Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

SERIKALI KUENDELEA KUWEKA MAZINGIRA RAFIKI KWA WAFANYABIASHARA WA MIPAKANI

Written by Alex Sonna

 

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Exaud Kigahe,akitoa maelekezo baada ya kutembelea kituo Cha Forodha cha Tarakea kilichopo Wilaya ya Rombo Mkoa wa Kilimanjaro kwa ya ziara ya kukagua shughuli zote za kibiashara zinazofanyika katika mipaka yote ya Mikoa ya kaskazini

………

Naibu waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Exaud Kigahe Amesema kuwa Serikali itaendelea kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara wa mipakani ili mitaji yao ikue kutoka midogo kuwa katika wastani wa wafanyabiashara wakubwa.

Mhe. Kigahe ameyasema hayo leo septemba ,2024 alipokuwa akiongea na menejimenti ya wafanayakazi wa kituo Cha forodha cha Tarakea na wawakilishi wa wafanyabiashara wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro.

Aidha mesema kuwa, Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara lengo lake ni kuwafanya wafanyabiashara wetu waweze kuuza bidhaa za mwisho watoke kwenye utaratibu wa kuuza Mazao na malighafi

Ameeleza kuwa Elimu ya ulipaji kodi iendelee kutolewa maafisa wa TRA ili kutanua wigo wa ulipaji kodi kusudi fedha itakayokusanywa iweze kuleta Maendeleo ikiwemo barabara,hospitali,shule na Masoko.

Nae Meneja wa TRA Mkoa wa Kilimanjaro Bw.James Jilala ameeleze kuwa Tarekea ni moja ya vituo vinavyokua kwa kasi sana katika kuchangia mapato ya Serikali.

Kwa upande wake Alexander Mpwagi Afisa Mfawidhi wa Forodha wa Tarakea ,akisoma taarifa ya utekelezaji wa kituo hicho ,amesema kuwa kituo kina ujumla wake kina watumishi 14 wanaotoka katika taasisi tofauti tofauti.

Kuhusu makusanyo ya mapato ya forodha ameeleza kuwa
Mwaka 2023-2024 lengo likuwa kukusanya 24.5 Bilioni , makusanyo halisi yaliyopatikana ni 22.Bilioni

Aidha kwa mwaka 2024 kwa kipindi cha mwezi Januari hadi Agosti kiasi Cha Shilingi 16.4 zimekusanywa.

Amezitaja bidhaa zinazoingia katika mpaka wa Tarakea kutoka nchi jirani ya Kenya ni Sabuni,Chewing gum,Margarine,Pipi na Food grade.

Kwa upande wa bidhaa zinazosafirshwa kutoka Tanzania kwenda Kenya kupitia mpaka wa Tarakea ni Makaa ya Mawe,Liquilified Petroleum gas,na bidhaa za mazo kama machungwa,Vitunguu,maji,Karanga,Viazi, na Mahindi.

Nae Katibu wa wafanya Biashara Wilaya ya Rombo Bw. Joseph Masika ameeleza changamoto zinazowakabili wafanyabiashara wa Biashara kutokuwa na magahala ya kuhifadhia mazao pindi wanapomaliza kuyavuna shambani.

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Exaud Kigahe akisalimiana na Mhe. Nurdin Babu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kikazi ya kutembelea mipaka iliyopo Mikoa ya Kaskazini ikiwemo Tarakea na Holili.

Naibu Waziri w Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe akisaini kitabu Cha wageni baada ya kuwasili katika Ofisi Mkuu wa Wilaya ya Rombo Kwa ajili ya ziara yake ya kikazi ya kutembelea mipaka yote iliyopo katika Mikoa ya kaskazini . anatembelea Mpaka wa Tarakea na Holili.

Mkuu wa Wilaya ya Rombo Mhe.Reimond Mwangala akifanya utambulisho wa watumishi anaofanya nao kazi katika Ofisi yake kwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe mara baada ya kuwasilia katika Wilaya hiyo kuanza ziara ya kutembelea mipaka ya Tarakea na Holili Mkoani Kilimanjaro.

Meneja wa Mfawidhi wa Kituo Cha forodha cha Tarakea Bw. Alexander Mpwagi akisoma taarifa ya utendaji wa kituo hicho kwa Mhe Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe baada ya ziara yake kituoni hapo yenye lengo la kukagua shughuli za Biashara katika zinazoendeshwa katika vituo vyote vya mipakani Mikoa ya Kaskazini. 

About the author

Alex Sonna