marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

casinomilyon

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

vdcasino

Featured Kitaifa

WMA YAWAPONGEZA WAKULIMA KARATU KUZINGATIA MATUMIZI YA VIPIMO SAHIHI

Written by Alex Sonna

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka Wakala wa Vipimo (WMA) Albogast Kajungu (kulia) akiongoza zoezi la kuhakiki uzito wa vitunguu vilivyofungashwa tayari kwa kuuzwa katika eneo la Mang’ola wilayani Karatu, Mkoa wa Arusha, Agosti 9, 2024. WMA ilifanya ziara ya kushtukiza ili kujiridhisha endapo maelekezo ya Serikali kwa wakulima na wafanyabiashara kutozidisha kilo 100 kwa mazao yaliyofungashwa ili kulinda pande zote, yanazingatiwa.

Veronica Simba – WMA

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA), Albogast Kajungu, amefanya ziara ya kushtukiza katika mashamba ya wakulima mbalimbali eneo la Mang’ola wilayani Karatu, Mkoa wa Arusha na kuridhishwa na namna wakulima hao wanavyozingatia matumizi ya vipimo sahihi.

Akiongoza Timu ya Wataalamu wa WMA katika zoezi hilo, Agosti 9, 2024, Kajungu amesema lengo ni kujiridhisha ikiwa wananchi wanazingatia elimu inayotolewa na Wakala wa Vipimo kuhusu matumizi ya vipimo sahihi ili kuzilinda pande zote yaani wakulima, wafanya biashara na walaji.

Katika ziara hiyo, Timu hiyo ya Wataalamu wa WMA walihakiki uzito wa mazao aina ya vitunguu yaliyofungashwa katika vifungashio vya aina mbalimbali tayari kwa kuuzwa pamoja na kuzungumza na wakulima, wafanyabiashara na wasafirishaji wa mazao hayo.

“Niwapongeze sana kwa kuzingatia matumizi ya vipimo sahihi maana katika mazao yote yaliyofungashwa ambayo tumepima, hakuna yaliyozidi uzito unaoelekezwa kisheria. Nawasihi muendelee hivyo kwani kila upande utapata faida stahiki,” amesema Kajungu.

Akifafanua zaidi kuhusu maelekezo ya kisheria kwa uzito wa mazao ya shamba yaliyofungashwa, Kajungu amesema mkulima yuko huru kufungasha kwa kutumia aina yoyote ya kifungashio isipokuwa azingatie uzito wake usizidi kilo 100.

Ametoa ufafanuzi huo kutokana na uelewa tofauti kwa baadhi ya watu wanaotafsiri kuwa sheria inakataza kufungasha mazao kwa kuongeza kishungi katika vifungashio.

“Niendelee kuwaelimisha na kuwaelewesha kuwa tafsiri sahihi ya lumbesa siyo kishungi bali ni uzito uliozidi kilo 100 kwa mazao yaliyofungashwa, Na katika hili niseme wazi huwezi kuthibitisha lumbesa kwa macho, ni lazima upime kujiridhisha kuwa mazao yaliyofungashwa yamezidi kilo 100,” amesisitiza Kajungu.

Katika hatua nyingine, Kajungu ameendelea kutoa ushauri kwa Halmashauri zote nchini kutumia mizani kupima mazao yaliyofungashwa ili kuondoa utata na manung’uniko yanayojitokeza kwa baadhi ya wakulima na wafanyabiashara kwamba wanatozwa faini kwa mazao yaliyofungashwa na kuwa na kishungi yakitafsiriwa kama lumbesa.

“Mwarobaini wa changamoto hiyo ni kutumia mizani kama sheria inavyoelekeza na siyo kutizama kwa macho.”

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wakulima na wafanyabiashara wa vitunguu katika eneo la Mang’ola wamekiri kunufaika zaidi kwa kila upande baada ya kuanza kuzingatia elimu ya vipimo sahihi waliyopatiwa na Serikali kupitia Wakala wa Vipimo.

Marieta Tlemai, mkulima wa vitunguu, kwa niaba ya wenzake, ametoa pongezi kwa Serikali kupitia Wakala wa Vipimo kwa kuwajali wakulima na kuweka sheria ya ufungashaji mazao inayolenga kulinda maslahi yao.

Awali, Timu hiyo ya Wataalamu kutoka WMA, ilitembelea Ofisini kwa Mkuu wa Wilaya ya Karatu ili kueleza dhamira ya ziara yao na kupokelewa na Katibu Tawala, Dkt. Lameck Karanga ambaye aliwahakikishia kuwa Ofisi yake inaunga mkono jitihada za kutokomeza lumbesa ili kulinda maslahi ya wananchi wake ambao wengi hujishughulisha na kilimo cha vitunguu.

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka Wakala wa Vipimo (WMA) Albogast Kajungu (kulia) akiongoza zoezi la kuhakiki uzito wa vitunguu vilivyofungashwa tayari kwa kuuzwa katika eneo la Mang’ola wilayani Karatu, Mkoa wa Arusha, Agosti 9, 2024. WMA ilifanya ziara ya kushtukiza ili kujiridhisha endapo maelekezo ya Serikali kwa wakulima na wafanyabiashara kutozidisha kilo 100 kwa mazao yaliyofungashwa ili kulinda pande zote, yanazingatiwa.

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka Wakala wa Vipimo (WMA) Albogast Kajungu (kulia) akimpongeza Mfanyabiashara wa Vitunguu katika eneo la Mang’ola wilayani Karatu, Mkoa wa Arusha, Felix Matle kwa kuzingatia maelekezo ya Serikali kwa wakulima na wafanyabiashara kutozidisha kilo 100 kwa mazao yaliyofungashwa ili kuzilinda pande zote. Wataalamu wa WMA, walifanya ziara ya kushtukiza katika eneo hilo, Agosti 9, 2024 ili kujiridhisha endapo maelekezo husika yanazingatiwa.

Wataalamu wa Wakala wa Vipimo (WMA), wakiwa katika eneo la Mang’ula wilayani Karatu, Mkoa wa Arusha kuhakiki vitunguu vilivyofungashwa tayari kwa kuuzwa. WMA ilifanya ziara ya kushtukiza Agosti 9, 2024 ili kujiridhisha endapo maelekezo ya Serikali kwa wakulima na wafanyabiashara kutozidisha kilo 100 kwa mazao yaliyofungashwa ili kulinda pande zote, yanazingatiwa.

Vitunguu vilivyofungashwa vikipimwa katika mzani wakati wa zoezi la kuhakiki mazao yaliyofungashwa eneo la Mang’ula, wilayani Karatu, Mkoa wa Arusha. Wakala wa Vipimo (WMA) ilifanya ziara ya kushtukiza katika eneo hilo Agosti 9, 2024 ili kujiridhisha endapo maelekezo ya Serikali kwa wakulima na wafanyabiashara kutozidisha kilo 100 kwa mazao yaliyofungashwa ili kulinda pande zote, yanazingatiwa.

About the author

Alex Sonna