Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

casibom

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

grandpashabet

betpark giriş

betpark

betpark

uyuşturucu satın al

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

matbet, matbet giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

vaycasino giriş

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

palacebet

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

Madridbet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

slot siteleri

meritbet

jojobet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

pusulabet

holiganbet

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat

marsbahis, marsbahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

jojobet

dinamobet

casibom

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

ultrabet

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

imajbet

İmajbet

Uncategorized

NHIF YAINGIA MAKUBALIANO NA ZHSF 

Written by mzalendo

MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),Bw.Bernard Konga (kulia) na  Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF),Yaasin Juma,wakisaini (kuhsoto) wakibadilishana  Mkataba wa mashirikiano ya utoaji huduma za Afya kati ya Taasisi hizo mbili ,hafla iliyofanyika leo Juni 28,2024 jijini Dodoma.

MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),Bw. Bernard Konga,akizungumza na waandishi wa habari  wakati akitoa taarifa ya kuingia Mkataba wa mashirikiano ya utoaji huduma za Afya na Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF),hafla iliyofanyika leo Juni 28,2024 jijini Dodoma.

MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),Bw. Bernard Konga,akifafanua jambo kwa waandishi wa habari  wakati akitoa taarifa ya kuingia Mkataba wa mashirikiano ya utoaji huduma za Afya na Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF),hafla iliyofanyika leo Juni 28,2024 jijini Dodoma.

MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF),Yaasin Juma, akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuingia  Mkataba wa mashirikiano ya utoaji huduma za Afya na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) hafla iliyofanyika leo Juni 28,2024 jijini Dodoma.

 

BAADHI ya washiriki wakifatilia hotuba mbalimbali   wakati  Mkataba wa kusaini wa mashirikiano  utoaji huduma za Afya kati ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) na Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF),hafla iliyofanyika leo Juni 28,2024 jijini Dodoma.

MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),Bw. Bernard Konga (kulia) na  Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF),Yaasin Juma (kushoto),wakisaini  Mkataba wa mashirikiano ya utoaji huduma za Afya kati ya Taasisi hizo mbili ,hafla iliyofanyika leo Juni 28,2024 jijini Dodoma.

WANASHERIA wakisaini makubaliano hayo.

MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),Bw.Bernard Konga (kulia) na  Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF),Yaasin Juma,wakisaini (kuhsoto) wakibadilishana  Mkataba wa mashirikiano ya utoaji huduma za Afya kati ya Taasisi hizo mbili ,hafla iliyofanyika leo Juni 28,2024 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna -DODOMA

MFUKO  wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) na Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF), zimeingia Mkataba wa mashirikiano ya utoaji huduma za matibabu kwa wanachama wa ZHSF kupata huduma za afya wakiwa Tanzania Bara kuanzia Julai Mosi Mwaka huu.

Akizungumza mara baada ya kuingia mkataba huo jijini Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa NHIF,Bw. Bernard Konga, amesema hatua hiyo ni katika kuhakikisha ZHSF inatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Sheria ya Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar Na. 1/2023.

Amesema kuwa hatua hiyo ni tekelezaji wa maamuzi ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma za matibabu wanapozihitaji bila kikwazo.

“Na kwa kutambua uzoefu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), katika uendeshaji wa mfumo wa bima ya afya nchini, Julai Mosi, 2024 ZHSF itaanza rasmi majukumu yake kwa kuhudumia wanachama na wategemezi wake kupitia vituo vya kutolea huduma vilivyosajiliwa na NHIF Tanzania Bara”amesema Konga

Aidha Konga,amesema  ili kufanikisha huduma kwa wanachama hao, NHIF na ZHSF zimesaini mkataba wa makubaliano wa mashirikiano katika utoaji wa huduma kwa wanachama wake.

“Hatua hii inatokana na uzoefu, wigo mpana wa vituo vya kutolea huduma vilivyosajiliwa na NHIF nchi nzima”amefafanua Konga

Amesema NHIF, imekamilisha hatua mbalimbali za maandalizi na utayari wa kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa mashirikiano ili kuhakikisha wanachama hao wanapata huduma bila ya changamoto yoyote.

Hata hivyo ameeleza kuwa  hatua ilizokamilisha NHIF ni pamoja na kutoa taarifa kwa watoa huduma wote kuhusu suala hilo na kuwa tayari kuwahudumia wanachama.

 “Ofisi zote za NHIF zilizoko katika mikoa ziko tayari na zimejipanga kutoa huduma na kutoa msaada utakapohitajika.”amesisitiza

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa ZHSF, Yaasin Juma, amesema  kwa mujibu wa kifungu cha 27 cha Sheria Nam.1 ya 2023, Mfuko umepewa uwezo wa kuwafikishia wanachama wake huduma za afya nje ya Zanzibar.

Bw.Juma amesema kwa kuanzia ZHSF imeanza kuwafikia wanachama wake walioko Tanzania Bara.

“Tukio la leo linaakisi utekelezaji wa masharti ya Sheria hiyo. Hivyo basi, mafanikio haya ya kufikia makubaliano na wenzetu wa NHIF ni ya kujivunia kwani yatawawezesha wanachama wetu kupata huduma za afya wakiwa Tanzania Bara kwa kutumia kadi za ZHSF”amesema

Aidha amesema  wanategemea mashirika yao kama ZIC, PBZ ambayo yanafanyakazi Tanzania Bara na wategemezi ambao wachangiaji wao wapo Zanzibar watafaidika na huduma hizo.

About the author

mzalendo