Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet

robinbet

robinbet

porno izle

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

avrupabet, avrupabet giriş

gameofbet

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

betwoon

betpas

betcup

casinofast giris

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

jojobet giriş

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

avrupabet giriş

kingroyal

avrupabet

jojobet güncel giriş

marsbahis

bets10

betsat

jojobet

marsbahis

padişahbet giriş

mavibet

kavbet

setrabet

betpas

perabet

ibizabet

deneme bonusu veren siteler

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

cratosroyalbet giriş

betlike giriş

kavbet giriş

cratosroyalbet

mavibet

mavibet

artemisbet giriş

imajbet

mavibet giriş

betlike

mavibet giriş

mavibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat giriş

dinamobet giriş

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

imajbet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

betpas

royalbet

imajbet

betface

betface

imajbet giriş

casibom

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA AMUAGIZA MSAJILI WA HAZINA KUFUATILIA HESABU ZA MASHIRIKA YOTE KWENYE MFUMO

Written by Alex Sonna

 

Rais Samia Suluhu Hassan, akihutubia wakati wakati wa hafla ya Taasisi na Mashirika ya Umma kutoa Gawio na Michango kwa Serikali iliyofanyika Ikulu Juni 11,2024 Jijini Dar es Salaam.

Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, akitoa hotuba yake wakati wa hafla ya Taasisi na Mashirika ya Umma kutoa gawio na michango kwa Serikali iliyofanyika Ikulu, jijini Dar es Salaam.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Msajili wa Hazina, Thobias Makoba, akizungumza wakati wa hafla ya Taasisi na Mashirika ya Umma kutoa gawio na michango kwa Serikali iliyofanyika Ikulu, jijini Dar es Salaam.

Na: Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM 

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemtaka Msajili wa Hazina Nehemia Mchechu kuhakikisha anaweza kuona hesabu za mashirika yote anayoyasimamia ikiwa ni pamoja na makusanyo na matumizi yao.

Rais Samia ameyasema hayo katika hafla ya kupokea Gawio na Michango kutoka kwa Mashirika na Taasisi za Umma, iliyofanyika Juni 11, 2024 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Amesema ni muhimu kuona kile kinachoingia na kinachotoka kwani hiyo itasaidia kufahamu uwezo wa mashirika hayo kiuchumi na namna yatakavyoweza kujisimamia yenyewe.

“Yapo mashirika ambayo yanaweza kabisa kusimama yenyewe, mfano Ngorongoro inaweza kusimama yenyewe kwa sababu tumetengeneza mazingira watalii wanakuja mpaka wanacheua sasa kwanini isisimame, kwanini Tanapa isisimame yaani hakuna sababu.

“Naziagiza bodi za mashirika kubadilika na kuyasimamia kikamilifu hakuna sababu ya mashirika na taasisi zote za Serikali katika kutekeleza hili. Hakuna sababu ya mashirika haya yasiweze kujisimamia yenyewe” amesema Mhe Rais.

Aidha ameongeza kuwa ameridhishwa na uwepo wa ushindani wa wajumbe wa bodi katika kupata nafasi hizo na kwamba hatua hiyo itapelekea kuwapata wajumbe wa bodi wenye weledi na wanaofahamu vizuri mambo yanayoendelea ndani ya mashirika.

“Jambo zuri ni kwamba mjumbe wa bodi sasa watashindana kuitaka nafasi hiyo katika Shirika au Taasisi unayoitaka itabakia nafasi yangu ya mimi kuchagua Mwenyekiti” ameongeza Rais Samia.

Kwa upande wake Msajili wa Hazina, Nehemia Mchechu amesema kuwa Ofisi yake ipo katika hatua za mwisho za kuwa na mfumo thabiti wa kuripoti taarifa za kiutendaji na wakuu wa Taasisi kwa kumwezesha kufanyika maamuzi sahihi kwa wakati kwa mamlaka za uteuzi.

Aidha, amesema Ofisi hiyo imeanza kutumia vigezo vipya vya uendeshaji wa mashirika vilivyoingizwa kwa njia ya mikataba baina ya wenyeviti wa Bodi na Msajili wa Hazina.

“Vigezo hivi vimeboreshwa zaidi na vimezingatia mgawanyo wa kisekta na majukumu ya msingi ya taasisi, na tutaendelea kuboresha vigezo hivi mara kwa mara, kwa kutegemea mrejesho kutoka taasisi zetu hizi ambao ndio wadau wetu” amesema Mchechu.

Mchechu ameongeza kuwa, pia Ofisi hiyo imefanikiwa kupitia mikataba mbalimbali ya kibiashara na pia kufanya mazungumzo na wabia kwenye sekta nyeti za uchumi.

“Kwenye sekta ya madini kumekuwa na mazungumzo mbalimbali tukishirikiana na Wizara ya Madini. Tumeweza kuongeza hisa za Serikali katika baadhi ya Kampuni, Mathalani tumeongeza hisa za Serikali katika Kampuni ya madini ya Sotta kutoka 16% hadi 20%, jambo litasaidia sana katika majadiliano ya mikataba mingine ambayo tupo katika mazungumzo” ameongeza Mchechu.

Sambamba na hilo pia wamefanikiwa kukamilisha majadiliano na kuingia mikataba mipya ya wanahisa na kampuni ya NMB, NBC na MCCL, ambapo kati ya mikataba mingi inayofanyiwa kazi, na kampuni ya MCCL imeweza kupata faida mwaka huu na kutoa gawio kwa wanahisa mwaka huu baada ya kipindi cha miaka 10.

Kuhusu gawio, Mchechu ametoa Rai kwa Mashirika ambayo yanadaiwa kuhakikisha wanakamilisha malipo yao kabla ya mwisho wa Mwaka huu wa fedha.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) akipokea Gawio la Sh. Bilioni 57.3 kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya NMB, Dkt. Edwin Mhede (kushoto) na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna (kulia) wakati wa hafla ya kupokea Gawio na Michango kutoka kwa Wakala, Taasisi, Mashirika ya Umma na Kampuni ambazo Serikali ina umiliki wa hisa, hafla hiyo ilifanyika Ikulu jijini Dar es Salaam Juni 11, 2024. (Na Mpiga Picha Wetu).

About the author

Alex Sonna