marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

grandpashabet

palacebet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

trendbet

padişahbet

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

porno izle

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

imajbet

lunabet

holiganbet

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

türk porno

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

bahiscasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet giriş

superbetin

deneme bonusu

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casinomilyon

betist

merit

Featured Kitaifa

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA TUME NA WADAU

Written by mzalendo
Mwenyekiti
Wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele,
akizungumza wakati akifungua  mafunzo ya siku
mbili kwa Waratibu wa Uandikishaji wa mkoa, Maafisa Waandikishaji, Maafisa
Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi, Maafisa Ugavi na
Maafisa TEHAMA wa halmashauri yaliyoanza leo
Agosti 26 hadi 27, 2024 Mkoani Mkoani Mara.
Mwenyekiti Wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, akizungumza wakati akifungua  mafunzo ya siku mbili kwa Waratibu wa Uandikishaji wa mkoa, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi, Maafisa Ugavi na Maafisa TEHAMA wa halmashauri yaliyoanza leo  Agosti 26 hadi 27, 2024 Mkoani Mkoani Mara.

**************

Na Waandishi Wetu
Watendaji wa uchaguzi katika mikoa ya Mara,
Simiyu na Manyara wametakiwa kutoa ushirikiano kwa Tume Huru ya Taifa ya
Uchaguzi na wadau wa uchaguzi wakati wa kutekeleza majukumu yao ili kufanikisha
zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika mikoa yao.

Wito huo umetolewa leo tarehe 26 Agosti, 2024
na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa Mhe.
Jacobs Mwambegele wakati akifungua mafunzo ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu
la Wapiga Kura kwa watendaji wa uboreshaji ngazi ya mkoa na halmashauri
yaliyofanyika katika mji wa Musoma mkoani Mara.

Jaji Mwambegele amesisitiza kuwa ni muhimu
kwa watendaji hao kuhakikisha kuwa wanafuata maelekezo ya Tume na kushirikiana
kikamilifu ili kuhakikisha zoezi la uboreshaji linaenda vizuri na kwa ufanisi.
“Ninawasihi muwe na ushirikiano mzuri na wa
karibu na Tume wakati wote mtakapokuwa mnatekeleza majukumu yenu na ikiwa
mnahitaji ufafanuzi au maelekezo yoyote, msisite kuwasiliana na Tume,” amesema
Jaji Mwambegele.

Naye Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa
ya Uchaguzi Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufaa, Mhe. Mbarouk Salim Mbarouk
ambaye alifungua mafunzo kama hayo mkoani Simiyu amewataka watendaji hao kutoa
ushirikiano kwa mawakala wa vyama vya siasa, asasi za kutoa elimu ya mpiga kura
na waangalizi wa zoezi hilo.

Mkoani Manyara, mafunzo kwa watendaji wa
uchaguzi ngazi ya mkoa yalifunguliwa na Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya
Uchaguzi Jaji wa Mahakama Kuu, Mhe. Asina Omari ambaye amewataka watendaji hao
kuzingatia mafunzo hayo ili waweze kuwafundisha Maafisa waandikishaji wasaidizi
ngazi ya kata.

“Mafunzo haya yanawajengea umahiri wa
kuwafundisha Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Kata ili nao wakatoe
mafunzo hayo kwa waendeshaji wa vifaa vya Bayometriki na Waandishi wasaidizi
ambao ndiyo watakaohusika na uandikishaji wa wapiga kura vituoni,” amesisitiza
Jaji Asina.

Kufanyika kwa mafunzo hayo, ni maandalizi ya
kuanza kwa mzunguko wa nne wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
ambao unajumuisha mkoa wa Mara, Simiyu na
baadhi ya halmashauri za Mkoa wa Manyara ambazo ni Halmashauri ya Mji wa
Babati na Halmashauri za Wilaya za Babati, Hanang na Mbulu ambapo uboreshaji
utaanza tarehe 04 Septemba, 2024 hadi 10 Septemba, 2024 na vituo vitakuwa
vinafunguliwa kuanzia saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni.

