marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

imajbet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

Marsbahis

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

matbet, matbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

deneme bonus veren siteler

holiganbet

deneme bonusu

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

supertotobet

supertotobet giriş

ultrabet

pusulabet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

vaycasino

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

kralbet

imajbet

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

zirvebet

perabet

efesbet

pokerklas

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

madridbet

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

ligobet giriş

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

milanobet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet

casibom

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

kralbet

ligobet

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

casibom

Featured Photos

WANANCHI WA SIMIYU WATAKIWA KUTUMIA ELIMU YA FEDHA KUKUZA UCHUMI

Written by mzalendo
Baadhi ya wajasiriamali na wananchi wa Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu wakipata elimu ya fedha kwa njia ya filamu yenye maudhui kuhusu matumizi sahihi ya fedha, umuhimu wa kupanga  bajeti na kuitekeleza, umuhimu wa kusajili vikundi vya huduma ndogo za fedha (Vikoba), utunzaji wa fedha binafsi, umuhimu wa kushirikisha familia na watu wa karibu kwenye masuala ya fedha na uwekezaji, umuhimu wa kukata bima, filamu hiyo imeandaliwa na Wizara ya Fedha ili kusambaza elimu ya fedha kwa njia rahisi ya burudani ili kuhakikisha wananchi wanapata uelewa wa masuala ya fedha kwa njia rahisi.
Afisa Usimamizi wa Fedha, kutoka Wizara ya Fedha, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Bi. Elizabeth Mnzava, akizungumza kwa niaba ya wataalamu wa kutoa elimu ya fedha (hawapo pichani), kutoka Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), baada ya wataalamu hao kufika ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Bw. Kenani Kihongosi (kushoto), kabla ya kuelekea wilayani Itilima Mkoani Simiyu kutoa elimu ya fedha kwa wananchi.
Afisa Usimamizi wa Fedha, kutoka Wizara ya Fedha, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Bi. Elizabeth Mnzava, akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Kenani Kihongosi, nyenzo ya kufundishia elimu ya fedha, mara baada ya kufika ofisini kwake kabla ya kelekea Wilayani Itilima Mkoani Simiyu kutoa elimu ya fedha kwa wajasiriamali na wananchi kuhusu matumizi sahihi ya fedha, umuhimu wa kuweka akiba, uwekezaji sehemu sahihi, umuhimu wa bima, na namna bora ya kuandaa maisha ya kustaafu na ya uzeeni kwa ujumla.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Bw. Kenani Kihongosi (watatu kulia), akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu Bi. Prisca Kayombo (wa tatu kushoto) pamoja na Timu ya wataalamu wa kutoa elimu ya fedha, wakiongozwa na Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha Bi. Elizabeth Mnzava (wa pili kulia), Afisa Mkuu Mwandamizi kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bi. Mwile Kauzeni (wa kwanza kulia), Mratibu wa Huduma Ndogo za Fedha Mkoa wa Simiyu, Bw. Mustapha Ayubu (wa kwanza kushoto) na Afisa mwingine kutoka Wizara ya Fedha Bi. Glory Kenedy (wapili kushoto), baada ya Timu hiyo kumtembelea Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Kenani Kihongosi, Ofisini kwake kabla ya kuelekea Wilayani Itilima kutoa elimu ya fedha kwa wananchi. 
Picha za matukio mbali mbali ya mafunzo ya elimu ya fedha katika Halmashauri ya Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, elimu hiyo ya fedha ilianza kutolewa maeneo ya mijini kupitia maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha kwa Mikoa ya Dar Es Salaam, Mwanza na Arusha, ambapo kwa sasa programu hiyo imejikita kuwafikia wananchi wote kwa lengo la kuwaongezea uelewa wa masuala ya Fedha ili waweze kufanya maamuzi sahihi katika mahitaji na matumizi ya huduma za fedha.
 
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha-Simiyu)
Na Asia Singano, WF, Simiyu.
 
