Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

palacebet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

Featured

DKT NCHEMBA AZINDUA MFUMO WA KIELETRONIKI WA FORODHA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

Written by mzalendo
Waziri wa Fedha wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (wa pili kushoto), akizungumza wakati wa Mkutano wa 44 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na Uwekezaji la Jumuiya ya Afrika Mashariki (SCTIFI) uliofanyika tarehe 31 Mei, 2024, katika Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Jijini Arusha, ambapo wamejadiliana masuala kadhaa yanayohusu maendeleo ya sekta ya biashara na uwekezaji katika nchi wanachama hususan masuala ya kodi na pia wamezindua Mfumo wa Kielektroniki (EAC e-Tariff Software) wa Kushughulikia Upatikanaji wa Taarifa za Viwango vya Ushuru wa forodha kwa wadau wanaohusika na masuala ya kiforodha katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Wengine katika picha ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Zanzibar anayesimamia masuala ya Kazi, Uchumi na Uwekezaji, Mhe. Shariff Ali Shariff (wa kwanza kushoto), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Stephen Byabato (wa pili kulia) na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigae (wa kwanza kulia).
Waziri wa Fedha wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (kushoto), akizindua rasmi Mfumo wa Kielektroniki (EAC e-Tariff Software) wa Kushughulikia Upatikanaji wa Taarifa za Viwango vya Ushuru wa forodha kwa wadau wanaohusika na masuala ya kiforodha katika wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, wakati wa Mkutano wa 44 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na Uwekezaji la Jumuiya ya Afrika Mashariki (SCTIFI) uliofanyika tarehe 31 Mei, 2024, Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Jijini Arusha, ambapo wamejadiliana masuala kadhaa yanayohusu maendeleo ya sekta ya biashara katika nchi wanachama hususan masuala ya kodi. Wengine katika picha kulia ni Mawaziri wa Fedha, Uchumi, na Mipango wa nchi wanachama wa jumuiya hiyo.
Wajumbe mbalimbali kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Fedha wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (hayupo pichani) wakati akizindua Mfumo wa Kielektroniki (EAC e-Tariff Software) wa Kushughulikia Upatikanaji wa Taarifa za Viwango vya Ushuru wa forodha kwa wadau wanaohusika na masuala ya kiforodha katika wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, wakati wa Mkutano wa 44 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na Uwekezaji la Jumuiya ya Afrika Mashariki (SCTIFI) uliofanyika tarehe 31 Mei, 2024, katika Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Jijini Arusha, ambapo wamejadiliana masuala kadhaa yanayohusu maendeleo ya sekta ya biashara katika nchi wanachama hususan masuala ya kodi. 
Waziri wa Fedha wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (wa pili kushoto), akichangia jambo wakati wa Mkutano wa 44 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na Uwekezaji la Jumuiya ya Afrika Mashariki (SCTIFI) uliofanyika tarehe 31 Mei, 2024, katika Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Jijini Arusha, ambapo wamejadiliana masuala kadhaa yanayohusu maendeleo ya sekta ya biashara katika nchi wanachama hususan masuala ya kodi, pia wamezindua Mfumo wa Kielektroniki (EAC e-Tariff Software) wa Kushughulikia Upatikanaji wa Taarifa za Viwango vya Ushuru wa forodha kwa wadau wanaohusika na masuala ya kiforodha katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Waziri wa Fedha wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (wa nne kulia walioketi), akiwa katika picha ya pamoja na Mawaziri wenzake wa Fedha, Uchumi, Mipango, Viwanda na Biashara kutoka nchi wanachama  wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, baada ya kutamatika kwa Mkutano wa 44 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na Uwekezaji la Jumuiya ya Afrika Mashariki (SCTIFI) uliofanyika tarehe 31 Mei, 2024, Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Jijini Arusha, ambapo wamejadiliana masuala kadhaa yanayohusu maendeleo ya sekta ya biashara na uwekezaji katika nchi wanachama, hususan masuala ya kodi, pia wamezindua Mfumo wa Kielektroniki (EAC e-Tariff Software) wa Kushughulikia Upatikanaji wa Taarifa za Viwango vya Ushuru wa forodha kwa wadau wanaohusika na masuala ya kiforodha katika nchi wanachama wa Jumuiya hiyo. Katikati walioketi ni Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Forodha, Biashara na Masuala ya Fedha, Bi. Annette Ssemuwemba Mutaawe.
Waziri wa Fedha wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (Kulia), akiagana na Waziri wa Fedha wa Uganda, Mhe. Henry Musasizi, baada ya Mkutano wa 44 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na Uwekezaji la Jumuiya ya Afrika Mashariki (SCTIFI) uliofanyika tarehe 31 Mei, 2024, Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Jijini Arusha, ambapo wamejadiliana masuala kadhaa yanayohusu maendeleo ya sekta ya biashara na uwekezaji katika nchi wanachama hususan masuala ya kodi, na pia wamezindua Mfumo wa Kielektroniki (EAC e-Tariff Software) wa Kushughulikia Upatikanaji wa Taarifa za Viwango vya Ushuru wa forodha kwa wadau wanaohusika na masuala ya kiforodha katika wanachama wa Jumuiya hiyo.
Waziri wa Fedha wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (wa pili kushoto), Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Zanzibar anayesimamia masuala ya Kazi, Uchumi na Uwekezaji, Mhe. Shariff Ali Shariff (wa kwanza kushoto), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Stephen Byabato (wa pili kulia) na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigae (wa kwanza kulia), wakiimba wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, wakati wa Mkutano wa 44 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na Uwekezaji la Jumuiya ya Afrika Mashariki (SCTIFI) uliofanyika tarehe 31 Mei, 2024, katika Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Jijini Arusha, ambapo wamejadiliana masuala kadhaa yanayohusu maendeleo ya sekta ya biashara na uwekezaji katika nchi wanachama hususan masuala ya kodi, pia wamezindua Mfumo wa Kielektroniki (EAC e-Tariff Software) wa Kushughulikia Upatikanaji wa Taarifa za Viwango vya Ushuru wa forodha kwa wadau wanaohusika na masuala ya kiforodha katika wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
 
