marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

grandpashabet giriş

palacebet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

Starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

trendbet

padişahbet

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

grandpashabet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

nakitbahis

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

imajbet

lunabet

holiganbet

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

Grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

holiganbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet giriş

superbetin

deneme bonusu

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

tipobet

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casinomilyon

betist

betist

Featured Kitaifa

ENG. JUMBE AONGOZA MAHAFALI YA 53 SHULE YA MSINGI JOMU

Written by Alex Sonna
Mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo kata ya Kambarage Manispaa ya Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa (kushoto) akikabidhiVifaa vya TEHAMA kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Awali na Msingi, Pendo Himbi
 
Na Kadama Malunde- Malunde 1 blog
 
Mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo kata ya Kambarage Manispaa ya Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa ametimiza ahadi yake ya kuchangia Vifaa vya TEHAMA ikiwemo Printers, Computers na Photocopy Mashine katika shule hiyo iliyoanzishwa mwaka 1964 ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kuweka mazingira shuleni.
 
 
Mhandisi James Jumbe maarufu Kaka Mkubwa katika shule hiyo, ametimiza ahadi yake leo Ijumaa Septemba 20,2024 wakati wa Mahafali ya 53 ya darasa ya saba ambapo alikuwa mgeni rasmi .
 
“Nimekuja kushiriki nanyi kwenye mahafali haya kama Mhitimu wa Shule hii (Alumni wa shule hii) kuchagiza chachu ya wahitimu kuona umuhimu wa kusaidia shule zao, naendelea kutoa wito kwa wengine kuiga mfano huu, kurudi kwa jamii waliyotoka.Hapa Jomu kulikuwa na changamoto ya vifaa vya TEHAMA ikiwemo Printers, Computers na Photocopy Mashine ambavyo mwaka jana (2023) nikiwa mgeni rasmi kwenye Mahafali ya darasa la saba niliahidi kuleta”,amesema Jumbe.
 
“Mliomba mashine moja tu lakini nimeleta mashine moja kubwa ya kisasa inayofanya shughuli nyingi, lakini nyingine ndogo kwa ajili ya ofisi ya Mkuu wa Shule, Kifaa cha Internet (WiFi), pia computer mbili kwa ajili ya mashine hizi ambapo vifaa vyote hivi vina thamani ya shilingi Milioni 6. Naamini vifaa hivi vitachangia kuongeza ufaulu katika shule hii”,ameongeza Jumbe.

Sehemu ya Vifaa vya TEHAMA vilivyotolewa na Mhandisi James Jumbe Wiswa

 
Jumbe amefafanua kuwa anamuunga mkono Mhe. Rais Samia katika kuboresha mazingira ya shule kutokana na kwamba Rais Dkt. Samia anapenda nchi yake, ni mzalendo kweli kweli kwa sababu amewekeza rasilimali kubwa katika kuiwezesha elimu, amejenga madarasa ya kutosha katika shule nyingi nchini.
 
“Wakati namaliza shule ya msingi Jomu mwaka 2002 tulikuwa na majengo matatu lakini sasa tuna majengo mengi ya kutosha kwa hiyo sisi kama wadau lazima tuunge mkono mhe. Rais Samia katika harakati zake za kuhakikisha kila mtoto wa kitanzania anapata nafasi ya kusoma katika mazingira Rafiki ndiyo maana na mimi nasema siwezi kubaki nyuma kwa sababu Mhe. Rais sisi kama vijana wapiganaji anatutengenezea mazingira rafiki, tunafanya shughuli zetu, tunasafiri pasipo mkwamo wowote, tunafanya biashara, hatuna hofu yoyote ya kuweka pesa zetu Benki kwa hiyo na sisi tuna jukumu la kurudisha kwa jamii”,ameeleza Jumbe.
 Mhandisi James Jumbe Wiswa akisalimiana na Wahitimu wa elimu ya darasa la saba 2024
 
Kuhusu changamoto ya kukosekana kwa jiko la kupikia katika shule hiyo, Mhandisi Jumbe ameahidi kutengeneza jiko ili kumuunga mkono mhe. Rais Samia anayesisitiza matumizi ya nishati safi na salama akihimiza kuhusu matumizi ya Nishati mbadala ikiwemo matumizi ya Gesi.
 
Hali kadhalika Jumbe ameahidi kuleta meza rafiki katika shule hiyo huku akitoa zawadi zap apo hapo kwa walimu na wanafunzi wa shule hiyo kama motisha.
 
Kwa upande wake, Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Jomu, Pendo Himbi ameendelea kuwashukuru wadau mbalimbali wanaoshirikiana na Shule ya Msingi Jomu kuleta maendeleo akiwemo Mhandisi Jumbe, Kanisa la AICT Kambarage, TANESCO, SHUWASA na wadau wengine hali inayochangia kuleta mabadiliko makubwa shuleni ikiwemo kuinua taaluma.
 