Wananchi wa Mkoa wa Simiyu wametakiwa kuendelea kujitokeza kwa wingi kupata elimu ya fedha kutoka kwa wataalamu kutoka Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na kutumia elimu  watakayoipata kukuza uchumi wa Mkoa huo na Taifa kwa ujumla.
 
Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Kenani Kihongosi, Ofisini kwake, alipotembelewa na Timu ya wataalamu wa kutoa elimu ya fedha kutoka Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kabla ya wataalamu hao kuelekea Wilayani Itilima Mkoani Simiyu kutoa elimu ya fedha kwa wafanyabiashara, wajasiriamali na wananchi wa Wilaya hiyo.
 
‘’Niwasisitize na kuwaomba wananchi wetu wapokee mpango huu kwa sababau ni mpango utakaowasaidia wao kujua matumizi sahihi ya fedha zao na namna bora ya kuchukua, kutumia mikopo na kufahamu mikataba namna gani mikopo wanayochukua inaweza kuwanufaisha katika maisha yao” Alisema Bw. Kihongosi.
 
Aliongeza kuwa kauli mbiu ya kampeni hiyo isemayo ‘’Elimu ya Fedha ni Msingi wa Maendeleo ya Kiuchumi’’ ni muafaka kwa kuwa  maendeleo ya kiuchumi lazima yatokane na mipango thabiti na mikakati bora ya elimu ya matumizi sahihi ya fedha hasa kwa wananchi.
 
Bw. Kihongosi, aliipongeza Wizara ya Fedha kwa kuandaa mpango wa maendeleo ya kiuchumi ikiwa ni pamoja na kutoa elimu ya fedha nchi nzima  na kuufikia Mkoa wake kutokana na umuhimu wa elimu hiyo katika kukuza uchumi wa nchi.
 
‘’Niwapongeze, Wizara ya Fedha kwa kuja na mpango huu mkakati mzuri kabisa wa kuelimisha wananchi wetu kwa sababu ni imani yetu wananchi wakipata uelewa kuhusu masuala ya kifedha watafanya mambo mazuri yatayowasaidia kuleta tija kiuchumi’’ Alisema Bw. kihongosi
 
Akitoa ufafanuzi kuhusu sifa za kukopa baada ya mmoja ya washiriki wa mafunzo ya elimu ya fedha katika Halmashauri ya Wilaya ya Itilima Bw. Alex Elias kutaka kufahamu kuhusu suala la kukosa mkopo kutokana na umri kuwa mkubwa, Afisa Mkuu Mwandamizi kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bi. Mwile Kauzeni, alisema suala la mikopo ni haki ya watu wote wenye uwezo wa kulipa mikopo hiyo isipokuwa watoto.
 
‘’ Kuna taasisi moja inayoangalia taarifa za watu wote wanaokopa katika taasisi zote Tanzania, inaitwa Credit Info, hawa watu kila  mtoa huduma ameambiwa apeleke majina ya watu wake ambao wamekopa sasa jina lako likipelekwa kule wanaona kwamba kumbe fulani amekopa mahali pengi, je anakopesheka tena? lakini ili mtu aweze kukopa ni yeye mwenyewe kuwa na uwezo wa kuingiza kiasi gani kila mwezi” alifafanua Bi. Kauzeni.
 
Naye Afisa Usimamizi wa Fedha, kutoka Wizara ya Fedha, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Bi. Elizabeth Mnzava, alisema Timu hiyo ya wataalamu wa kutoa elimu ya fedha  kutoka Wizara ya Fedha inaendelea kutoa elimu hiyo katika Wilaya za Mkoa wa Simiyu ikiwemo Busega  na Meatu ambapo baada ya kukamilisha Wilaya hizo wataalamu hao wataelekea Mkoani Shinyanga kutoa elimu ya fedha kwa wananchi wa Mkoa wa huo.

About the author

mzalendo