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Arusha)
Na Benny Mwaipaja, Arusha
 
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amewaongoza Mawaziri wa Nchi nyingine wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika uzinduzi wa Mfumo wa Kielektroniki (EAC e-Tariff Software), utakaorahisisha upatikanaji wa taarifa mbalimbali za kiforodha. 
 
Uzinduzi huo umefanyika wakati wa Mkutano wa 44 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na Uwekezaji la Jumuiya ya Afrika uliofanyika Makao Makuu ya Jumuiya hiyo, Jijini Arusha.
 
Dkt. Nchemba alieleza kuwa kupitia Mfumo huo watumiaji watapata taarifa mbalimbali kuhusu viwango vya pamoja vya ushuru wa forodha kwa wadau wanaohusika na masuala ya kiforodha katika nchi wanachama wa jumuiya hiyo.  
 
Aidha, alisema kuwa Mfumo huo umelenga kurahisisha uchakataji na ufuatiliaji wa maombi ya unafuu wa ushuru wa forodha (duty remission) hivyo kupunguza urasimu pamoja na muda wa kupata huduma hizo.
 
Katika hatua nyingine, Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, aliikumbusha Kenya, kutekeleza matakwa ya Himaya Moja ya Forodha (Single Customs Territory) ya kuweka maafisa wa forodha wa Kenya nchini Tanzania watakaofanya ukaguzi wa mizigo inayotoka ama kupitia Tanzania kwenda Kenya.
 
Dkt.Nchemba alieleza kuwa Tanzania imetekeleza Matakwa ya Himaya Moja ya Forodha kwa kuweka maafisa Forodha wa Tanzania upande wa Kenya takribani miaka kumi iliyopita lakini Kenya haijafanya hivyo hatua ambayo inaiathiri Tanzania katika ufanyaji wa biashara kati ya nchi hizo mbili.
 
Miongoni mwa athari hizo kwa upande wa Tanzania ni pamoja na kuwepo kwa kadhia ya ucheleweshaji wa mizigo inayotoka Tanzania kwenda Kenya kitendo kinachowaongezea wafanyabiashara gharama, kuwapotezea muda pamoja na msongamano katika mipaka ya Tanzania na Kenya ikiwemo Namanga, Holili, Horohoro na Sirari.
 
Kwa upande wake Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wa Kenya, Mhe. Peninah Malonza alisema kuwa Nchi yake itatekeleza Matakwa ya Himaya Moja ya Forodha na kuwaweka maafisa wake wa forodha nchini Tanzania ifikapo Julai Mosi mwaka 2024, ili kundoa vikwazo hivyo vya kibiashara.
 
Naye Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayesimamia masuala ya Forodha, Biashara na Masuala ya Fedha, Bi. Annette Mutaawe, alisema kuwa pamoja na mambo mengine, mkutano huo umekuwa na mafanikio makubwa ambapo lengo kuu la kutano huo lilikuwa ni kujadili masuala ya kuimarisha biashara na uwekezaji katika nchi wanachama.

About the author

mzalendo