Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

holiganbet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

INEC YASISITIZA USHIRIKIANO KWA WATENDAJI WA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

Written by mzalendo

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegeke akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Waratibu wa Uandikishaji wa mkoa, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi, Maafisa Ugavi na Maafisa TEHAMA wa halmashauri yaliyoanza leo Julai 9 na 10,2024 Mkoani Tabora.

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegeke akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Waratibu wa Uandikishaji wa mkoa, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi, Maafisa Ugavi na Maafisa TEHAMA wa halmashauri yaliyoanza leo Julai 9 na 10,2024 Mkoani Tabora.

Kamishina wa Viapo kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Tabora, Kundiata Robert akitoa utangulizi kabla ya kuwaapisha watendaji hao wa uboreshaji.

Waratibu wa Uandikishaji wa mkoa, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi, Maafisa Ugavi na Maafisa TEHAMA wa halmashauri wakila kiapo cga kujitoa uanachama na kile cha kutunza siri mbele ya Kamishina wa Viapo kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Tabora, Kundiata Robert (hayupo pichani) kabla ya kuanza kwa mafunzo ya siku mbili kwa watendaji wa uandikishaji ngazi ya Halamashauri mkoani Tabora yaliyoanza Julai 9 hadi 10, 2024 katika Ukumbi wa Mkoa wa Tabora. (Picha na INEC).

Waratibu wa Uandikishaji wa mkoa, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi, Maafisa Ugavi na Maafisa TEHAMA wa halmashauri wakila kiapo cga kujitoa uanachama na kile cha kutunza siri mbele ya Kamishina wa Viapo kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Tabora, Kundiata Robert (hayupo pichani) kabla ya kuanza kwa mafunzo ya siku mbili kwa watendaji wa uandikishaji ngazi ya Halamashauri mkoani Tabora yaliyoanza Julai 9 hadi 10, 2024 katika Ukumbi wa Mkoa wa Tabora. (Picha na INEC).

Afiza Uhamiaji Wilaya ya Tabora MC, Mkaguzi wa Uhamiaji Muhondo Mashili akitoa mada kuhusu uraia wakati wa mafunzo hayo. 

Waratibu wa Uandikishaji wa mkoa, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi, Maafisa Ugavi na Maafisa TEHAMA wa halmashauri za mkoa wa Tabora wakiwa katika mafunzo hayo.

Waratibu wa Uandikishaji wa mkoa, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi, Maafisa Ugavi na Maafisa TEHAMA wa halmashauri za mkoa wa Tabora wakiwa katika mafunzo hayo.

Na Mwandishi wetu, Tabora na Katavi
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)
imewataka watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani
Tabora na Katavi kuwa na ushirikiano kati yao, Serikali, Vyama vya Siasa na
wadau wengine wa uchaguzi.
 
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume Huru ya
Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegeke wakati akifungua mafunzo
ya siku mbili kwa Waratibu wa Uandikishaji wa mkoa, Maafisa Waandikishaji,
Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi, Maafisa Ugavi
na Maafisa TEHAMA wa halmashauri yaliyoanza leo Julai 9 na 10,2024 Mkoani
Tabora.
 
Mafunzo kama hayo yamefunguliwa pia Mkoani
Katavi na Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ambaye pia ni Jaji wa
Mahakama Kuu, Mhe. Asina Omari na yanafanyika ikiwa ni maandalizi ya uboreshaji
wa Daftari kwenye mikoa hiyo unaotarajiwa kufanyika tarehe 20 hadi 26,
2024.
 

“Matokeo bora ya zoezi hili yanategemea uwepo
wa ushirikiano mkubwa kati ya watendaji wote wa uboreshaji, Serikali, Vyama vya
Siasa na wadau wengine wa uchaguzi,” amesema Jaji Mwambegele.
 
Jaji Mwembegele amewasihi watendaji hao kuwa
na ushirikiano mzuri na wa karibu na Tume wakati wote wa utekelezaji wa
majukumu yao na ikiwa wanahitaji ufafanuzi au maelekezo yeyote, wasisite  kuwasiliana na Tume.
 
Aidha, Jaji Mwambegele amesema wakati wa
uboreshaji wa Daftari mawakala wa Vyama vya Siasa wataruhusiwa kuwepo katika
vituo vya kuandikisha wapiga kura jambo ambalo litasaidia kuleta uwazi katika
zoezi hilo.
 
“Mawakala hao watasaidia kutambua waombaji wa
eneo husika hivyo kupunguza kutokea kwa vurugu zisizokuwa za lazima. Mawakala
hao hawaruhusiwi kuwaingilia watendaji wakati wote wa utekelezaji wa majukumu
yao vituoni,”alisema Jaji Mwambegele.
 
Katika hatua nyingine amesema Tume imetoa
vibali kwa Asasi za kiraia 157 kwa ajili ya kutoa elimu ya mpiga kura na
waangalizi wa zoezi la uboreshaji 33 watakao tazama zoezi la  uboreshaji.
 
Jaji Mwambegele amesema Tume inasisitiza kwa
Maafisa Waandikishaji kuwa, wanapofika katika maeneo yao, wapewe ushirikiano
kwa kuwa ni wadau muhimu.
 
Mafunzo hayo yanahusisha namna ya ujazaji wa
fomu pamoja na kutumia mfumo wa kuandikisha wapiga kura (Voters Registration
System – VRS) ili waweze kupata uelewa wa pamoja utakaowapa fursa ya kutumia
kwa ufasaha mfumo huo pamoja na vifaa vingine vya kuandikisha wapiga kura.
 
“Mafunzo haya, yanawajengea umahiri wa
kuwafundisha Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Kata kisha nao watatoa
mafunzo hayo kwa Waendeshaji wa Vifaa vya Bayometriki na Waandishi Wasaidizi
ambao ndio watahusika na uandikishaji wa wapiga kura vituoni,” alisema Jaji
Mwambegele.
 
Aidha, Maafisa TEHAMA watapatiwa mafunzo
maalum ya jinsi ya kukabiliana na changamoto mbalimbali za kiufundi
(Troubleshooting) endapo zitajitokeza wakati wa zoezi la uandikishaji wa wapiga
kura vituoni.
 
Mapema kabla ya kuanza mafunzo hayo,
washiriki walikua kiapo cha kujitoa uanachama na kile cha kutunza siri.
 
Tume imetangaza uzinduzi wa zoezi la
uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura utafanyika Julai 20, 2024 mkoani
Kigoma ambapo Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa na kauli mbiu ya uboreshaji ni
“Kujiandikisha Kuwa Mpiga Kura ni Msingi Wa Uchaguzi Bora”.

About the author

mzalendo