marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

Featured Kitaifa

ZAIDI YA WASHIRIKI 2000 KUSHIRIKI JUKWAA LA MWAKA LA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI DODOMA

Written by mzalendo
 NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.Mwanaidi Ali Khamis,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Septemba 2,2024 kuelekea Jukwaa la Mashiriki yasiyokuwa ya Kiserikali litakalofanyika kuanzia Septemba 4 hadi 6 mwaka  2024 jijini Dodoma.
MSAJILI wa Mashiriki yasiyokuwa ya Kiserikali Bi.Vickness Mayao,akijibu maswali yaliyoulizwa  na waandishi wa habari (hawapo pichani)  kuelekea Jukwaa la Mashiriki yasiyokuwa ya Kiserikali litakalofanyika kuanzia Septemba 4 hadi 6 mwaka  2024 jijini Dodoma.
MENEJA  Uchechemuzi na Jinsia kutoka Shirika la Word Vision Bi.Ester Mongi,akielezea jinsi walivyojipanga  kuelekea Jukwaa la Mashiriki yasiyokuwa ya Kiserikali litakalofanyika kuanzia Septemba 4 hadi 6 mwaka  2024 jijini Dodoma.
Na.Alex Sonna-DODOMA 
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe.Doto Mashaka Biteko  anatarajia kuwa mgeni rasmi katika Jukwaa la Mwaka la Mashirika yasiyo ya Kiserikali ambapo zaidi ya washiriki elfu mbili kutoka nchi nzima watakutana kujadili namna ya  kuboresha huduma zao kwa jamii pia kutakuwa na huduma ya msaada wa kisheria kwa wananchi wasiokuwa na uwezo wa kugharamia huduma hiyo.
Hayo yamebainishwa leo Septemba 2,2024  na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum Mhe.Mwanaidi Ali Khamis,wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea Jukwaa la Mashiriki yasiyokuwa ya Kiserikali litakalofanyika kuanzia Septemba 4 hadi 6 mwaka  2024 jijini Dodoma.
Mhe Mwanaidi amesema kuwa   Jukwaa hilo  la kitaifa limetanguliwa na Majukwaa ya Mashirika Yasiyo  ya Kiserikali katika ngazi za Wilaya na Mkoa ikiwa ni fursa ya mashirika yote kuweza kushiriki bila kuachwa nyuma.
“Lengo la majukwaa  ya Mashirika yasiyo ya kiserikali  katika ngazi za mkoa ni kubadilishana uzoefu fursa na changamoto katika utekelezaji washughuli za Mashirika Yasiyo ya Kiserikali, mafunzo ya kujengeana  uwezo, utambuzi wa Mashirika yaliyofanya vizuri  na maazimio ya kushughulikia changamoto zilizoibuliwa na wadau mbalimbali.”amesema Mhe Mwanaidi
Aidha,Mhe Mwanaidi ameeleza kuwa Katika ngazi ya kitaifa siku ya kwanza yatafanyika  mafunzo kwa Wasajili Wasaidizi na Wajumbe wa NaCoNGO wa Mikoa,Uzinduzi wa Madawati ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali katika Sekta Binafsi na Majadiliano ya Pamoja na Wadau wa Sekta Binafsi.
“Vilevile, kutakuwa na mafunzo kuhusu Usimamizi wa Miradi, Uandishi wa Maandiko Dhana ya Miradi, Uandishi wa Taarifa ya Mfadhili na Ufuatiliaji & Tathmini; Programu za Huduma za Kijamii kupitia Dhana ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) na Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC) katika eneo la Nkuhungu, Chamwino na Chang’ombe” amesema  Mhe Mwanaidi 
Hata hivyo  ameongezea kuwa siku ya pili kutakua na mijadala juu ya Fursa za Ndani na Nje ya Nchi za Ufadhili kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali; Mfumo wa Kisera na Kisheria wa Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali; Uzingatiaji wa Misingi ya Uwazi, Uwajibikaji, Uadilifu na Utawala Bora Katika Utendaji Kazi wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali.
 Mhe Mwanaidi   amesema siku ya tatu itakuwa kilele cha Jukwa la Mwaka huu, ambapo baadhi ya shughuli zitakazofanyika siku hiyo ni pamoja na  Uzinduzi wa Kampeni ya Kutokomeza Njaa na Utapia mlo kwa Watoto, ambao utatanguliwa na matamko ya Wizara za Kisekta kuhusu Kutokomeza Utapiamlo kwa Watoto.
Aidha ametoa wito kwa wawakilishi wa wizara, idara na taasisi za kisekta, wajumbe wa bodi ya uratibu wa mashirika yasiyo ya kiserikali, wasajili wasaidizi wa mashirika yasiyo ya kiserikali, Wajumbe wa Baraza la Taifa la Mashirika yasiyo ya kiserikali, wawakilishi wa sekta binafsi, washirika wa maendeleo, vyombo vya habari, mashirika yasiyo ya kiserikali, wanufaika wa miradi na afua zinazotekelezwa na mashirika yasiyo ya kiserikali, wananchi wa mkoa wa Dodoma na mikoa ya jirani, pamoja na jamii kwa ujumla, kushiriki katika jukwaa hilo kwa mustakabali wa sekta ya mashirika yasiyo ya kiserikali.

Kwa upande wake Msajili wa Mashiriki yasiyokuwa ya Kiserikali Bi.Vickness Mayao,amesema kuwa zaidi ya Mashirika elfu mbili yatashirika katika Jukwaa hilo.

Naye Meneja Uchechemuzi na Jinsia kutoka Shirika la Word Vision Ester Mongi amesema kampeni hiyo kwa kushirikiana na maendeleo ya jamii inategemea kufanyika katika mikoa yote ya Tanzania ikiaziwa mikoa 16 ambapo World Vision inapatikana.

Amesema wanatumia fursa hiyo ili waweze kupata wadau wengi katika kufikia mikoa mengine ambayo World Vision haipo.

“Tunashirikiana na Wizara 5 tukiamini kabisa wadau wote waliopo katika mikoa ambayo sisi hatupo wataenda kufanya ambacho sisi tunakifanya, lakini kampeni hii itadumu kwa miaka mitatu ilizinduliwa sasahivi hivyo ndani ya shirika tunategemea tuwe na bajeti isiyopungua dola milioni 3 katika kutekeleza kampeni hii,”

 “ Wadau tunaowategemea ni wote watakao kuwepo ukumbini na tuna amini wadau wa maendeleo, mashirika yasiyo ya kiserikali l, taasisi binafsi watafanya kitu katika nyazifa zao ili kutokomeza utapiamlo Tanzania.”

About the author

mzalendo