Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

casibom

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

grandpashabet

betebet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

casibom giriş

holiganbet güncel giriş

Ankara escort

casibom

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

marsbahis, marsbahis giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

marsbahis güncel giriş

holiganbet giriş

Greece Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

holiganbet

casibom giriş

matbet giriş

matbet

deneme bonusu

palacebet

holiganbet

jojobet

cashwin

radissonbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

limanbet

marsbahis

betnano

parmabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

aresbet giriş

aresbet

mislibet

meritking

marsbahis

mavibet

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

marsbahis güncel giriş

limanbet

bahiscasino giriş

royalbet

mislibet

aresbet

royalbet

parmabet

jojobet

Hacklink panel

betpas

jojobet

Google

jojobet

holiganbet

bahiscasino giriş

mislibet giriş

royalbet giriş

royalbet giriş

marsbahis giriş

perabet

betpark

parmabet

primebahis

tümbet

tümbet giriş

otobet

otobet giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

timebet

casibom giriş

meritbet

casibom

uyuşturucu satın al

matbet

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas, pokerklas giriş

galabet

jojobet

perabet giriş

perabet

betnano giriş

betpark giriş

gobahis giriş

betnano

betnano giriş

bahiscasino

gobahis

limanbet giriş

betnano giriş

parmabet giriş

betnano

betkolik giriş

perabet giriş

gobahis giriş

royalbet giriş

aresbet giriş

marsbahis

betkolik

bahiscasino

gobahis giriş

bahiscasino giriş

bahiscasino

aresbet giriş

marsbahis giriş

parmabet giriş

betpark

perabet giriş

mislibet giriş

perabet

limanbet giriş

limanbet giriş

grandbetting

parmabet

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

deneme bonusu

casibom giriş

grandpashabet

bibubet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

ikimisli

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Pusulabet

Starzbet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

casibom

Betsin Güncel Giriş

holiganbet giriş

casibom güncel giriş

holiganbet

bets10

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

cratosroyalbet

turkey dental implants

mavibet

mavibet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

süratbet

jojobet giriş

betvoy

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

aresbet

mislibet giriş

gobahis

limanbet

mislibet

mavibet

mavibet giriş

mavibet

aresbet giriş

kavbet

kavbet giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli giriş

ultrabet

ultrabet giriş

mavibet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Mariobet

Mariobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

Featured Kitaifa

ENG. JUMBE AONGOZA MAHAFALI YA 53 SHULE YA MSINGI JOMU

Written by Alex Sonna
Mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo kata ya Kambarage Manispaa ya Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa (kushoto) akikabidhiVifaa vya TEHAMA kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Awali na Msingi, Pendo Himbi
 
Na Kadama Malunde- Malunde 1 blog
 
Mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo kata ya Kambarage Manispaa ya Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa ametimiza ahadi yake ya kuchangia Vifaa vya TEHAMA ikiwemo Printers, Computers na Photocopy Mashine katika shule hiyo iliyoanzishwa mwaka 1964 ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kuweka mazingira shuleni.
 
 
Mhandisi James Jumbe maarufu Kaka Mkubwa katika shule hiyo, ametimiza ahadi yake leo Ijumaa Septemba 20,2024 wakati wa Mahafali ya 53 ya darasa ya saba ambapo alikuwa mgeni rasmi .
 
“Nimekuja kushiriki nanyi kwenye mahafali haya kama Mhitimu wa Shule hii (Alumni wa shule hii) kuchagiza chachu ya wahitimu kuona umuhimu wa kusaidia shule zao, naendelea kutoa wito kwa wengine kuiga mfano huu, kurudi kwa jamii waliyotoka.Hapa Jomu kulikuwa na changamoto ya vifaa vya TEHAMA ikiwemo Printers, Computers na Photocopy Mashine ambavyo mwaka jana (2023) nikiwa mgeni rasmi kwenye Mahafali ya darasa la saba niliahidi kuleta”,amesema Jumbe.
 
“Mliomba mashine moja tu lakini nimeleta mashine moja kubwa ya kisasa inayofanya shughuli nyingi, lakini nyingine ndogo kwa ajili ya ofisi ya Mkuu wa Shule, Kifaa cha Internet (WiFi), pia computer mbili kwa ajili ya mashine hizi ambapo vifaa vyote hivi vina thamani ya shilingi Milioni 6. Naamini vifaa hivi vitachangia kuongeza ufaulu katika shule hii”,ameongeza Jumbe.

Sehemu ya Vifaa vya TEHAMA vilivyotolewa na Mhandisi James Jumbe Wiswa

 
Jumbe amefafanua kuwa anamuunga mkono Mhe. Rais Samia katika kuboresha mazingira ya shule kutokana na kwamba Rais Dkt. Samia anapenda nchi yake, ni mzalendo kweli kweli kwa sababu amewekeza rasilimali kubwa katika kuiwezesha elimu, amejenga madarasa ya kutosha katika shule nyingi nchini.
 
“Wakati namaliza shule ya msingi Jomu mwaka 2002 tulikuwa na majengo matatu lakini sasa tuna majengo mengi ya kutosha kwa hiyo sisi kama wadau lazima tuunge mkono mhe. Rais Samia katika harakati zake za kuhakikisha kila mtoto wa kitanzania anapata nafasi ya kusoma katika mazingira Rafiki ndiyo maana na mimi nasema siwezi kubaki nyuma kwa sababu Mhe. Rais sisi kama vijana wapiganaji anatutengenezea mazingira rafiki, tunafanya shughuli zetu, tunasafiri pasipo mkwamo wowote, tunafanya biashara, hatuna hofu yoyote ya kuweka pesa zetu Benki kwa hiyo na sisi tuna jukumu la kurudisha kwa jamii”,ameeleza Jumbe.
 Mhandisi James Jumbe Wiswa akisalimiana na Wahitimu wa elimu ya darasa la saba 2024
 
Kuhusu changamoto ya kukosekana kwa jiko la kupikia katika shule hiyo, Mhandisi Jumbe ameahidi kutengeneza jiko ili kumuunga mkono mhe. Rais Samia anayesisitiza matumizi ya nishati safi na salama akihimiza kuhusu matumizi ya Nishati mbadala ikiwemo matumizi ya Gesi.
 
