Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet, aresbet giriş

betcio, betcio giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

tipobet

bets10 sorunsuz giriş

ilbet

ilbet giriş

pulibet

cratosroyalbet

tarafbet

kavbet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

bets10 giriş

betebet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

casibom giriş

holiganbet güncel giriş

Ankara escort

casibom

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

marsbahis, marsbahis giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

marsbahis güncel giriş

holiganbet giriş

Greece Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

holiganbet

casibom giriş

matbet giriş

matbet

deneme bonusu

grandpashabet

jojobet

holiganbet

casinomilyon

jojobet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

limanbet

marsbahis

betnano

parmabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

aresbet giriş

aresbet

mislibet

marsbahis

marsbahis

mavibet

meritking

marsbahis giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

marsbahis güncel giriş

limanbet

bahiscasino giriş

royalbet

mislibet

aresbet

royalbet

parmabet

amgbahis

Hacklink panel

betpas

jojobet

Google

jojobet

holiganbet

bahiscasino giriş

mislibet giriş

royalbet giriş

royalbet giriş

marsbahis giriş

perabet

betpark

parmabet

primebahis

tümbet

tümbet giriş

otobet

otobet giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

timebet

casibom giriş

meritbet

casibom

uyuşturucu satın al

matbet

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas, pokerklas giriş

meritbet

jojobet

perabet giriş

perabet

betnano giriş

betpark giriş

gobahis giriş

betnano

betnano giriş

bahiscasino

gobahis

limanbet giriş

betnano giriş

parmabet giriş

betnano

betkolik giriş

perabet giriş

gobahis giriş

royalbet giriş

aresbet giriş

marsbahis

betkolik

bahiscasino

gobahis giriş

bahiscasino giriş

bahiscasino

aresbet giriş

marsbahis giriş

parmabet giriş

betpark

perabet giriş

mislibet giriş

perabet

limanbet giriş

limanbet giriş

grandbetting

parmabet

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

deneme bonusu

kavbet giriş

Betsin

esbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

ikimisli

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Mariobet

Mariobet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

casibom

Betsin Güncel Giriş

holiganbet giriş

casibom güncel giriş

jojobet

betsat

bets10

jojobet

betgit

turkey dental implants

mavibet

mavibet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

süratbet

jojobet giriş

betvoy

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

aresbet

mislibet giriş

gobahis

limanbet

mislibet

mavibet

mavibet giriş

mavibet

aresbet giriş

kavbet

kavbet giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli giriş

ultrabet

ultrabet giriş

mavibet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Jojobet

Jojobet

Featured Kitaifa

SERIKALI YAHIMIZA HALMASHAURI KUIMARISHA KASI YA USIMAMIZI NA UFUATILIAJI MIRADI YA MAZINGIRA

Written by Alex Sonna

Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Paul Deogratius (wa pili kushoto) akizungumza jambo wakati wa ziara Kamati ya Uongozi wa Mradi wa Urejeshaji wa Ardhi Iliyohabaribika na Kurejesha Usalama wa Chakula (LDFS) ilipotembelea na kukagua Mradi wa Maji uliopo Kijiji cha Mafai Wilayani humo. Wa kwanza kulia ni Mtratibu wa Kitaifa wa Mradi wa LDFS, Bw. Joseph Kihaule

…..

Serikali imezitaka Halmashauri kuimarisha kasi ya usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya mazingira inayotekelezwa katika maeneo yao ili iweze kuchangia katika huduma muhimu za uzalishaji kupitia ardhi, maji, misitu na bioanuai.

Rai hiyo imetolewa leo Jumamosi Septemba 21, 2024 Halmashauri ya Wilaya Kondoa, Mkoani Dodoma na Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Paul Deogratius wakati wa ziara ya kamati ya uongozi wa Mradi wa Kurejesha Ardhi Iliyoharibika na Kurejesha Usalama wa Chakula (LDFS) ilipotembelea na kukagua utekelezaji wa mradi huo Wilayani humo.

Dkt. Paul amesema Serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi katika utekelezaji wa miradi ya mazingira na hivyo ni wajibu wa viongozi na watendaji katika ngazi za halmashauri kuhakikisha miradi hiyo inakuwa endelevu na kuleta matokeo yaliyokusudiwa.

“Serikali imetumia fedha nyingi katika utekelezaji wa mradi huu, nawasihi viongozi na watendaji kuendelea kusimamia kwa karibu shughuli za mradi huu ikiwemo kuzuia uingizaji wa makundi ya mifugo katika vyanzo vya maji na maeneo mengine yaliyotengwa” amesema Dkt. Paul

Aidha ameongeza kuwa mradi huo umefanikiwa kwa kiasi kikubwa kudhibiti kasi ya   uharibifu wa mazingira hasa mmonyoko wa udongo na uharibifu wa vyanzo vya maji na misitu katika halmashauri ya Wilaya ya Kondoa na kuwapatia wananchi shughuli mbadala kwa ajili ya kujiongezea kipato.

Ameeleza kuwa mradi wa LDFS ni mojawapo ya juhudi na jitihada zinazoendelea kufanywa na Serikali katika kukabiliana na athari za uharibifu mazingira na mabadiliko ya tabianchi katika maeneo mbalimbali nchini na hivyo ni wajibu kwa viongozi, watendaji na wananchi kuunga mkono juhudi hizo.

