marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

imajbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

holiganbet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

Marsbahis

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

matbet, matbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

romabet

trimology review

celtabet

meritking giriş

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

pusulabet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

imajbet

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

trendbet giriş

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

trendbet

perabet

efesbet

pokerklas

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

bets10

romabet giriş

jojobet

deneme bonusu

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

milanobet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet

casibom

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

kralbet

deneme bonusu

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

casibom

jojobet

kalitebet

Featured Kitaifa

MRADI WA SLR WATENGA EKARI 28,000 UREJESHAJI UOTO WA ASILI

Written by Alex Sonna

Afisa Misitu kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, Bw. Rogasian Lukoa akizungumza jambo wakati wa kikao cha kamati ya kitafia ya usimamizi wa Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania (SLR) kilichofanyika Mkoani Iringa Julai 31, 2024.

Katibu Tawala Msaidizi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Bw. Salehe Msampa akizungumza jambo wakati wa kikao cha kamati ya kitafia ya usimamizi wa Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania (SLR) kilichofanyika Mkoani Iringa Julai 31, 2024.

Mwakilishi kutoka Wizara ya Maji, Bw. Modestus Herman akizungumza jambo wakati wa kikao cha kamati ya kitafia ya usimamizi wa Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania (SLR) kilichofanyika Mkoani Iringa Julai 31, 2024.

Wajumbe wa kikao cha kamati ya kitaifa ya usimamizi wa Mradi wa Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania (SLR) wakifuatilia kikao hicho kilichofanyika Mkoani Iringa Julai 31, 2024.

Mtaalamu Mshauri wa Mradi Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania (SLR) akizungumza jambo wakati wa kikao cha kamati ya kitafia ya usimamizi wa Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania (SLR) kilichofanyika Mkoani Iringa Julai 31, 2024.

Katibu Tawala Mkoa wa Katavi, Bw.  Albert G. Msovela akizungumza jambo wakati wa kikao cha kamati ya kitafia ya usimamizi wa Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania (SLR) kilichofanyika Mkoani Iringa Julai 31, 2024.

Mwakilishi wa Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais ambaye pia ni Mkurugenzi wa Tathimini na Ufuatiliaji, Bw. Sigsbert Kavishe (katikati) akizungumza jambo wakati wa kikao cha kamati ya kitafia ya usimamizi wa Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania (SLR) kilichofanyika Mkoani Iringa Julai 31, 2024. Kushoto ni Mratibu wa Mradi wa SLR, Dkt. Damas Mapunda na Katibu Tawala Mkoa wa Katavi, Bw.  Albert Msovela.

Wajumbe wa kamati ya kitaifa ya usimamizi wa Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania (SLR) wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa kikao cha kamati ya kitafia ya usimamizi wa Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania (SLR) kilichofanyika Mkoani Iringa Julai 31, 2024.

(PICHA NA MPIGAPICHA WETU)

 

Ofisi ya Makamu wa Rais kupitia Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania (SLR) imetenga ekari 28,000 za misitu ya jamii iliyopo katika vijiji vya Halmashauri saba (07) kwa ajili ya urejeshaji wa uoto wa asili.

Hayo yamebainishwa Julai 31, 2024 Mkoani Iringa na Mratibu wa Kitaifa wa Mradi wa SLR, Dkt. Damas Mapunda wakati wa mahojiano na waandishi wa vyombo vya habari katika kikao cha siku moja cha kamati ya kitaifa ya usimamizi wa mradi kilichopokea taarifa ya mradi huo.

Dkt. Mapunda amesema tangu kuanza kwa mradi mwaka 2021, wataalamu walibainisha baadhi ya maeneo yaliyopo ndani ya halmashauri zinazotekeleza mradi ili kuonesha juhudi na hatua mahsusi zinazochukuliwa na Serikali kwa kushirikiana na wadau katika urejeshaji wa uoto wa asili.

“Moja ya eneo ambalo tunaweza kujivunia kwa sasa katika mradi ni urejeshaji wa uoto wa asili…kati ya vijiji 54 vya mradi tuna vijiji ambavyo kwa sasa suala la uoto wa asili limeleta manufaa manufaa makubwa ya kijamii na kiuchumi” amesema Dkt. Mapunda.

Ameongeza kuwa kupitia mpango wa urejeshaji, baadhi ya maeneo yaliyopewa kipaumbele ni pamoja na uhifadhi wa vyanzo vya maji, huduma za mifumo ikolojia pamoja na shughuli za kilimo mseto.

Aidha Dkt. Mapunda amesema kupitia uhifadhi misitu jamii, mradi umewezesha shughuli endelevu na wezeshi ikiwemo kilimo, uvuvi na ufugaji wa kisasa na kusaidia uhifadhi wa mazingira na kufanya usimamizi wa rasilimali zilizopo na kuandaa mpango matumizi bora ya ardhi.

Kwa mujibu wa Dkt. Mapunda amesema Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imepanga kuhakikisha Tanzania inafikia malengo ya kidunia ya kurejesha ekari Milioni 2.5 za uoto wa asili nchini ifikapo mwaka 2030.

Kuhusu vipaumbele vya bajeti ya mradi kwa mwaka 2024, Dkt. Mapunda amesema jumla ya vipaumbele vitano vimeainishwa kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali za mradi ambapo moja ya kipuambele hicho ni usimamizi wa biashara ya kaboni.

Ametaja vipaumbele vingine ni kuwezesha wakulima kutekeleza shughuli za miradi ya mabadiliko ya tabianchi, ufugaji endelevu, kuhamasisha shughuli mbadala za kiuchumi pamoja na uboreshaji wa miundombinu ya shughuli za uzalishaji mali.

Kwa upande wake Mshauri wa Kiufundi kutoka Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira (IUCN), Doyi Mazenzele amesema Shirika hilo kwa kushirikiana na Ofisi ya Makamu wa Rais imeendelea kuweka mikakati ya pamoja kwa kuendelea kuhimiza jamii kutambua umuhimu wa utunzaji wa bioanuai ambazo zinachangia upatikanaji wa huduma ikolojia.

“Tumeendelea kushirikiana na Ofisi ya Makamu wa Rais pamoja na Wizara mbalimbali katika kuwajengea uwezo wa kitaalamu wananchi na wasimamizi wa miradi katika maeneo ya halmashaur” amesema Mazenzele.

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Bw. Robert Masunya amesema Halmashauri hiyo imeendelea na juhudi mbalimbali za uhifadhi wa mazingira na urejeshaji wa uoto wa asili kwa kuhimiza shughuli wezeshi zisizoharibu mazingira ikiwemo matumizi ya nishati safi ya kupikia.

“Tumeendelea kuhakikisha shughuli za uhifadhi zinapewa kipaumbele katika maeneo yote ndani ya Halmashauri ambayo yanatekeleza mradi kwa ikiwemo ulinzi wa vyanzo vya maji kwa kuhamasisha wananchi kutunza maeneo hayo” amesema Masunya.

Mradi wa SLR unafadhiliwa na Mfuko wa Mazingira wa Dunia (GEF) kupitia Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) na kusimamiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais ambapo kiasi cha Bilioni 25.8 kimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo.

Mradi huo ulioanza mwaka 2021 unatarajia kukamilika mwaka 2025 na kunufaisha jumla ya Mikoa 5, Halmashauri 7, Kata 18 na vijiji 54. Halmashauri zinazonufaika na mradi ni Iringa Vijijini, Mbeya, Mbarali, Sumbawanga vijijini, Tanganyika na Mpimbwe.

About the author

Alex Sonna