Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet giriş

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

betmarino

kulisbet

maxwin, maxwin giriş

maxwin, maxwin giriş

deneme bonusu

casibom giriş

betwoon

paşacasino

interbahis

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

pusulabet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

deneme bonusu veren siteler

jojobet

holiganbet

jojobet

betsat güncel giriş

meritking

jojobet

grandpashabet

atlasbet giriş

lunabet

artemisbet giriş

setrabet

betpas

jojobet

timebet

jojobet

kavbet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

holiganbet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

holiganbet giriş

holiganbet

mavibet giriş

artemisbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

grandpashabet

maxwin

dinamobet giriş

ultrabet

casibom

betkolik

jojobet

casibom

jojobet

kalebet

casibom

casibom

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

luxbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

holiganbet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

perabet

betface

betface

piabellacasino giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

avrupabet

jojobet

betpark

meritking giriş

vdcasino

jojobet

kingroyal

Featured Kitaifa

MTATURU ALIA NA USALAMA VIWANJA VYA NDEGE.

Written by Alex Sonna

 

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,akichangia Muswada wa Sheria ya Viwanja vya Ndege Tanzania wa Mwaka 2024 Bungeni jijini Dodoma.

…….

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amechangia Muswada wa Sheria ya Viwanja vya Ndege Tanzania wa Mwaka 2024 ,huku akigusia mambo mawili ambayo ni vyanzo vya Mapato vya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege(TAA),na usalama wa abiria na watumiaji wa viwanja vya ndege.

Akichangia muswada huo Bungeni Jijini Dodoma,Mtaturu ambaye ni Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu amesema kupitisha kwa Muswada huo kutawezesha kuwapa Mamlaka TAA na kuwatoa kwenye uwakala ili waweze kusimamia vizuri viwanja vya ndege.

Amesema kwam ujibu wa Mamlaka inayosimamia usalama wa anga Duniani(ICAO),ina vigezo vyake ambavyo inavitoa kila mahala,hivyo kama taasisi haina uwezo mkubwa wa kifedha haitaweza kuwa na ushindani katika viwanja vingine.

“Leo hii unaweza kutua uwanja wa ndege A ukaenda na uwanja wa ndege B utakuta ni tofauti sana kwa sababu ya huduma zilizopo pale ndani kwa hiyo tukiifanya hii mamlaka ikawa na uwezo wa fedha itaweza kuboresha vigezo kwa mujibu wa ICAO ,”.amesema.

Ameiomba serikali kupitia wizara zinazohusika ikiwemo Wizara ya Fedha kukaa na kuona namna itakavyowaachia TAA kukusanya tozo ya huduma ambayo inatolewa na abiria iweze kubaki katika taasisi ambayo inaenda kupewa mamlaka kamili.

Amesema hilo litaiwezesha TAA kuwa na fedha zake zenyewe bila ya kusubiri kupeleka maombi Hazina ili kupata fedha kwa ajili ya kutengeneza au kuboresha viwanja vya ndege.

“Mimi hapa nataka niombe pamoja na uwekezaji mkubwa uliofanywa katika viwanja vyetu lakini vinatakiwa kuendelea kutunzwa,hii customer service charge iweze kuachiwa watu wa TAA ili waweze kuwa na uwezo wa kukusanya na kutumia na hivyo kuendana na vigezo vya ICAO ambavyo kimsingi ni standard ya dunia nzima,

“Hatuwezi kujiweka kama kisiwa na kujikuta hatuboreshi viwanja vyetu,hii itafanya baadhi ya airlines isilete ndege katika viwanja vyetu hivyo tutakosa fursa kubwa ya kiuchumi na sasa hivi tumeboresha suala la utalii hivyo litakuwa limezuia watalii baadhi kuletwa nchini kwetu moja kwam oja,huu ni ushauri wetu kama kamati naamini serikali itaendelea kulifanyia kazi kuhakikisha inawapa TAA kukusanya fedha hizi,”.ameongeza.