Makamu Mwenyekiti Wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji wa Rufaa(Mstaafu) Mbarouk Salim Mbarouk, akizungumza wakati akifungua  mafunzo ya siku mbili kwa Waratibu wa Uandikishaji wa mkoa, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi, Maafisa Ugavi na Maafisa TEHAMA wa halmashauri yaliyoanza leo  Agosti 26 hadi 27, 2024 Mkoani Mkoani Simiyu.
Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Selemani Mtibora akizungumza wakati wa mafunzo hayo mkoani Simiyu.

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji wa Mahakama Kuu, Asina Omari  akizungumza wakati akifungua  mafunzo ya siku mbili kwa Waratibu wa Uandikishaji wa mkoa, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi, Maafisa Ugavi na Maafisa TEHAMA wa halmashauri yaliyoanza leo  Agosti 26 hadi 27, 2024 Mkoani Mkoani Manyara.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura, Bi. Giviness Aswile  akizungumza jambo wakati wa Mafunzo hayo mkoani Manyara. 

Washiriki wa Mafunzo yanayotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)  kwa Watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Simiyu, wakila kiapo cha kujitoa uanachama wa chama cha siasa na kutunza siri wakati wa kutekeleza majukumu yao . Mafunzo hayo yameanza leo Agosti 26, 2024 na yamehusisha Mratibu wa Mkoa wa Uboreshaji wa Daftari, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Uchaguzi, Maafisa TEHAMA na Maafisa Ugavi wa halmashauri zote za mkoa wa Simiyu.

 

Washiriki wa Mafunzo yanayotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)  kwa Watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Manyara, wakila kiapo cha kujitoa uanachama wa chama cha siasa na kutunza siri wakati wa kutekeleza majukumu yao . Mafunzo hayo yameanza leo Agosti 26, 2024 na yamehusisha Mratibu wa Mkoa wa Uboreshaji wa Daftari, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Uchaguzi, Maafisa TEHAMA na Maafisa Ugavi wa halmashauri zote za mkoa wa Manyara.

Washiriki wa Mafunzo yanayotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)  kwa Watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Manyara, wakila kiapo cha kujitoa uanachama wa chama cha siasa na kutunza siri wakati wa kutekeleza majukumu yao . Mafunzo hayo yameanza leo Agosti 26, 2024 na yamehusisha Mratibu wa Mkoa wa Uboreshaji wa Daftari, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Uchaguzi, Maafisa TEHAMA na Maafisa Ugavi wa halmashauri zote za mkoa wa Manyara.

Washiriki
wa Mafunzo yanayotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)  kwa
Watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Mara, wakila
kiapo cha kujitoa uanachama wa chama cha siasa na kutunza siri wakati wa
kutekeleza majukumu yao mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mahakama ya Wilaya ya
Musoma,Bi.  Aristida Tarimo. Mafunzo hayo
yameanza leo Agosti 26, 2024 na yamehusisha Mratibu wa Mkoa wa Uboreshaji wa
Daftari, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Uchaguzi, Maafisa TEHAMA na Maafisa
Ugavi wa halmashauri zote za mkoa wa Mara.

Washiriki
wa Mafunzo yanayotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)  kwa
Watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Mara, wakila
kiapo cha kujitoa uanachama wa chama cha siasa na kutunza siri wakati wa
kutekeleza majukumu yao mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mahakama ya Wilaya ya
Musoma,Bi.  Aristida Tarimo. Mafunzo hayo
yameanza leo Agosti 26, 2024 na yamehusisha Mratibu wa Mkoa wa Uboreshaji wa
Daftari, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Uchaguzi, Maafisa TEHAMA na Maafisa
Ugavi wa halmashauri zote za mkoa wa Mara.
Hakimu Mkazi Mfawidhi Mahakama ya Wilaya ya Musoma,Bi.  Aristida Tarimo akitoa maelekezo kabla ya kuwaapisha. 

About the author

mzalendo