Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

google

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

lisanslı casino siteleri

jojobet

holiganbet

jojobet

betpark

maxwin

jojobet

casibom

ultrabet giriş

lunabet

jojobet

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

piabellacasino

ultrabet

piabellacasino

piabellacasino

kulisbet

betlike

artemisbet

piabellacasino

jojobet giriş

mavibet

casinoroyal

artemisbet

hdabla

doeda

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

maxwin giriş

matbet

dinamobet giriş

jojobet

casibom

ultrabet

goldenbahis

jojobet

jojobet

casibom

kalebet

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

holiganbet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

jojobet

royalbet

jojobet

betface

betface

pashagaming

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

avrupabet

betsat

betpark giriş

vdcasino

jojobet

casibom

betsat

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

Featured Kitaifa

KAMATI YA BUNGE YATEMBELEA KIWANDA CHA SUKARI BAGAMOYO

Written by Alex Sonna

 

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo na Mifugo ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wake Mhe. Mariam Ditopile Mzuzuri ikiongozana na Mwenyeji wao Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt.Hashil Abdallah ikitembelea Kiwanda cha Sukari cha Bagamoyo kwa lengo la kukagua shughuli za sekta binafsi zinazosimamiwa na serikali ili kuhakikisha mwananchi anapata thamani ya kile anachostahiki.

……

WATANZANIA wametakiwa kutambua kuwa serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan haina mpango wa kuviua viwanda vya ndani vinavyozalisha sukari kama wanavyodai baadhi ya watu.

Pia wametakiwa kutambua dhamira ya Rais Dk. Samia ni kukuza viwanda hivyo kuhakikisha uzalishaji wake unaongezeka kuiwezesha nchi kujitosheleza kwa mahitaji ya sukari hususani ya viwandani ndani na nje ya nchi.

Kauli hiyo ilitolewa jana na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Mariam Ditopile alipotembelea kiwanda cha sukari cha Bagamoyo kwa lengo la kukagua shughuli za sekta binafsi zinazosimamiwa na serikali kuhakikiasha mwananchi anapata thamani ya kile anachostahiki kukipata.

“Watanzania puuzeni uzushi wote unaosemwa serikali ya Rais Dk. Samia inataka viwanda vya sukari nchini vife huo sio ukweki, jambo lililotokea lilikuwa la dharura ni lazima serikali iingilie ili kumuokoa mwananchi wa kawaida ambaye ndiye mlaji wa mwisho wa sukari,” alisema.

Alisema Rais Dk. Samia amekuwa akiendelea kuunga mkono juhudi za uwekezaji lengo likiwa kuiwezesha nchi kujitosheleza kwa mahitaji ya sukari hususani ya viwandani.

“Kwa hatua hizi anazozifanya nina uhakika anakwenda kufifikisha nchi ya Tanzania kwenda kuuza sukari nchi jirani na mabara tofauti,” alisema.

Pia alipongeza uwekezaji uliofanywa na kiwanda hicho kwani unachochea ukuaji wa uchumi na ajira hivyo kamati itaendelea kuishauri na kuisimamia serikali kuona kiwanda kinakuwa endelevu na mipango iliyowekwa inakamilika.

Alimpongeza Rais Dk. Samia kwa kuendeleza uwekezaji mkubwa wanaoufanyika kwa kuzishika mkomo sekta binafsi zichangie upatikanaji wa ajira na ukuaji uchumi.

“Kiwanda hiki kiliasisiwa na Rais wa awamu ya tano Dk. John Magufuli kwa kuwapatia eneo hilo kubwa la ekari 10 bure, hata kijiti alivyokipokea Rais Dk. Samia ameendelea kuwapa ushirikiano kwa kuwapa miundombinu kama umeme na miundombinu ya barabara,” alisema.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Shaibu Ndemanga alisema wamejiandaa kuwapokea wawekezaji kuhakikisha kila kinachozalisha kinapatikana kwa wakati.

“Sisi wilaya ya Bagamoyo tumejipanga vizuri kuhakikisha wawekezaji wetu wanawekeza na wenye nia ya kuwekeza tunawapokea na kuhakikisha kila kinachohitajika kinapatikana waweze kuwekeza.

“Kwa waliowekeza tunahakikisha tunawalinda, kuwasaidia kuendelea na uwekezaji wao, wawekezaji wengine waje Bagamoyo tumejipaga kuwapokea na shughuli zao zitakwenda vizuri,”.

Mkurugenzi wa uhusiano, Bakhresa Group, Husein Sufian alisema wamejipanga kuhakikisha uwekezaji wa sukari unaimarika.

Alisema kwa sasa wapo awamu ya tatu ya uzalishaji amabo walianza mwaka 2022/2023 na wanazalisha kulingana na miwa iliyopo ambapo kwa sasa uzalishaji umefikia tani 35,000.

“Mipango tuliyonayo ni kuendeleza mashamba ili awamu ya pili wafikie tani 60,000 na ikifika awamu tatu iwe tani 100,000 huko mbeleni tufikie uzalishaji wa sukari ya viwandani,” alisema.

Katibu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dk. Hashil Abdallah alisema kamati imeona jinsi serikali ya Rais Dk. Samia inavyotafsiri kwa vitendo yanaliyobainisha katika miongozo mbalimbali ikiwemo Ilani ya Chama Cha Mapinduzi.

Alisema dhamira ya Rais Dk. Samia ni kuendeleza sekta ya viwanda nchini ambapo muwekezaji ameridhika na sera iliyopo na kukiri hakuna changamoto isiyotekelezwa na serikali.

“Walikuwa na changamoto ya barabara inatengenezwa, bwawa la maji Wizara ya Maji imefika kushirikiana na Wizara ya Kilimo hivyo kuna mkakati wa kujenga Bwawa kubwa la maji, walisema wanachangamoto ya gati Bagamoyo, serikali imethibitisha mwezi ujao mkataba wa ujenzi wake utakamilika,” alisema.

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo na Mifugo ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wake Mhe. Mariam Ditopile Mzuzuri ikiongozana na Mwenyeji wao Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt.Hashil Abdallah ikitembelea Kiwanda cha Sukari cha Bagamoyo kwa lengo la kukagua shughuli za sekta binafsi zinazosimamiwa na serikali ili kuhakikisha mwananchi anapata thamani ya kile anachostahiki.

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo na Mifugo ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wake Mhe. Mariam Ditopile Mzuzuri ikiwasili katika Ofisi za Kiwanda cha Sukari cha Bagamoyo wakipokelewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt.Hashil Abdalah kwa lengo la kukagua shughuli za sekta binafsi zinazosimamiwa na serikali kuhakikisha mwananchi anapata thamani ya kile anachostahiki,Oktoba 08,2024 Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani

About the author

Alex Sonna