slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

artemisbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet giriş

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

imajbet

artemisbet giriş

artemisbet

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

interbahis

mavibet

imajbet

artemisbet

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

deneme bonusu 2026

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

meritking

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

casinowon

wbahis

betpuan

sekabet

bahiscasino

vdcasino giriş

jojobet

vdcasino

kingroyal

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

truvabet

Featured Kitaifa

MTATURU ALIA NA USALAMA VIWANJA VYA NDEGE.

Written by Alex Sonna

 

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,akichangia Muswada wa Sheria ya Viwanja vya Ndege Tanzania wa Mwaka 2024 Bungeni jijini Dodoma.

…….

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amechangia Muswada wa Sheria ya Viwanja vya Ndege Tanzania wa Mwaka 2024 ,huku akigusia mambo mawili ambayo ni vyanzo vya Mapato vya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege(TAA),na usalama wa abiria na watumiaji wa viwanja vya ndege.

Akichangia muswada huo Bungeni Jijini Dodoma,Mtaturu ambaye ni Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu amesema kupitisha kwa Muswada huo kutawezesha kuwapa Mamlaka TAA na kuwatoa kwenye uwakala ili waweze kusimamia vizuri viwanja vya ndege.

Amesema kwam ujibu wa Mamlaka inayosimamia usalama wa anga Duniani(ICAO),ina vigezo vyake ambavyo inavitoa kila mahala,hivyo kama taasisi haina uwezo mkubwa wa kifedha haitaweza kuwa na ushindani katika viwanja vingine.

“Leo hii unaweza kutua uwanja wa ndege A ukaenda na uwanja wa ndege B utakuta ni tofauti sana kwa sababu ya huduma zilizopo pale ndani kwa hiyo tukiifanya hii mamlaka ikawa na uwezo wa fedha itaweza kuboresha vigezo kwa mujibu wa ICAO ,”.amesema.

Ameiomba serikali kupitia wizara zinazohusika ikiwemo Wizara ya Fedha kukaa na kuona namna itakavyowaachia TAA kukusanya tozo ya huduma ambayo inatolewa na abiria iweze kubaki katika taasisi ambayo inaenda kupewa mamlaka kamili.

Amesema hilo litaiwezesha TAA kuwa na fedha zake zenyewe bila ya kusubiri kupeleka maombi Hazina ili kupata fedha kwa ajili ya kutengeneza au kuboresha viwanja vya ndege.

“Mimi hapa nataka niombe pamoja na uwekezaji mkubwa uliofanywa katika viwanja vyetu lakini vinatakiwa kuendelea kutunzwa,hii customer service charge iweze kuachiwa watu wa TAA ili waweze kuwa na uwezo wa kukusanya na kutumia na hivyo kuendana na vigezo vya ICAO ambavyo kimsingi ni standard ya dunia nzima,

“Hatuwezi kujiweka kama kisiwa na kujikuta hatuboreshi viwanja vyetu,hii itafanya baadhi ya airlines isilete ndege katika viwanja vyetu hivyo tutakosa fursa kubwa ya kiuchumi na sasa hivi tumeboresha suala la utalii hivyo litakuwa limezuia watalii baadhi kuletwa nchini kwetu moja kwam oja,huu ni ushauri wetu kama kamati naamini serikali itaendelea kulifanyia kazi kuhakikisha inawapa TAA kukusanya fedha hizi,”.ameongeza.

Jambo la pili alilozungumzia ni usalama wa usafiri wa anga ambapo Mtaturu ameomba lipewe kipaumbele kwa sababu mtu akiwa salama anakuwa na uhakika na safari yake.

“Ombi langu ni kwamba ili kumpa comfort mtumiaji kwa maana ya abiria lazima tumuhakikishie usalama wake,kumekuwa na mgongano kwamba wenzetu wa TAA wana vifaa vya rescue kwa maana wana magari ya zima moto na vifaa vyake,kwa sasa hali ilivyo ina maana kwamba wewe kama una gari halafu dereva hakuhusu ina maana huna uhakika kama chombo chako kipo salama,

“Ombi letu ni kwamba wawe na kikosi cha zimamoto katika viwanja vya ndege ili iwe ni kitengo chao wenyewe waweze kuwa na mamlaka ya kusimamia wale wafanyakazi ambao ni askari wa zimamoto, lakini leo hii akitokea mfanyakazi amefanya makosa Wizara ya Uchukuzi haina mamlaka ya kumchukulia hatua yoyote kwa sababu sio mfanyakazi aliyemuajiri,”amesema.

Amesema ili usalama na usimamiz uwe mzuri ni vyema sasa serikali ifikirie kuwa na kikosi cha zimamoto maalum cha kuzuia majanga ya moto katika viwanja vya ndege kwak usimamiwa na TAA kupitia Wizara ya Uchukuzi tofauti na ilivyo sasa inasimamiwa na Mambo ya Ndani.

“Tukifanya hivyo tutawavutia airlines mbalimbali duniani ziweze kuleta ndege zao hapa kwak uwa usalama unakuwa mkubwa na kuufanya vivutio vikubwa ikiwemo kuendana na utaratibu wa sasa wa kuboresha masuala ya utalii duniani,’’.ameongeza.

PONGEZI KWA RAIS.

Amempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayoifanya ya kusimamia serikali ya awamu ya sita lakini na kuiongoza nchi sawia ambapo Tanzania ipo salama kwa hakika wabunge na wananchi wanajivunia yeye kwa kazi anayoifanya.

“Ushahidi tosha tunauona sasa SGR watu waliyokuwa wanaizungumzia kama historia sasa Dar es salaam kuja Dodoma kwa saa 4,hili ni jambo kubwa na ilikuwa ndoto lakini sasa imetimia na hiyo ni dalili mojawapo ya uongozi thabiti alionao Rais wetu,

“Lakini katika majimbo yetu tumeona maendeleo makubwa wananchi wamefikiwa na huduma mbalimbali za kijamii,sisi tunajivunia katika uongozi wake maana tumeona mabadiliko ya kimaendeleo na kweli uungwana ni vitendo hivyo lazima tumpongeze na kumtia moyo sana Rais wetu kwamba watanzania wanamuunga mkono katika nyanja zote,”.amesema.

PONGEZI KWA SPIKA.

Amempongeza Spika Dkt Tulia Ackson kwa kazi kubwa anayoifanya ya kusimamia Bunge na kuwaomba watu wa Mbeya waendelee kuna na Imani nae na mwakani wampitishe ili arudi bungeni na kuendelea kuwaongoza.

“Jana baada ya kusimamia lile suala la mgogoro wa shamba la Malonje wananchi wengi wamepongeza namna ulivyosimamia haki ya wananchi wale na namna ulivyoelekeza kupitia kiti chako kuhakikisha wananchi wanaishi salama na kuhakikisha utengamano wa amani unapatikana,kwa hakika unaitendea haki nafasi hiyo na ndio maana ulipewa hata Urais wa mabunge duniani,

“Na wale watu wa Mbeya tunaendelea kuwaomba waendelee kuwa na imani na wewe na mwakani wakupitishe kwa mwendo wa mserereko ili urudi tena bungeni uendelee kutuongoza,”.ameeleza.

About the author

Alex Sonna