Akisoma risala, mmoja wahitimu Happiness Mohamed amesema jumla ya wanafunzi 42 wamehitimu elimu ya msingi mwaka huu 2024 huku akizitaja baadhi ya changamoto zilizopo sasa kuwa ni utoro wa wanafunzi 3% unaosababishwa na kukosa uzio wa shule, ukosefu wa jiko la kupikia chakula cha wanafunzi na walimu na upungufu wa viti 8 na meza 6 za walimu kwenye madarasa mapya.
Mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo Mjini Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa akivalishwa Skavu wakati wa mahafali ya 53 ya darasa la saba leo Ijumaa Septemba 20,2024 ambapo alikuwa mgeni rasmi
Maandamano ya Wahitimu wa elimu ya darasa la saba na wanafunzi wengine wa shule ya Msingi Jomu kuelekea ukumbini yakiendelea wakati wa mahafali ya 53 ya darasa la saba 2024


Maandamano ya Wahitimu wa elimu ya darasa la saba na wanafunzi wengine wa shule ya Msingi Jomu kuelekea ukumbini yakiendelea wakati wa mahafali ya 53 ya darasa la saba 2024
Mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo Mjini Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa akisalimiana na Wahitimu wa elimu ya darasa la saba wakati wa mahafali ya 53 ya darasa la saba 2024
Wahitimu wa elimu ya darasa la saba 2024 shule ya Msingi Jomu wakitoa burudani

Wahitimu wa elimu ya darasa la saba 2024 shule ya Msingi Jomu wakitoa burudani

Mgeni rasmi wakati wa Mahafali ya 53 shule ya Msingi Jomu ambaye ni mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo Mjini Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa akizungumza kwenye mahafali hayo
Mgeni rasmi wakati wa Mahafali ya 53 shule ya Msingi Jomu ambaye ni mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo Mjini Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa akizungumza kwenye mahafali hayo
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Jomu, Pendo Himbi akizungumza wakati wa mahafali ya 53 ya darasa la saba leo Ijumaa Septemba 20,2024
Diwani wa kata ya Kambarage Manispaa ya Shinyanga mHE. Hassan Mwendapole akizungumza wakati wa mahafali ya 53 ya darasa la saba leo Ijumaa Septemba 20,2024
Mhitimu Happiness Mohamed akisoma risala
Mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo kata ya Kambarage Manispaa ya Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa (kushoto) akikabidhi Vifaa vya TEHAMA kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Awali na Msingi, Pendo Himbi
Mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo kata ya Kambarage Manispaa ya Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa (kushoto) akikabidhiVifaa vya TEHAMA kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Awali na Msingi, Pendo Himbi
Sehemu ya Vifaa vya TEHAMA vilivyotolewa na Mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo kata ya Kambarage Manispaa ya Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa
Wahitimu wa elimu ya darasa la saba na viongozi mbalimbali wakipiga picha na Mhandisi James Jumbe Wiswa
Wanafunzi wakitoa burudani kwenye mahafali ya darasa la saba 2024 katika shule ya Awali na Msingi Jomu
Wanafunzi wakitoa burudani kwenye mahafali ya darasa la saba 2024 katika shule ya Awali na Msingi Jomu
Mhandisi James Jumbe Wiswa na Wahitimu wa elimu ya darasa la saba wakikata keki maalumu wakati wa Mahafali ya 53 ya Shule ya Awali na Msingi Jomu
Zoezi la kulishana keki maalumu wakati wa Mahafali ya 53 ya Shule ya Awali na Msingi Jomu likiendelea
Zoezi la kulishana keki maalumu wakati wa Mahafali ya 53 ya Shule ya Awali na Msingi Jomu likiendelea
Mhandisi James Jumbe Wiswa akigawa vyeti kwa wahitimu wa elimu ya darasa la saba shule ya Awali na Msingi Jomu
Mhandisi James Jumbe Wiswa akigawa vyeti kwa wahitimu wa elimu ya darasa la saba shule ya Awali na Msingi Jomu

Diwani wa kata ya Kambarage Mhe. Hassan Mwendapole  akikabidhi zawadi ya cheti kwa Mmoja wa Waliokuwa Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Jomu iliyopo Mjini Shinyanga Mhandisi James Jumbe Wiswa 

Wazazi na wageni mbalimbali wakicheza muziki kwenye mahafali ya darasa la saba 2024 katika shule ya Awali na Msingi Jomu.
Wazazi na wageni mbalimbali wakiwa kwenye mahafali ya darasa la saba 2024 katika shule ya Awali na Msingi Jomu.

About the author

Alex Sonna