marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

vdcasino

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

milanobet

holiganbet

casibom

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

bets10 giriş

perabet

efesbet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

casibom giriş

jojobet

bets10

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

betsat

holiganbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

casibom

kralbet

en iyi slot siteleri

Featured Kitaifa

NAIBU WAZIRI SANGU AWAFUNDA WANAJOPO WA KADA YA AFYA, ASISITIZA UADILIFU

Written by Alex Sonna

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus  Sangu akizungumza na wataalamu kutoka kwenye Taasisi mbalimbali za Serikali ambao wamechaguliwa kuwa  wanajopo wa kuendesha zoezi la usaili wa mahojiano ya ana kwa ana kwa  wasailiwa kada ya afya unaendelea katika mikoa mbalimbali nchini.

Na. Lusungu Helela- Arusha

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus  Sangu amewataka wanajopo la usaili kuhakikisha wanakuwa waadilifu na wanatenda haki huku akisititiza  ajira  ni suala la usalama wa nchi.

Ametoa kauli hiyo leo Jijini Arusha wakati akizungumza na wataalamu kutoka kwenye Taasisi mbalimbali za Serikali ambao wamechaguliwa kuwa  wanajopo wa kuendesha zoezi la usaili wa mahojiano ya ana kwa ana kwa  wasailiwa kada ya afya unaendelea katika mikoa mbalimbali nchini.

Amesema Serikali imejipanga kuhakikisha  haki inatendeka  kwa kila msailiwa ili atakayeshinda ashinde kwa haki na atakayeshindwa ashindwe kwa haki.

Mhe. Sangu ametumia fursa hiyo kutoa rai kwa wanajopo hao kutanguliza mbele maslahi ya taifa huku akionya yeyote atakayethubutu kuvuruga zoezi hilo atakuwa ameingia kwenye matatizo makubwa

‘’ Tunatafuta vijana watakaoingia  Serikalini katika Utumishi wa Umma si chini ya miaka 25 na wengine wenye umri mdogo mpaka miaka 30 kwa hiyo tukifanya makosa tukapeleka vijana wasio na sifa, uadilifu na mengineyo tutalighalimu taifa kwa zaidi ya miaka 25

Kufuatia hatua hiyo Mhe. Sangu amewataka wasaili hao kujiepusha na tabia ya kupendelea na pale inapotea jambo la kujadiliana lijikite katika  kutenda haki.

” Tunataka haki itendeke na ionekana imetendeka kwa wasailiwa wote ” amesisitiza Mhe. Sangu.

Amesema  kwa mujibu wa sera ya ajira toleo la pili la mwaka  2008 inaelekeza kuwa ajira zote zipatikane kwa ushindani .

‘’Maombi yamekuwa mengi sana  kati ya nafasi 12,000 zilizotangazwa za kada ya afya  zaidi ya vijana 47,000 wameomba huku kwenye walimu jumla ya vijana waliomba ni  200,000 kati nafasi za ajira za ualimu  11,015 zilizotangazwa hivyo hakuna njia nyingine ya kupata watumishi pasipo kushindanisha’’

Amesema kwa sasa vijana wengi wamemaliza vyuo na wapo mtaani ila kutokana na bajeti ya serikali na hali ya uchumi haiwezi kuwa na bajeti ya kuajiri vijana wote waliomaliza vyuo

Hata hivyo amesema Serikali imekuwa ikifanya jitihada kubwa chini ya Uongozi wa Samia Suluhu Hassan ambapo katika kipindi chake cha miaka mitatu ametoa vibali vya ajira zaidi ya 100,000 ambayo ni idadi kubwa sana katika kipindi cha miaka mitatu ukifananisha na miaka mitano iliyopita

Naye Kaimu Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Mhandisi Samuel Tanguye amesema zoezi hili limeshirikisha watalaamu mbalimbali lengo ni kuhakikisha  vijana watakaopatika katika machakato  huo ni wenye weledi wataokwenda kulisaidia taifa

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus  Sangu akizungumza na wataalamu kutoka kwenye Taasisi mbalimbali za Serikali ambao wamechaguliwa kuwa  wanajopo wa kuendesha zoezi la usaili wa mahojiano ya ana kwa ana kwa  wasailiwa kada ya afya unaendelea katika mikoa mbalimbali nchini.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus  Sangu akipata maelezo mafupi kutoka kwa Msaili, Bw. Hakimu Mbwambo kabla ya kunza kushuhudia zoezi la uendeshaji wa   usaili wa mahojiano ya ana kwa ana kwa  wasailiwakada ya afya jijini Arusha.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus  Sangu  akizungumza na Kaimu Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Dkt. Cairo Mwaitete mara baada ya kuwasili  kwa ajili ya kuzungumza na kushuhudia wataalamu kutoka kwenye Taasisi mbalimbali za Serikali ambao wamechaguliwa kuwa  wanajopo wa kuendesha zoezi la usaili wa mahojiano ya ana kwa ana kwa  wasailiwa kada ya afya Jijini Arusha

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Mhandisi Samuel Tanguye akizunguma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus  Sangu  mara baada ya kuwasili  kwa ajili y kushuhudia uendeshaji wa  zoezi la usaili wa mahojiano ya ana kwa ana kwa  wasailiwa kada ya afya Jijini Arusha.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus  Sangu akiwa kwenye picha ya pamoja na   wataalamu kutoka kwenye Taasisi mbalimbali za Serikali ambao wamechaguliwa kuwa  wanajopo wa kuendesha zoezi la usaili wa mahojiano ya ana kwa ana kwa  wasailiwa kada ya afya unaendelea katika mikoa mbalimbali nchini

About the author

Alex Sonna