marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

grandpashabet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

casinomilyon

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

Grandpashabet Güncel Adres

vdcasino

betvole

Featured Kitaifa

TAPSEA JIENDELEZENI KITAALUMA KUENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA- DKT. BITEKO

Written by mzalendo

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa makatibu mahsusi nchini kujiendeleza kitaaluma ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia sambamba na kuboresha utendajikazi wao.

Ameyasema hayo leo Mei 23, 2024 Jijini Mwanza wakati akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kufungua Mkutano wa Kumi na Moja wa Kitaaluma wa Makatibu Mahsusi.

“Kama mnavyofahamu kuwa dunia ya leo ni kijiji kutokana na mabadiliko ya teknolojia na utandawazi ambayo kwa kiasi kikubwa unachochea maendeleo ya teknolojia hususan Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA). Ni jukumu lenu kama chama cha kitaaluma kuwa na mkakati wa kushawishiana kujiendeleza kitaaluma kwenda sambamba na mabadiliko ya TEHAMA. Dunia ya leo haitumii tena teknolojia ya “type writer” kama zamani ambavyo wachache wenu mliomo humu mlishatumia”, amesema Dkt. Biteko.

Amefafanua “Mfumo wa kisasa wa matumizi ya kompyuta na vishikwambi ambao kwa pamoja unarahisisha utendaji kazi wenu, ni jukumu lenu kwa kada yenu waandishi waendesha ofisi kuhakikisha kuwa mnabobea katika fani hii na matumizi ya vifaa hivi kwenye kada yenu na hivyo ni muhimu mkafahamu matumuzi yake sahihi”.

Aidha, Dkt. Biteko ametoa rai kwa makatibu mahsusi hao kutoa huduma bora kwa wateja wanaofika katika ofisi zao “Fanyeni kila mmoja anayekuja ofisini kwenu atoke na furaha akiamini kuwa kodi anayolipa inamlipa mwenyewe katika kupata huduma bora, jinyimeni na kujizuia sana kuwa na kauli za kuvunja moyo kwa wateja wanaokuja kwenu na wakati wote mkiona miongoni mwenu mmoja wenu awe kwenye ofisi kubwa au ndogo mwenye tabia isiyofaa basi mkemeeni”.

Vilevile amewataka kusaidia wengine katika kutatua changamoto mbalimbali katika maeneo yao ya kazi.

Sambamba na hayo, Dkt. Biteko amesema kuwa Serikali itayafanyiakazi yale yote yaliyopendekezwa na TAPSEA.

Kwa upande wake, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene amesema kuwa Serikali imefanya maboresho kadhaa katika kada ya makatibu mahsusi kwa lengo la kuboresha taaluma hiyo nchini.

“Awali taaluma hii ilikuwa inaitwa uhazili na kada yao hawa walikuwa wanaitwa makatibu mahsusi, tangu mwaka jana muundo umebadilika na sasa kwa kada yao wanaitwa waandishi waendesha ofisi na kiutumishi wamepanda kwa ngazi ya mshahara hadi kufikia TGSH. Hivyo ni maafisa hawa sasa wanasoma kufikia shahada hadi ngazi ya ubobevu”, amesema Mhe. Simbachawene.

Amesisitiza “ Wizara yangu ina jukumu la kuhakikisha inatoa waraka wa kuelezea majukumu haya mapya kwa waajiri ili nao wajue jambo hili”.

Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania(TAPSEA), Zuhura Maganga amesema kuwa lengo la mkutano huo ni kudumisha taaluma, kukuza uwajibikaji, kuipa hadhi taaluma yao, kuboresha maslahi yao pamoja na kutoa huduma bora kwa waajiri na wananchi.

Ametaja baadhi ya mafanikio ya chama hicho kuwa ni kuishawishi Serikali kuanzisha shahada ya uhazili katika Chuo cha Uhazili Tabora na Chuo cha Utumishi wa Umma pamoja na kuboresha muundo wa maendeleo wa kada ya waandishi waendesha ofisi hadi kufikia daraja la afisa mwendesha ofisi mkuu.

Pamoja na mafanikio hayo, Bi. Zuhura ameiomba Serikali na waajiri nchini kuruhusu makatibu mahsusi kushiriki katika mikutano hiyo ya kitaaluma pamoja na kuwalipia ada za ushiriki.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda amesema kuwa Serikali kupitia Mamlaka ya Usambazaji Umeme Vijijini (REA) imetoa fedha za kiasi cha shilingi bilioni 56 kwa ajili ya mradi wa usambazaji umeme vijijini na shilingi bilioni 12 kwa ajili ya mradi wa ujazilizi wa umeme. Hata hivyo kwa sasa mkoa huo unatumia kiasi cha megawati za umeme 73 ikilinganishwa na uzalishaji wa megawati 183.

Mkutano huo wenye kaulimbiu;“MAFANIKIO HUANZA NA UAMUZI BORA WA UTENDAJI, TUTUMIE MUDA VIZURI KWA KUFANYAKAZI NA KULETA TIJA” ulioanza Mei 20, 2024 umehudhuriwa na washiriki zaidi ya 5000 kutoka mikoa yote nchini.

About the author

mzalendo