marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

grandpashabet

palacebet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

trendbet

padişahbet

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

porno izle

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

imajbet

lunabet

holiganbet

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

türk porno

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

bahiscasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet giriş

superbetin

deneme bonusu

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casinomilyon

betist

merit

Featured Kitaifa

WANA MAHENGE WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZITAKAZOWAINUA KIUCHUMI

Written by mzalendo


Afisa Maendeleo ya Jamii, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga Mjini Mahenge Bw. Peter Nambunga, akiongea na washiriki waliohudhuria program maalum ya elimu ya fedha kwa umma iliyofanyika katika Halmashauri hiyo Mkoani Morogoro.

Mratibu wa Mifuko na Program za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kutoka Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bw. Samwel Shikona, akiwaeleza wananchi wa Mahenge fursa mbalimbali zinazopatikana kupitia Baraza hilo wakati wa program maalum ya elimu ya fedha kwa umma iliyotolewa kwa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga.

Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya, akiwaeleza wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga naomna bora ya kuepukana na mikopo isiyo rasmi (mikopo umiza) wakati wa program maalum ya elimu ya fedha kwa umma iliyotolewa kwa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga.

Afisa Sheria Mwandamizi kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw Ramadhani Myonga, akitoa mada kwa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro, wakati wa program maalum ya elimu ya fedha kwa umma iliyotolewa kwa wananchi wa Halmashauri hiyo..

Mjasiriamali na mtangazi wa Radio Ulanga FM, Easter Kaonja akichangia mojawapo ya mada iliyotolewa kwenye program maalum ya elimu ya fedha kwa umma iliyotolewa kwa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga.

Wataalamu wa masuala ya fedha kutoka Wizara ya Fedha na washirika wa sekta ya fedha nchini wakiwa katika picha ya pamoja na Maafisa Maendeleo ya Jamii pamoja na wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga mara baada ya program ya elimu ya fedha kwa umma iliyotolewa kwa wananchi hao.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha – Morogoro)

Na. Ramadhani Kissimba, WF, Morogoro

Wananchi wa Mahenge katika Halmashauri ya Wilayani ya Ulanga, Mkoani Morogoro wametakiwa kuchangamkia fursa zinazotolewa na Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) ili waweze kujikwamua kutoka katika lindi la umasikini kwa kuongeza kipato na kukuza uchumi.

Afisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga, Bw. Peter Nambunga, alisema hayo katika program maalum ya elimu ya fedha kwa umma iliyotolewa kwa wananchi wa Mahenge na wataalamu kutoka Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na washirika wa sekta ya fedha nchini ikiwa ni mwendelezo wa kutoa elimu hiyo kwa nchi nzima hasa kwa wananchi waliopo vijijini.

Bw. Nambunga alieleza kuwa elimu iliyotolewa itajenga uelewa mkubwa kwa wananchi tunaowasimamia kwa maana imelenga kuikwamua jamii kiuchumi.

Bw. Nambunga aliongeza kuwa wananchi wa Mahenge na Tanzania kwa ujumla wanatakiwa kuzitumia fursa zaidi ya 72 zinazotolewa na Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi katika kuendeleza shughuli zao mbalimbali za uzallishaji mali ili kuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla na kusaidia kupeleka mbele gurudumu la maendeleo.

‘’Wananchi wameweza kuelewa fursa mbalimbali zinazopatikana kupitia Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, wengi wao walikuwa wanajikita na kuelewa uwezeshaji wananchi kiuchumi ni ile mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri lakini leo wametambua kuwa kuna mifuko zaidi ya 72 ambayo wanaweza kuitumia kupata uwezeshaji katika suala zima la maendeleo’’. Alisema Bw. Nambunga

Aidha, Afisa Maendeleo ya Jamii huyo aliwataka wananchi wa Mahenge na Halmashauri nzima ya Ulanga kuwa na nidhamu katika matumizi ya fedha ili kuwaepusha na uhitaji wa kutafuta mikopo isiyo ya lazima na kwa kufanya hivyo itakuwa njia mojawapo ya kuepukana na mikopo ya kausha damu.

Awali akizungumza katika program hiyo, Mratibu wa Mifuko na Program za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kutoka Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bw. Samwell Shikona, alisema kuna fursa mbalimbali za kuwakomboa wananchi kiuchumi zikiwemo mikopo kwa wakulima ambayo ina masharti nafuu, lakini kuna mikopo nafuu inayotolewa kwa wakulima ambao wana umri kati ya miaka 18 hadi 40 ambayo haina masharti yoyote.

Bw. Shikona aliwataka vijana kuchangamkia fursa hiyo ya mikopo ya kilimo ambayo itawasaidia kuondokana na utegemezi kwa kuwakomboa katika kuingia kwenye umasikini.

Aidha alieza kuwa Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lipo kwa ajili ya kuwaunganisha wananchi na fursa mbalimbali za kiuchumi kwa lengo la kuongeza kipato chao ili waweze kuchangia pato la Taifa.

Program ya elimu ya fedha kwa umma inayotolewa na Serikali kupitia Wizara ya Fedha na washirika kutoka sekta ya fedha nchini ina malengo mahsusi la kuwaunganisha wajasiriamali na fursa mbalimbali zinazotolewa na sekta ya fedha katika kukuza na kuimarisha biashara zao.

About the author

mzalendo