Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

timebet

porno izle

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

avrupabet, avrupabet giriş

gameofbet

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

betpas

betcup

casinofast giris

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

jojobet giriş

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

radissonbet

meritbet

jojobet güncel giriş

marsbahis

bets10

betsat

jojobet

marsbahis

ultrabet

mavibet

kavbet

setrabet

betpas

perabet

ibizabet

deneme bonusu veren siteler

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

cratosroyalbet giriş

betlike giriş

kavbet giriş

cratosroyalbet

mavibet

mavibet

artemisbet giriş

imajbet

mavibet giriş

betlike

mavibet giriş

mavibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat giriş

dinamobet

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betface

betface

imajbet giriş

Featured Kitaifa

WAZIRI GWAJIMA ATOA WITO VIONGOZI,WAJUMBE WA NaCoNGO KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA UADILIFU

Written by mzalendo

WAZIRI  wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt Dorothy Gwajima,akizungumza wakati akizindua Baraza la Taifa la Mashirika Yasiyo ya  Kiserikali (NaCoNGO) lililozinduliwa leo Juni 26,2024 jijini Dodoma.

WAZIRI  wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt Dorothy Gwajima,akifafanua jambo wakati akizindua Baraza la Taifa la Mashirika Yasiyo ya  Kiserikali (NaCoNGO) lililozinduliwa leo Juni 26,2024 jijini Dodoma.

WAZIRI  wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt Dorothy Gwajima,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua  Baraza la Taifa la Mashirika Yasiyo ya  Kiserikali (NaCoNGO) lililozinduliwa leo Juni 26,2024 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

WAZIRI  wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt Dorothy Gwajima,ametoa wito kwa Viongozi na Wajumbe wote wa Baraza la Taifa la Mashirika Yasiyo ya  Kiserikali (NaCoNGO) kufanya kazi kwa weledi, uadilifu na  uzalendo wa hali ya juu.

Waziri Gwajima ametoa wito huo leo Juni 26,2024  wakati akizindua Baraza la Taifa la Mashirika Yasiyo ya  Kiserikali (NaCoNGO) jijini Dodoma.

Waziri Gwajima amewapongeza Viongozi wote 30 wa Baraza hilo waliochaguliwa kwa kuaminiwa na Wajumbe katika Wilaya na Mikoa yote ya Tanzania Bara na Makundi  Maalum.

“Sasa mmechaguliwa na kuaminiwa nendeni mkafanye kazi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Miongozo iliyopo ili kukidhi  matarajio ya waliowachagua na jamii ya Watanzania kwa ujumla.”amesema Waziri Gwajima

Viongozi hao waliochagulia ni  Ndugu Japser Lazaro Makala Mwenyekiti wa Baraza, Ndugu Adamson Richard Nsimba – Katibu Mkuu  wa Baraza, Ndugu Prisca Matiwili – Mweka Hazina wa Baraza, Mwenyeviti wa Kamati  mbalimbali, pamoja na Wajumbe wa Bodi ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali. 

“Nimepokea kwa mikono miwili taarifa  ya Kamati ya Mpito. Katika taarifa hiyo, nimesikia mapendekezo ya Kamati ambayo  mengine utekelezaji wake unahitaji kujitoa kwenu kwa hali na mali, lakini mengine ni ya  kwetu upande wa Wizara.”amesema

Aidha amesema kuwa Masuala ya uwakilishi wa kikanda, upatikanaji wa rasilimali  fedha na mapitio ya Kanuni za Uchaguzi wa Baraza, ni masuala ambayo mnaweza  kuyajadili kupitia mifumo yenu ya ndani na kuchukua hatua, lakini kwa kuzingatia sheria,  kanuni na miongozo inayoratibu shughuli za Baraza. 

Waziri Gwajima amesema kuwa  tayari walishaanza  mchakato wa kutoa mafunzo kwa Wasajili Wasadizi na zoezi hilo ni  endelevu. 

Aidha, kuhusu kuwajengea uwezo Wajumbe wapya wa Baraza, amewahakikishia kuwa suala hilo lipo ndani ya uwezo wao na milango ya Wizara iko wazi  wakati wowote.

Hata hivyo ameishukuru  Kamati ya Mpito kwa kuratibu Uchaguzi huo kwa weledi, viongozi na Wajumbe wote wa  Baraza kwa kuaminiwa na kuchaguliwa kuliongoza Baraza kwa kipindi cha miaka mitatu . Naomba mfanyia kazi marekebisho ya Kanuni za Uendeshaji na Uchaguzi wa Baraza.

“Nendeni mkatekeleza agizo la Serikali la kuzifanyia marekebisho kanuni za uendeshaji na uchaguzi  ili uchaguzi ujao usimamiwe na mifumo ya NaCoNGO badala ya kuendeshwa chini ya bodi ya uratibu wa Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali”amesisitiza

Kwa upande wake Msajili wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’S) Bi.Vickness Mayao,ametoa wito kwa NaCoNGO kutumia nafasi yao kuishauri Serikali kwenye masuala ambayo wanaona kwamba yanajenga kwani mashirika yasiyo ya Kiserikali yanafanya kazi katika Sekta zote.

“Wao wakiweza kujiratibu wenyewe na kuangalia mapungufu yaliyopo na kuishauri Serikali vizuri kuhusiana na changamoto mbalimbali ambazo inapaswa kuzichukua na kuzifanyia kazi”,amesema Mayao

Naye Mwenyekiti Mpya wa NaCoNGO Bw.Japser Lazaro Makala,amesema wamejipanga kuanza kazi mara baada ya Baraza kuzinduliwa ambapo watakuwa na vikao vya kujadili namna ambavyo watajipanga kufanya kazi ikiwemo kuandaa mpango kazi mzuri.

“Kwasababu sisi ni baraza la Taifa pia tupo huru tutaishauri Serikali tuweze kutengeneza kikosi kazi ambapo kitakuwa kinaratibu zoezi zima la kupata kanuni mpya za Baraza la mashirika yasiyo ya Kiserikali “,amesema Bw.Makala

About the author

mzalendo