Nawasihi tuendelea kuwa mabalozi kwa kila mmoja wetu. Sote ni mashahidi hapa Halmashauri ya Kondoa kwani kupitia uhifadhi wa mazingira tunaona miradi ya visima vya maji imeanza kunufaisha wananchi…Hizi ni juhudi za pamoja baina yetu nawasihi tuendelee kutunza na kuhifadhi mazingira” amesema Dkt. Paul.

Naye Mratibu wa Kitaifa wa Mradi wa LDFS, Bw. Joseph Kihaule amesema Mradi unatekelezwa katika maeneo yenye changamoto kubwa za uharibifu wa mazingira hasa mmonyoko wa udongo, kupungua kwa rutuba ya udongo, uharibifu wa vyanzo vya maji na misitu zilizopo katikati ya nchi na pwani.

Ameongeza kuwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, mradi wa LDFS unatekelezwa katika katika Kata ya Haubi (vijiji vya Haubi na Mafai) ambapo kupitia mradi huo utawezesha kuboresha mifumo ikolojia na kuongeza uzalishaji wa chakula na kuchangia kuboresha mazingira.

“Katika suala la uhifadhi wa mazingira Mradi wa LDFS umepata mafanikio makubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa hususani ujenzi wa kupendezesha makorongo katika msitu wa Intela ambao umeweza kuzuia kiasi kikubwa cha mchanga kuingia katika Ziwa Haubi” amesema Kihaule.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Haubi, Mhe. Paulo Raymond ameishukuru Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kuwezesha Kata hiyo kuwa na miradi ya uhifadhi wa mazingira ambayo imewezesha wananchi kujiongezea kipatoa na hivyo kuachana na shughuli zisizo endelevu kwa mazingira.

“Tunaishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuiwezesha Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa hususani Kata ya Haubi kupata miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo mradi wa LDFS…Tunaendelea kushirikiana na Serikali ili kuhakikisha miradi hii inakuwa endelevu” amesema Mhe. Paulo.

Katika ziara hiyo kamati ya uongozi wa mradi wa LDFS ilitembelea mradi wa kituo cha kukusanya na kuhifadhi maziwa Kijiji cha Ujeji, mradi wa visima vya maji Kijiji cha Mafai, mradi wa kukusanya na kuchakata mazao ya nyuki Kijiji cha haubi, mradi wa kuhifadhi makorongo Kijiji cha Intela.

Kamati ya Uongozi wa Kitaifa ya Mradi wa LDFS inaongozwa na Katibu Ofisi ya Makamu wa Rais, ambapo wajumbe ni Makatibu Wakuu kutoka Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wizara ya Maliasili na Utalii, Wizara ya Maji na Wizara ya Kilimo.

Mradi wa LDFS unatekelezwa katika nchi 12 zilizo kusini kwa Jangwa la Sahara. Kwa Tanzania mradi huo unatekelezwa katika Halmashauri ya wilaya ya Kondoa (Dodoma), Nzega (Tabora), Mkalama (Singida), Magu (Mwanza), Micheweni (Pemba- Zanzibar).

Mhandisi wa Maji kutoka Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw. Isack Jacob (wa kwanza kulia)akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Kamati ya Uongozi wa Mradi wa Urejeshaji wa Ardhi Iliyohabaribika na Kurejesha Usalama wa Chakula (LDFS) wakati wa ziara ya kamati hiyo ilipotembelea na kukagua Mradi wa Maji uliopo Kijiji cha Mafai Wilayani humo.

Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Paul Deogratius (wa pili kushoto) akizungumza jambo wakati wa ziara Kamati ya Uongozi wa Mradi wa Urejeshaji wa Ardhi Iliyohabaribika na Kurejesha Usalama wa Chakula (LDFS) ilipotembelea na kukagua Mradi wa Maji uliopo Kijiji cha Mafai Wilayani humo. Wa kwanza kulia ni Mtratibu wa Kitaifa wa Mradi wa LDFS, Bw. Joseph Kihaule

Wananchi wa Kijiji cha Mafai, Kata ya Haubi Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Mkoani Dodoma wakifurahia huduma ya maji safi na salama inayopatikana Kijiji hapo ambayo imetekelezwa kupitia Mradi wa Urejeshaji wa Ardhi Iliyohabaribika na Kurejesha Usalama wa Chakula (LDFS).

Wajumbe wa kamati ya Uongozi wa Mradi wa Urejeshaji wa Ardhi Iliyohabaribika na Kurejesha Usalama wa Chakula (LDFS) wakifurahia huduma ya maji safi na salama inayopatikana katika Kijiji cha Kiriti ambayo ni sehemu ya matunda ya utekelezaji wa mradi wa LDFS wakati wa ziara yao ya kutembelea na kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali katika Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa.

Afisa Misitu Msaidizi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw. Noel Chaula (wa kwanza kushoto) akitoa ufafanuzi kuhusu matumizi ya mtambo maalum wa kuchakata mazao ya nyuki kwa wajumbe wa kamati ya uongozi wa Mradi wa Urejeshaji wa Ardhi Iliyohabaribika na Kurejesha Usalama wa Chakula (LDFS) wakati walipotembelea mradi wa kituo cha kukusanya na kuchakata mazao ya nyuki kilichopo Kijiji cha Haubi, Wilayani humo. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Paul Deogratius.

Wajumbe wa kamati ya uongozi wa Mradi wa Urejeshaji wa Ardhi Iliyohabaribika na Kurejesha Usalama wa Chakula (LDFS), viongozi na watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa pamoja na wananchi wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya kutembelea mradi wa kuhifadhi na kupendezesha makorongo katika msitu wa Kijiji cha Intela, Haubi .

(NA MPIGAPICHA WETU)

About the author

Alex Sonna