slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

matbet

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

imajbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

holiganbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

goldenbahis

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

matbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

parobet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

imajbet

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

goldenbahis giriş

madridbet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

deneme bonusu

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

holiganbet

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

matbet, matbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

goldenbahis

Goldenbahis

deneme bonusu veren siteler

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

grandpashabet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

KAMATI YA BUNGE YATEMBELEA KIWANDA CHA SUKARI BAGAMOYO

Written by Alex Sonna

 

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo na Mifugo ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wake Mhe. Mariam Ditopile Mzuzuri ikiongozana na Mwenyeji wao Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt.Hashil Abdallah ikitembelea Kiwanda cha Sukari cha Bagamoyo kwa lengo la kukagua shughuli za sekta binafsi zinazosimamiwa na serikali ili kuhakikisha mwananchi anapata thamani ya kile anachostahiki.

……

WATANZANIA wametakiwa kutambua kuwa serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan haina mpango wa kuviua viwanda vya ndani vinavyozalisha sukari kama wanavyodai baadhi ya watu.

Pia wametakiwa kutambua dhamira ya Rais Dk. Samia ni kukuza viwanda hivyo kuhakikisha uzalishaji wake unaongezeka kuiwezesha nchi kujitosheleza kwa mahitaji ya sukari hususani ya viwandani ndani na nje ya nchi.

Kauli hiyo ilitolewa jana na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Mariam Ditopile alipotembelea kiwanda cha sukari cha Bagamoyo kwa lengo la kukagua shughuli za sekta binafsi zinazosimamiwa na serikali kuhakikiasha mwananchi anapata thamani ya kile anachostahiki kukipata.

“Watanzania puuzeni uzushi wote unaosemwa serikali ya Rais Dk. Samia inataka viwanda vya sukari nchini vife huo sio ukweki, jambo lililotokea lilikuwa la dharura ni lazima serikali iingilie ili kumuokoa mwananchi wa kawaida ambaye ndiye mlaji wa mwisho wa sukari,” alisema.

Alisema Rais Dk. Samia amekuwa akiendelea kuunga mkono juhudi za uwekezaji lengo likiwa kuiwezesha nchi kujitosheleza kwa mahitaji ya sukari hususani ya viwandani.

“Kwa hatua hizi anazozifanya nina uhakika anakwenda kufifikisha nchi ya Tanzania kwenda kuuza sukari nchi jirani na mabara tofauti,” alisema.

Pia alipongeza uwekezaji uliofanywa na kiwanda hicho kwani unachochea ukuaji wa uchumi na ajira hivyo kamati itaendelea kuishauri na kuisimamia serikali kuona kiwanda kinakuwa endelevu na mipango iliyowekwa inakamilika.

Alimpongeza Rais Dk. Samia kwa kuendeleza uwekezaji mkubwa wanaoufanyika kwa kuzishika mkomo sekta binafsi zichangie upatikanaji wa ajira na ukuaji uchumi.

“Kiwanda hiki kiliasisiwa na Rais wa awamu ya tano Dk. John Magufuli kwa kuwapatia eneo hilo kubwa la ekari 10 bure, hata kijiti alivyokipokea Rais Dk. Samia ameendelea kuwapa ushirikiano kwa kuwapa miundombinu kama umeme na miundombinu ya barabara,” alisema.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Shaibu Ndemanga alisema wamejiandaa kuwapokea wawekezaji kuhakikisha kila kinachozalisha kinapatikana kwa wakati.

“Sisi wilaya ya Bagamoyo tumejipanga vizuri kuhakikisha wawekezaji wetu wanawekeza na wenye nia ya kuwekeza tunawapokea na kuhakikisha kila kinachohitajika kinapatikana waweze kuwekeza.

“Kwa waliowekeza tunahakikisha tunawalinda, kuwasaidia kuendelea na uwekezaji wao, wawekezaji wengine waje Bagamoyo tumejipaga kuwapokea na shughuli zao zitakwenda vizuri,”.

Mkurugenzi wa uhusiano, Bakhresa Group, Husein Sufian alisema wamejipanga kuhakikisha uwekezaji wa sukari unaimarika.

Alisema kwa sasa wapo awamu ya tatu ya uzalishaji amabo walianza mwaka 2022/2023 na wanazalisha kulingana na miwa iliyopo ambapo kwa sasa uzalishaji umefikia tani 35,000.

“Mipango tuliyonayo ni kuendeleza mashamba ili awamu ya pili wafikie tani 60,000 na ikifika awamu tatu iwe tani 100,000 huko mbeleni tufikie uzalishaji wa sukari ya viwandani,” alisema.

Katibu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dk. Hashil Abdallah alisema kamati imeona jinsi serikali ya Rais Dk. Samia inavyotafsiri kwa vitendo yanaliyobainisha katika miongozo mbalimbali ikiwemo Ilani ya Chama Cha Mapinduzi.

Alisema dhamira ya Rais Dk. Samia ni kuendeleza sekta ya viwanda nchini ambapo muwekezaji ameridhika na sera iliyopo na kukiri hakuna changamoto isiyotekelezwa na serikali.

“Walikuwa na changamoto ya barabara inatengenezwa, bwawa la maji Wizara ya Maji imefika kushirikiana na Wizara ya Kilimo hivyo kuna mkakati wa kujenga Bwawa kubwa la maji, walisema wanachangamoto ya gati Bagamoyo, serikali imethibitisha mwezi ujao mkataba wa ujenzi wake utakamilika,” alisema.

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo na Mifugo ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wake Mhe. Mariam Ditopile Mzuzuri ikiongozana na Mwenyeji wao Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt.Hashil Abdallah ikitembelea Kiwanda cha Sukari cha Bagamoyo kwa lengo la kukagua shughuli za sekta binafsi zinazosimamiwa na serikali ili kuhakikisha mwananchi anapata thamani ya kile anachostahiki.

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo na Mifugo ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wake Mhe. Mariam Ditopile Mzuzuri ikiwasili katika Ofisi za Kiwanda cha Sukari cha Bagamoyo wakipokelewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt.Hashil Abdalah kwa lengo la kukagua shughuli za sekta binafsi zinazosimamiwa na serikali kuhakikisha mwananchi anapata thamani ya kile anachostahiki,Oktoba 08,2024 Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani

About the author

Alex Sonna