud Al-Shidhani, wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na balozi huyo katik Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha Jijini Dar es Salaam, kuhusu kuendeleza ushirikiano baina ya nchi hizo mbili katika Nyanja mbalimbali za maendeleo ikiwemo, katika Sekta ya Nishati na Madini, kutengeneza mazingira bora ya uwekezaji baina ya nchi hizo, Ushirikiano wa mafunzo katika masuala ya Kodi pamoja na kuondoa Utozaji kodi mara mbili kwa wawekezaji na wafanyabiashara watakaofanya shughuli zao kati ya nchi hizo mbili. Wengine katika picha ni Kamishna Msaidizi Idara ya Fedha za Nje Bw. Melckzedeck Mbise (wa pili kushoto), Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Sheria Wizara ya Fedha, Bi. Mwantumu I. Sultan ( wa kwanza kushoto) na Maafisa wengine waandamizi wa Serikali.
Waziri wa Fedha, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) akizungumza jambo wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Oman nchini Tanzania, Mhe. Saud Al-Shidhani (hayupo pichani), katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha Jijini Dar es Salaam, kuhusu kuendeleza ushirikiano baina ya nchi hizo mbili katika Nyanja mbalimbali za maendeleo ikiwemo, katika Sekta ya Nishati na Madini, kutengeneza mazingira bora ya uwekezaji baina ya nchi hizo, Ushirikiano wa mafunzo katika masuala ya Kodi pamoja na kuondoa Utozaji kodi mara mbili kwa wawekezaji na wafanyabiashara watakaofanya shughuli zao kati ya nchi hizo mbili.
Balozi wa Oman nchini Tanzania, Mhe. Saud Al-Shidhani, akizungumza jambo wakati wa kikao na Waziri wa Fedha, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (hayupo pichani), wakati walipokutana na kufanya mazungumzo katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha Jijini Dar es Salaam, kuhusu kuendeleza ushirikiano baina ya nchi hizo mbili katika Nyanja mbalimbali za maendeleo ikiwemo, katika Sekta ya Nishati na Madini, kutengeneza mazingira bora ya uwekezaji baina ya nchi hizo, Ushirikiano wa mafunzo katika masuala ya Kodi pamoja na kuondoa Utozaji kodi mara mbili kwa wawekezaji na wafanyabiashara watakaofanya shughuli zao kati ya nchi hizo mbili.
Waziri wa Fedha, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (kulia), akipokea zawadi ya Kitabu chenye historia ya Oman, kutoka kwa Balozi wa Oman nchini Tanzania, Mhe. Mhe. Saud Al-Shidhani, mara baada ya kumalizika kwa mazungumzo yao, yaliyofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha Jijini Dar es Salaam, ambapo wamejadiliana kuhusu kuendeleza ushirikiano baina ya nchi hizo mbili katika Nyanja mbalimbali za maendeleo ikiwemo, katika Sekta ya Nishati na Madini, kutengeneza mazingira bora ya uwekezaji baina ya nchi hizo, Ushirikiano wa mafunzo katika masuala ya Kodi pamoja na kuondoa Utozaji kodi mara mbili kwa wawekezaji na wafanyabiashara watakaofanya shughuli zao kati ya nchi hizo mbili
 
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Dar es Salaam)

About the author

Alex Sonna