Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

meritking

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

meritbet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

Featured Makala

MCHUANO MKALI URAIS TLS

Written by Alex Sonna

Picha zikiwaonyesha wagombea Mbalimbali wanaowania nafasi ya Chama Cha Wanasheria Tanzania (TLS)

Na Mwandishi Wetu

WAGOMBEA wa nafasi ya urais wa Chama cha Wanasheria Tanzania (TLS), jana wameshiriki mdahalo wa kunadi sera zao huku wengi wakiwa na shauku ya kuimarisha heshima ya mawakili nchini.

Agosti mosi hadi 3, mwaka huu, chama hicho kinatarajia kufanya mkutano mkuu wake ambao moja ya majukumu ni kumchagua Rais wa TLS.

Wagombea wanaowania nafasi hiyo ni Wakili Sweetbert Nkuba, Paul Kaunda, Revocatus Kuuli, Emmanuel Muga, Ibrahim Bendera na Boniface Mwabukusi.

Katika mdahalo huo ulioandaliwa na moja ya chombo cha habari cha televisheni nchini, wagombea hao wamenadi sera zao ambapo Mmoja wa wagombea wa nafasi hiyo, Sweetbert Nkuba, alisema anauzoefu wa muda mrefu wa uongozi katika ngazi mbalimbali na kuomba achaguliwe kwenye nafasi hiyo ili afanikishe vipaumbele vitano ikiwemo kuwaunganisha wanachama wa TLS na kuhakikisha maslahi ya kiuchumi ya wanachama wa chama hicho yanazingatiwa.

Alisema atahakikisha inatungwa sera ya jinsia kwa TLS na atalinda na kuitetea taaluma ya uwakili kwa wivu mkubwa.

Wakili Nkuba alisema anaamini uimarishaji wa miundombinu ya kisheria na kiteknolojia ndani ya TLS utawezesha huduma bora kwa wanachama na jamii kwa ujumla kwa kuongeza uwekezaji katika mifumo ya kidijitali ili kurahisisha upatikanaji wa taarifa na huduma za kisheria.

Pia alisema akichaguliwa atazingatia masuala ya mafunzo na utaalamu ili kuhakikisha kuwa wanasheria wana ujuzi wa kisasa na uwezo wa kushindana kimataifa.

Alisema sera yake ni ushawishi na utetezi kwa kuhakikisha TLS inakuwa na sauti yenye nguvu katika masuala ya kitaifa na kimataifa yanayohusu sheria na haki.

“ Hii itajumuisha:Kuanzisha mikakati ya ushawishi kwa serikali na bunge ili kuboresha mfumo wa sheria nchini, kutoa msaada wa kisheria kwa jamii, hususan makundi yenye uhitaji maalum,”alisema.

Kadhalika, alisema atazingatia uwajibikaji kwa kusimamia kwa uwazi na uwajibikaji katika shughuli zote za TLS ili kujenga imani kwa wanachama na wadau wengine ikiwamo kuboresha mifumo ya ukaguzi wa ndani na nje ili kuhakikisha matumizi sahihi ya rasilimali za TLS na kuanzisha utaratibu wa kutoa taarifa za mara kwa mara kwa wanachama kuhusu shughuli na matumizi ya fedha za TLS.

“Nimedhamiria kujenga mahusiano imara kwa wadau mbalimbali, ikiwamo serikali, mashirika yasiyo ya kiserikali, na taasisi za kimataifa. Hii itajumuisha: Kuanzisha na kudumisha ushirikiano na mashirika ya kimataifa ya kisheria kwa manufaa ya wanachama wa TLS, Kushirikiana na vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu katika kutoa elimu ya sheria na mafunzo ya vitendo,”alisema.

Kadhalika, alisema atakuza uongozi na ushirikishwaji kwa kuhakikisha wanachama wa TLS wanashiriki kikamilifu katika maamuzi na uongozi wa chama.

“Nitaanzisha mfuko wa malipo ya ada yam waka kwa unafuu, kuanzisha na kusimamia vituo vya malezi kwa mawakili wapya, upatikanaji wa bima ya afya kwa utaratibu wa kulipa kidogo kidogo,”alisema.

Naye, Mgombea Wakili Paul Kaunda alisema anataka kuwalinda na kuwatetea mawakili wachanga kwa kuwaongezea thamani na heshima ikiwamo kuja na Wakili APP ambayo itasaidia mawakili kupata wateja kwa urahisi na kupata malipo stahiki kwa mujibu wa sheria ya gharama za mawakili itakuwa kama UBA.

Alisema atamshauri na kumshirikisha mwanasheria mkuu wa serikali kutunga kanuni zitakazotulinda mawakili na kuwaheshimisha mawakili wanapofanya majukumu wao wakiwa Mahakamani, polisi na vyombo vingine.

Pia alisema atamshauri na kumshirikisha Jaji Mkuu wa Tanzania aone umuhimu wa kuanzisha Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ya Teknolojia, ili kuiandaa mahakama ambayo itahusika na mambo yaliyojitokeza kwenye teknolojia ikiwamo Akili Mnemba.

Mgombea Wakili Ibrahim Bendera alisema amedhamiria kuwaunganisha mawakili vijana na wale wa muda mrefu ili kuwasaidia kusimamia kuwajenga kitaaluma na kupata wateja.

“Kuna matatizo kwenye chama chetu mtu anakuuliza ni chama gani cha siasa, hakuna mwanasheria ambaye sio mwanasiasa tunachoangalia ni vigezo vya kitaaluma, mimi nikichaguliwa ndani ya chama sitaleta mambo ya huyu ni chama gani cha siasa tutafuata msingi wa Martin Luther,”alisema.

Mgombea mwingine ambaye ni Wakili Revocatus Kuuli, alisema akichaguliwa atazingatia masuala ya utawala wa sheria ikiwamo mgawanyo wa madaraka kwa dola, uhuru wa kutoa maoni ili kusaidia nchi bila vitisho na demokrasia kuwa na uchaguzi huru na haki.

Aliomba achaguliwe kwa kuwa amekomaa kuwa kiongozi mwenye msimamo na atakayesimamia uimara wa chama.

Mgombea Wakili Emmanuel Muga, anasema akichaguliwa atatengeneza mpango mkakati unaoendana na wakati wa sasa na atasimamia mafunzo na maadili ya Mawakili.

Alisema ataimarisha utawala kwa kutengeneza kamati zenye uwezo wa kufanya kazi na kuifanya TLS kufuata taratibu za kisheria na sio kuendesha mambo yake kiholela.

Mgombea Wakili Boniface Mwabukusi alisema “Mimi ni simba nitakayeongoza kundi la simba na watanzania wataanza kuona uwepo wa chama hiki kwa kuwa TLS ina wajibu kwa wananchi, serikali, wanachama na utawala wa sheria na mgawanyo wa madaraka katika mhimili ya dola.”

“Nataka kuleta umoja kwenye uwakili kwasasa umegawanyika, tunapokuwa na TLS yenye kuwajibika nchi zinavamiwa kiuchumi ni wajibu wa TLS kuongoza watanzania kujua ukweli wa kisheria wa mikataba ya kimataifa na sera tunazoingia,”alisema.

About the author

Alex Sonna