Jambo la pili alilozungumzia ni usalama wa usafiri wa anga ambapo Mtaturu ameomba lipewe kipaumbele kwa sababu mtu akiwa salama anakuwa na uhakika na safari yake.

“Ombi langu ni kwamba ili kumpa comfort mtumiaji kwa maana ya abiria lazima tumuhakikishie usalama wake,kumekuwa na mgongano kwamba wenzetu wa TAA wana vifaa vya rescue kwa maana wana magari ya zima moto na vifaa vyake,kwa sasa hali ilivyo ina maana kwamba wewe kama una gari halafu dereva hakuhusu ina maana huna uhakika kama chombo chako kipo salama,

“Ombi letu ni kwamba wawe na kikosi cha zimamoto katika viwanja vya ndege ili iwe ni kitengo chao wenyewe waweze kuwa na mamlaka ya kusimamia wale wafanyakazi ambao ni askari wa zimamoto, lakini leo hii akitokea mfanyakazi amefanya makosa Wizara ya Uchukuzi haina mamlaka ya kumchukulia hatua yoyote kwa sababu sio mfanyakazi aliyemuajiri,”amesema.

Amesema ili usalama na usimamiz uwe mzuri ni vyema sasa serikali ifikirie kuwa na kikosi cha zimamoto maalum cha kuzuia majanga ya moto katika viwanja vya ndege kwak usimamiwa na TAA kupitia Wizara ya Uchukuzi tofauti na ilivyo sasa inasimamiwa na Mambo ya Ndani.

“Tukifanya hivyo tutawavutia airlines mbalimbali duniani ziweze kuleta ndege zao hapa kwak uwa usalama unakuwa mkubwa na kuufanya vivutio vikubwa ikiwemo kuendana na utaratibu wa sasa wa kuboresha masuala ya utalii duniani,’’.ameongeza.

PONGEZI KWA RAIS.

Amempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayoifanya ya kusimamia serikali ya awamu ya sita lakini na kuiongoza nchi sawia ambapo Tanzania ipo salama kwa hakika wabunge na wananchi wanajivunia yeye kwa kazi anayoifanya.

“Ushahidi tosha tunauona sasa SGR watu waliyokuwa wanaizungumzia kama historia sasa Dar es salaam kuja Dodoma kwa saa 4,hili ni jambo kubwa na ilikuwa ndoto lakini sasa imetimia na hiyo ni dalili mojawapo ya uongozi thabiti alionao Rais wetu,

“Lakini katika majimbo yetu tumeona maendeleo makubwa wananchi wamefikiwa na huduma mbalimbali za kijamii,sisi tunajivunia katika uongozi wake maana tumeona mabadiliko ya kimaendeleo na kweli uungwana ni vitendo hivyo lazima tumpongeze na kumtia moyo sana Rais wetu kwamba watanzania wanamuunga mkono katika nyanja zote,”.amesema.

PONGEZI KWA SPIKA.

Amempongeza Spika Dkt Tulia Ackson kwa kazi kubwa anayoifanya ya kusimamia Bunge na kuwaomba watu wa Mbeya waendelee kuna na Imani nae na mwakani wampitishe ili arudi bungeni na kuendelea kuwaongoza.

“Jana baada ya kusimamia lile suala la mgogoro wa shamba la Malonje wananchi wengi wamepongeza namna ulivyosimamia haki ya wananchi wale na namna ulivyoelekeza kupitia kiti chako kuhakikisha wananchi wanaishi salama na kuhakikisha utengamano wa amani unapatikana,kwa hakika unaitendea haki nafasi hiyo na ndio maana ulipewa hata Urais wa mabunge duniani,

“Na wale watu wa Mbeya tunaendelea kuwaomba waendelee kuwa na imani na wewe na mwakani wakupitishe kwa mwendo wa mserereko ili urudi tena bungeni uendelee kutuongoza,”.ameeleza.

About the author

Alex Sonna