Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

betsmove, betsmove giriş

nakitbahis, nakitbahis giriş

perabet, perabet giriş

matbet, matbet giriş

belugabahis

restbet

holiganbet

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

meritking

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

casibom, casibom giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

flower disease

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

hititbet giriş

hititbet

tümbet

hititbet giriş

ultrabet

madridbet

grandpashabet giriş

casibom

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

royalbet giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

hititbet

betpark giriş

trendbet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

Cratosroyalbet

galabet

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

goldenbahis

artemisbet

imajbet

artemisbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

onlyfans leaks

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

cratosroyalbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

casino siteleri

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet

holiganbet

jojobet

meritking

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

tipobet

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

casibom giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet

holiganbet giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

truvabet, truvabet giriş

pokerklas, pokerklas giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet giriş

cratosroyalbet

betpark

bets10 güncel giriş adresi

madridbet

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

interbahis

pokerklas, pokerklas giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

robinbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

casibom giriş

casibom giriş

holiganbet

holiganbet

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

grandpashabet

holiganbet

holiganbet

1win

radissonbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet giriş

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

betgit

Hacklink panel

betturkey

jojobet

grandpashabet

madridbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

meritking

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

safirbet

pokerklas

galabet

bets10

betpark

casibom

marsbahis

betpark

runtobet

runtobet giriş

Featured Kitaifa

TANZANIA YAUNGA MKONO UAMUZI WA SADC – MAJALIWA

Written by mzalendo

*_Ni kuhusu mbinu za uvunaji wa maji na udhibiti wa mafuriko_*

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Tanzania inaunga mkono uamuzi wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) juu ya kuongeza mbinu za uvunaji wa maji, udhibiti wa mafuriko na miundombinu ya kuhifadhi maji hayo ili yatumike wakati wa ukame ama kiangazi kuzuia mafuriko msimu wa mvua nyingi.

“Tanzania inaunga mkono uamuzi huo na inasisitiza Sekretariet ya SADC kuongeza misaada kwa nchi wanachama katika ujenzi wa mabwawa ya kutunza maji ambayo yatatumika katika vipindi vya ukame na kiangazi pamoja na kuzuia mafuriko katika vipindi vya mvua,” amesema.

Waziri Mkuu amesema hayo leo (Jumatatu, Mei 20, 2024) wakati akizungumza kwa niaba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC kuhusu athari za mvua za El Nino. Ameshiriki mkutano huo kwa njia ya mitandao kutokea ofisini kwake Mlimwa, jijini Dodoma.

Maamuzi hayo yaliyopendekezwa kwenye kikao cha Mawaziri wa nchi wanachama wa jumuiya hiyo yalitaka ziongezwe mbinu za uvunaji wa maji, udhibiti wa mafuriko na miundombinu ya kuhifadhi maji kwa msaada kutoka kwa Sekretarieti ya SADC, Mashirika ya Uendelezaji Mabonde ya Mito (RBOs) na wadau wa maendeleo ili kuongeza nguvu ya kukabiliana na ukame ama mafuriko yanayosababishwa na hali ya hewa kwenye ukanda wa SADC.

Mapendekezo mengine yaliyotolewa ni kuboresha utendaji wa Usimamizi wa Rasilimali za Maji Jumuishi (IWRM); kufuatilia viwango vya maji na kutekeleza huduma za WASH; kuboresha usimamizi wa maji yanayohusisha nchi zaidi ya moja na ushirikiano wa kimataifa; kuhamasisha uhifadhi wa maji na kukuza matumizi ya maji machafu yaliyotibiwa na maji yaliyochujwa chumvi (desalination).

Akielezea kuhusu ujenzi wa mabwawa ya kutunzia maji ambayo yatatumika katika vipindi vya ukame na kiangazi pamoja na kuzuia mafuriko katika vipindi vya mvua, Waziri Mkuu aliwaeleza wajumbe wa mkutano huo kuwa Serikali ya Tanzania tayari imeandaa Mpango Mkakati wa Ujenzi Malambo 40 Nchini (rain water ponds) kuanzia Novemba 2023 hadi Julai 2024 ambao ni awamu ya kwanza.

“Lakini tuna mkakati kwa ajili ya ujenzi wa malambo (charco dams) katika vijiji vilivyopo maeneo kame ambayo yapo pembezoni mwa barabara kuu ili kuongeza maji yatakayotumika kwa kilimo cha umwagiliaji,” amesema na kuongeza:

“Pia Serikali ina mpango mkakati wa ujenzi na ukarabati wa mabwawa makubwa tuliyonayo kwa lengo la kuwezesha kilimo cha umwagiliaji kwenye maeneo hayo ili kuwa na uzalishaji wa mazao ya chakula kwa kiasi kikubwa,” amesema na kuongeza kuwa Tanzania itawasiliana na Sekretarieti juu ya mipango ya uvunaji maji ya mvua ambayo imeiandaa.

Wakati huohuo, Waziri Mkuu amesema Tanzania itaendelea na mipango ya kuhakikisha inaongeza uzalishaji wa chakula ili kuendelea kuwa na ziada ya kutosha kwa mahitaji ya ndani na hata kuuza ziada hiyo nje ya nchi.

Amesema katika kukabiliana na matatizo ya lishe nchini, mkazo mkubwa umewekwa kwenye kuongeza tafiti za uzalishaji wa mbegu zilizoongezewa virutubishi (biofortified) ili kuongeza upatikanaji wa mbegu hizo kwa wakulima na hivyo kuongeza uzalishaji wa mazao na kusaidia katika kuboresha lishe ya jamii hususan kwa watoto chini ya miaka mitano, akinamama wajawazito na wanaonyonyesha.

“Tanzania inaunga mkono mpango wa nchi za SADC kuagiza mazao ya nafaka kutoka nchi wanachama zenye uzalishaji wa ziada wa mazao hayo. Pia tutaendelea kuunga mkono jitahidi za SADC katika kufanya tathmini ya kina ya hali ya usalama wa chakula na lishe. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaunga mkono jitihada zitakazofanywa na sekretarieti ya SADC katika kusaidia nchi wanachama wa SADC zenye upungufu wa nafaka kupata masoko ya nafaka hizo,” amesema.

Akitoa ufafanuzi kuhusu maafa yaliyosababishwa na kunyesha kwa mvua za El Nino na kimbunga HIdaya, Waziri Mkuu aliwaeleza wakuu hao wa nchi kwamba Serikali ilichukua hatua za haraka ili kukabiliana na athari zilizojitokeza. “Hatua hizo ni pamoja na kutoa misaada ya kibinadamu kwa waathirika, kurejesha hali ya majengo na miundombinu ikiwemo barabara, miundombinu ya maji na umeme.”

Washiriki wa mkutano huo walikuwa ni wakuu wa nchi za Angola, Botswana, DRC, Namibia, Lesotho, Zambia, Zimbabwe na Waziri Mkuu wa Eswatini. Washiriki wengine walikuwa ni Mawaziri kutoka Madagascar, Afrika Kusini, Malawi, Msumbiji, Mauritius na Shelisheli.

About the author

mzalendo