Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

vdcasino

lordcasino

marsbahis

vipslot

celtabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

betlivo

eyfelcasino

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

casival

luxbet

betnis

parmabet

betvoy

meritking

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

armabahis

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

betlivo

hazbet

netbahis

betra

primebahis

betturkey

betturkey giriş

otobet

otobet giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

robinbet giriş

betpark giriş

holiganbet

betpark

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betewin

jojobet

betmarino

avrupabet

lordcasino giriş

dengebet

celtabet

betcool

kareasbet

betcool

millibahis

betnis giriş

casival

betvoy

hazbet

betnef

avrupabet

betmarino giriş

betmani

betvakti

marsbahis

prensbet

betmani

millibahis

eyfelcasino

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

gobahis

betnef

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

armabahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

mislibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

grandpashabet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

grandpashabet

sweet bonanza

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

betvakti

parmabet

gobahis

elitbahis

mavibet güncel giriş

mavibet giriş

jojobet

mavibet giriş

mislibet giriş

cratosroyalbet

mislibet güncel giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

mavibet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

betsat

sekabet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

grandpashabet

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

Featured Kitaifa

MTATURU AMPONGEZA RAIS SAMIA KWA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA MIFUGO NA UVUVI

Written by Alex Sonna

 

 

MBUNGE wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu ameishauri Wizara ya Mifugo na Uvuvi kukaa na wizara za kisekta ili kusaidia wakulima na wafugaji kuondokana na migogoro.

Amesema migogoro mingi ya wakulima na wafugaji hutokana na kutotengwa maeneo halisi ya wafugaji na hali hiyo imepelekea malalamiko katika maeneo mbalimbali nchini .

Hayo ameyasema bungeni leo wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2024/25 ambapo amesema suala hilo likifanyika litafanya mfugaji asionekane ni yatima.

“Kwa sababu kuwa na mifugo mingi kama ulivyosikia wengine wakisema si laana ni rasilimali kila mmoja anajivunia alichonacho

Hivyo naomba migogoro hii iweze kutatuliwa kwa amani ili wananchi wote waweze kufurahia mifugo yao.”

“Mheshimiwa Waziri kaa na wizara zingine zinazohusiana na wizara hii ziweze kusaidia wakulima na wafugaji kuondokana na migogoro hii,lakini mfugaji wa nchi hii asionekane ni yatima, kwa sababu kuwa na mifugo mingi, kama ulivyosikia wengine si laana ni rasilimali kila mmoja anajivunia alichonacho,la pili, naomba migogoro hii iweze kutatuliwa kwa amani ili wananchi wote waweze kufurahia mifugo yao, “ameongeza.

Aidha, Mtaturu ameshauri wataalam wa uvuvi wawepo wa kutosha watakaofanya tathimini ya mifugio kwenye maeneo yao ili kuwaondolea mzigo wataalam wa kata na vijiji wanaofanya kazi kubwa kwa niaba ya wizara.

“Kwenye eneo la wataalam unaweza kuwa na mipango mizuri kwenye level ya wizara lakini kule chini kwenye halmashauri hatuna wataalam huko, wa uvuvi, leo tunalia kule kwa sababu watalaam wa kata na vijiji ndio wanafanya kazi kubwa, kwa niaba ya wizara, Niombe sana tuongeze watalaam, waende wakafanye tathimini ya mifugo kwenye maeneo yetu, “amesema Mtaturu.

Kuhusu ujenzi wa majosho, amebainisha kuwa kwenye eneo hili kuna deni kwakuwa aliomba majosho manne hata hivyo hadi sasa lipo moja tuu hivyo kushauri yaongezwe.

“Nilikuomba majosho manne, umenipa moja katika kata ya Ntuntu lakini kuna josho muhimu lipo katika kata ya Siuyu, lile josho linatakiwa liondolewe katika maeneo ya kanisa niombe sana lile josho mnijengee ili wananchi wale waendelee kupata huduma za kuogeshea mifugo yao na kuweza kusaidia inenepe vizuri.”

Pia, ameomba kujengwa majosho ya kuogeshea na kulishia mifugo katika maeneo ya Issuna, Mang’onyi, Unyahati na Siuyu kwakuwa uhitaji ni mkubwa.

PONGEZI WA RAIS SAMIA.

Mtaturu amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayofanya katika kusimamia maendeleo ya nchi ambapo kupitia sekta zote kazi kubwa imefanyika hata kwenye sekta ya mifugo na uvuvi.

Aidha, amempongeza Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega, Naibu Waziri Alexander Mnyeti, Katibu Mkuu Profesa Riziki Shemdoe kwa kazi kubwa wanazofanya.

“Sekta hii ni muhimu kwa uchumi wa nchi lakini chakula kama ambavyo tumekuwa tukielezwa kama siku ya protini ambayo ipo kwenye viwanja vya bunge, tumeambiwa kitakwimu tuna ng’ombe milioni 37.6 lakini tuna mbuzi na kondoo wa kutosha.”

Amesema kuwa maana yake ikitumika vizuri rasilimali hii inaweza kubadilisha uchumi wa nchi yetu na kuongeza pato la taifa kama mipango ikiwekwa vizuri.

“Ninamaani kabisa tukitumia rasilimali hii vizuri tukajipanga vizuri kulingana na mipango ambayo umetuambia, lakini tumpongeze Rais ametuongezea bajeti kutoka bilioni 169 hadi bilioni 460 ni zaidi ya asilimia 63 imeongezeka,”amesema Mtaturu.

Amebainisha kuwa maana yake ni kwamba kuna dhamira ya dhati kwa serikali kuhakikisha kwamba yale ambayo ni matamanio ya wizara hii kuwekeza rasilimali watu kupitia mipango mbalimbali ikifanyiwa kazi vizuri itaongeza uchumi wa wizara hii kwa kiasi kikubwa.

Aidha, ameipongeza wizara kwa bandari ya uvuvi kilwa masoko huku akieleza kuwa uwekezaji huo wa zaidi ya sh. bilioni 286 utawezesha meli zinazopaki eneo hilo kupeleka samaki inapotakiwa jambo ambalo litaongeza uchumi mkubwa katika sekta ya uvuvi.

About the author

Alex Sonna