slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

jojobet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

vdcasino

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

interbahis

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

jojobet

jojobet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

meritking

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

betist

betist

marsbahis

jojobet giriş

matbet

Featured Kitaifa

MTATURU AMPONGEZA RAIS SAMIA KWA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA MIFUGO NA UVUVI

Written by Alex Sonna

 

 

MBUNGE wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu ameishauri Wizara ya Mifugo na Uvuvi kukaa na wizara za kisekta ili kusaidia wakulima na wafugaji kuondokana na migogoro.

Amesema migogoro mingi ya wakulima na wafugaji hutokana na kutotengwa maeneo halisi ya wafugaji na hali hiyo imepelekea malalamiko katika maeneo mbalimbali nchini .

Hayo ameyasema bungeni leo wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2024/25 ambapo amesema suala hilo likifanyika litafanya mfugaji asionekane ni yatima.

“Kwa sababu kuwa na mifugo mingi kama ulivyosikia wengine wakisema si laana ni rasilimali kila mmoja anajivunia alichonacho

Hivyo naomba migogoro hii iweze kutatuliwa kwa amani ili wananchi wote waweze kufurahia mifugo yao.”

“Mheshimiwa Waziri kaa na wizara zingine zinazohusiana na wizara hii ziweze kusaidia wakulima na wafugaji kuondokana na migogoro hii,lakini mfugaji wa nchi hii asionekane ni yatima, kwa sababu kuwa na mifugo mingi, kama ulivyosikia wengine si laana ni rasilimali kila mmoja anajivunia alichonacho,la pili, naomba migogoro hii iweze kutatuliwa kwa amani ili wananchi wote waweze kufurahia mifugo yao, “ameongeza.

Aidha, Mtaturu ameshauri wataalam wa uvuvi wawepo wa kutosha watakaofanya tathimini ya mifugio kwenye maeneo yao ili kuwaondolea mzigo wataalam wa kata na vijiji wanaofanya kazi kubwa kwa niaba ya wizara.

“Kwenye eneo la wataalam unaweza kuwa na mipango mizuri kwenye level ya wizara lakini kule chini kwenye halmashauri hatuna wataalam huko, wa uvuvi, leo tunalia kule kwa sababu watalaam wa kata na vijiji ndio wanafanya kazi kubwa, kwa niaba ya wizara, Niombe sana tuongeze watalaam, waende wakafanye tathimini ya mifugo kwenye maeneo yetu, “amesema Mtaturu.

Kuhusu ujenzi wa majosho, amebainisha kuwa kwenye eneo hili kuna deni kwakuwa aliomba majosho manne hata hivyo hadi sasa lipo moja tuu hivyo kushauri yaongezwe.

“Nilikuomba majosho manne, umenipa moja katika kata ya Ntuntu lakini kuna josho muhimu lipo katika kata ya Siuyu, lile josho linatakiwa liondolewe katika maeneo ya kanisa niombe sana lile josho mnijengee ili wananchi wale waendelee kupata huduma za kuogeshea mifugo yao na kuweza kusaidia inenepe vizuri.”

Pia, ameomba kujengwa majosho ya kuogeshea na kulishia mifugo katika maeneo ya Issuna, Mang’onyi, Unyahati na Siuyu kwakuwa uhitaji ni mkubwa.

PONGEZI WA RAIS SAMIA.

Mtaturu amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayofanya katika kusimamia maendeleo ya nchi ambapo kupitia sekta zote kazi kubwa imefanyika hata kwenye sekta ya mifugo na uvuvi.

Aidha, amempongeza Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega, Naibu Waziri Alexander Mnyeti, Katibu Mkuu Profesa Riziki Shemdoe kwa kazi kubwa wanazofanya.

“Sekta hii ni muhimu kwa uchumi wa nchi lakini chakula kama ambavyo tumekuwa tukielezwa kama siku ya protini ambayo ipo kwenye viwanja vya bunge, tumeambiwa kitakwimu tuna ng’ombe milioni 37.6 lakini tuna mbuzi na kondoo wa kutosha.”

Amesema kuwa maana yake ikitumika vizuri rasilimali hii inaweza kubadilisha uchumi wa nchi yetu na kuongeza pato la taifa kama mipango ikiwekwa vizuri.

“Ninamaani kabisa tukitumia rasilimali hii vizuri tukajipanga vizuri kulingana na mipango ambayo umetuambia, lakini tumpongeze Rais ametuongezea bajeti kutoka bilioni 169 hadi bilioni 460 ni zaidi ya asilimia 63 imeongezeka,”amesema Mtaturu.

Amebainisha kuwa maana yake ni kwamba kuna dhamira ya dhati kwa serikali kuhakikisha kwamba yale ambayo ni matamanio ya wizara hii kuwekeza rasilimali watu kupitia mipango mbalimbali ikifanyiwa kazi vizuri itaongeza uchumi wa wizara hii kwa kiasi kikubwa.

Aidha, ameipongeza wizara kwa bandari ya uvuvi kilwa masoko huku akieleza kuwa uwekezaji huo wa zaidi ya sh. bilioni 286 utawezesha meli zinazopaki eneo hilo kupeleka samaki inapotakiwa jambo ambalo litaongeza uchumi mkubwa katika sekta ya uvuvi.

About the author

Alex Sonna