Hali kadhalika Jumbe ameahidi kuleta meza rafiki katika shule hiyo huku akitoa zawadi zap apo hapo kwa walimu na wanafunzi wa shule hiyo kama motisha.
 
Kwa upande wake, Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Jomu, Pendo Himbi ameendelea kuwashukuru wadau mbalimbali wanaoshirikiana na Shule ya Msingi Jomu kuleta maendeleo akiwemo Mhandisi Jumbe, Kanisa la AICT Kambarage, TANESCO, SHUWASA na wadau wengine hali inayochangia kuleta mabadiliko makubwa shuleni ikiwemo kuinua taaluma.
 
Akisoma risala, mmoja wahitimu Happiness Mohamed amesema jumla ya wanafunzi 42 wamehitimu elimu ya msingi mwaka huu 2024 huku akizitaja baadhi ya changamoto zilizopo sasa kuwa ni utoro wa wanafunzi 3% unaosababishwa na kukosa uzio wa shule, ukosefu wa jiko la kupikia chakula cha wanafunzi na walimu na upungufu wa viti 8 na meza 6 za walimu kwenye madarasa mapya.
Mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo Mjini Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa akivalishwa Skavu wakati wa mahafali ya 53 ya darasa la saba leo Ijumaa Septemba 20,2024 ambapo alikuwa mgeni rasmi
Maandamano ya Wahitimu wa elimu ya darasa la saba na wanafunzi wengine wa shule ya Msingi Jomu kuelekea ukumbini yakiendelea wakati wa mahafali ya 53 ya darasa la saba 2024


Maandamano ya Wahitimu wa elimu ya darasa la saba na wanafunzi wengine wa shule ya Msingi Jomu kuelekea ukumbini yakiendelea wakati wa mahafali ya 53 ya darasa la saba 2024
Mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo Mjini Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa akisalimiana na Wahitimu wa elimu ya darasa la saba wakati wa mahafali ya 53 ya darasa la saba 2024
Wahitimu wa elimu ya darasa la saba 2024 shule ya Msingi Jomu wakitoa burudani

Wahitimu wa elimu ya darasa la saba 2024 shule ya Msingi Jomu wakitoa burudani

Mgeni rasmi wakati wa Mahafali ya 53 shule ya Msingi Jomu ambaye ni mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo Mjini Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa akizungumza kwenye mahafali hayo
Mgeni rasmi wakati wa Mahafali ya 53 shule ya Msingi Jomu ambaye ni mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo Mjini Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa akizungumza kwenye mahafali hayo
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Jomu, Pendo Himbi akizungumza wakati wa mahafali ya 53 ya darasa la saba leo Ijumaa Septemba 20,2024
Diwani wa kata ya Kambarage Manispaa ya Shinyanga mHE. Hassan Mwendapole akizungumza wakati wa mahafali ya 53 ya darasa la saba leo Ijumaa Septemba 20,2024
Mhitimu Happiness Mohamed akisoma risala
Mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo kata ya Kambarage Manispaa ya Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa (kushoto) akikabidhi Vifaa vya TEHAMA kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Awali na Msingi, Pendo Himbi
Mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo kata ya Kambarage Manispaa ya Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa (kushoto) akikabidhiVifaa vya TEHAMA kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Awali na Msingi, Pendo Himbi
Sehemu ya Vifaa vya TEHAMA vilivyotolewa na Mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo kata ya Kambarage Manispaa ya Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa
Wahitimu wa elimu ya darasa la saba na viongozi mbalimbali wakipiga picha na Mhandisi James Jumbe Wiswa
Wanafunzi wakitoa burudani kwenye mahafali ya darasa la saba 2024 katika shule ya Awali na Msingi Jomu
Wanafunzi wakitoa burudani kwenye mahafali ya darasa la saba 2024 katika shule ya Awali na Msingi Jomu
Mhandisi James Jumbe Wiswa na Wahitimu wa elimu ya darasa la saba wakikata keki maalumu wakati wa Mahafali ya 53 ya Shule ya Awali na Msingi Jomu
Zoezi la kulishana keki maalumu wakati wa Mahafali ya 53 ya Shule ya Awali na Msingi Jomu likiendelea
Zoezi la kulishana keki maalumu wakati wa Mahafali ya 53 ya Shule ya Awali na Msingi Jomu likiendelea
Mhandisi James Jumbe Wiswa akigawa vyeti kwa wahitimu wa elimu ya darasa la saba shule ya Awali na Msingi Jomu
Mhandisi James Jumbe Wiswa akigawa vyeti kwa wahitimu wa elimu ya darasa la saba shule ya Awali na Msingi Jomu

Diwani wa kata ya Kambarage Mhe. Hassan Mwendapole  akikabidhi zawadi ya cheti kwa Mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo Mjini Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa 

Wazazi na wageni mbalimbali wakicheza muziki kwenye mahafali ya darasa la saba 2024 katika shule ya Awali na Msingi Jomu.
Wazazi na wageni mbalimbali wakiwa kwenye mahafali ya darasa la saba 2024 katika shule ya Awali na Msingi Jomu.

About the author

Alex Sonna