Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

perabet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

Featured Kitaifa

MEJA JENERALI MABELE AFUNGA MAFUNZO YA AWALI YA KIJESHI RWAMKOMA 822 KJ

Written by Alex Sonna

 

MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele,akikagua gwaride la heshima  la Vijana wa mafunzo ya JKT wakati wa hafla ya kuhitimisha zoezi la ufungaji  mafunzo ya awali ya Kijeshi kwa Vijana wa kujitolea Operesheni miaka 60 ya JKT katika Kikosi cha Jeshi 822 KJ Rwamkoma wilayani Butiama Mkoani Mara.

Na.Alex Sonna-BUTIAMA

MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele,ameipongeza Serikali kwa kuendelea kuwekeza kwenye mafunzo ya vijana hali inayofanya Tanzania kuendelea kuwa salama wakati wote.

Meja Jenerali Mabele ameyasema hayo leo Mei 13,2024 wakati wa hafla ya kuhitimisha zoezi la ufungaji  mafunzo ya awali ya Kijeshi kwa Vijana wa kujitolea Operesheni miaka 60 ya JKT katika Kikosi cha Jeshi 822 KJ Rwamkoma wilayani Butiama Mkoani Mara.

Amesema kuwa Serikali inatambua na kuthamini umuhimu wa mafunzo ya JKT ndio maana imeendelea kuiongezea JKT uwezo ili vijana wengi wapate nafasi ya kujiunga katika mafunzo ya JKT.

“Serikali imekuwa ikiboresha miundombinu ya Makambi na Vikosi vya JKT ili kuliwezesha kuchukua vijana wengi kwa ajili ya kupatiwa mafunzo hayo”. amesema Meja Jenerali Mabele.

Aidha amewataka kuhakikisha wanalinda Taifa,wanasimamia miongozo,uadilifu na maelekezo ya kila siku ili nchi iendelee kuwa salama.

Katika hatua nyingine Meja Jenerali Mabele,amezindua  rasmi mitandao ya kijamii ya JKT ambayo ni Twitter, Instagram na Facebook ili kuupa wigo umma wa watanzania kupata habari mbalimbali zinazohusu JKT.

“Kwakuwa dunia kwa Sasa ipo kiganjani hivyo nasi JKT tunalitambulisha jukwaa la mitandao ya kijamii kuwa moja ya eneo ambalo jamii itaweza kupata habari zetu kwa uhakika mbali na ile njia ya tovuti, hususani katika kipindi cha kutangaza nafasi za kujiunga na mafunzo ya Mujibu wa Sheria na Kujitolea”.ameongeza Meja Jenerali Mabele.

Kwa upande wake Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda, Mkurugenzi wa Utumishi kutoka Tawi la Utumishi Jeshini Brigedia Jenerali Simon Pigapiga amewataka wahitimu hao kuwa mabalozi wazuri na kujiepusha na vitendo viovu.

“Niwasihi mkawe vijana bora wakati wote kwa kujiepusha na vitendo viovu vitakavyowasababishia matatizo ya afya ya mwili na akili”. amesema Brigedia Jenerali Pigapiga.

Naye Mkuu wa Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) Kanali Makame Daima amesema kuwa JKU inaendelea kujifunza kutoka kwa JKT kutokana na ushirirkiano uliopo baina ya vyombo hivyo viwili.

“Nimekuwa nikipokea maelekezo toka kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa kuitaka JKU kuwa kama JKT, nami natekeleza agizo hilo kwa vitendo”.amesisitiza  Kanali Daima.

Akitoa taarifa ya mafunzo ya Kujitolea Operesheni Miaka 60 ya JKT, Mkuu wa Tawi la Mafunzo na Operesheni JKT Kanali Aisha Matanza amesema mafunzo hayo yamechukua jumla ya majuma 16 mfululizo.

“Vijana hawa wanawawakilisha vijana wenzao ambao wamefanya mafunzo kama haya katika vikosi vingine vya JKT”. amesema Kanali Matanza.

Awali  Kamanda Kikosi Luteni Kanali Gaudencia Mapunda,amesema kuwa mafunzo waliyoyapata vijana hao yamewajengea Uzalendo, Uadilifu na uwajibikaji kwa Taifa lao.

” Hadi kufikia hii leo wahitimu hawa wamefikia malengo yao ya mafunzo haya kwa kiwango cha juu”. amesema Kanali Mapunda.

Mafunzo ya awali ya kijeshi kwa vijana wa Kujitolea Operesheni Miaka 60 ya JKT yamefungwa katika vikosi 19 vya Jeshi la Kujenga Taifa ambapo baada ya mafunzo hayo vijana hao wanaenda kuanza hatua nyingine ya mafunzo ya stadi za maisha na stadi za kazi katika vikosi mbalimbali kwa muda wa miezi 20 ili kukamilisha miaka miwili ya mkataba wao na JKT.

MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele,akikagua gwaride la heshima  la Vijana wa mafunzo ya JKT wakati wa hafla ya kuhitimisha zoezi la ufungaji  mafunzo ya awali ya Kijeshi kwa Vijana wa kujitolea Operesheni miaka 60 ya JKT katika Kikosi cha Jeshi 822 KJ Rwamkoma wilayani Butiama Mkoani Mara.

MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele,akishuhudia kiapo cha utii kutoka kwa vijana wa  mafunzo ya JKT wakati wa hafla ya kuhitimisha zoezi la ufungaji  mafunzo ya awali ya Kijeshi kwa Vijana wa kujitolea Operesheni miaka 60 ya JKT katika Kikosi cha Jeshi 822 KJ Rwamkoma wilayani Butiama Mkoani Mara.

Gwaride la Heshima la Vijana wa kujitolea likipita mbele ya mgeni rasmi Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele,(hayupo pichani)  wakati wa hafla ya kuhitimisha zoezi la ufungaji  mafunzo ya awali ya Kijeshi kwa Vijana wa kujitolea Operesheni miaka 60 ya JKT katika Kikosi cha Jeshi 822 KJ Rwamkoma wilayani Butiama Mkoani Mara.

MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele, akizungumza wakati wa hafla ya kuhitimisha zoezi la ufungaji  mafunzo ya awali ya Kijeshi kwa Vijana wa kujitolea Operesheni miaka 60 ya JKT katika Kikosi cha Jeshi 822 KJ Rwamkoma wilayani Butiama Mkoani Mara.

MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele,akizindua  mitandao ya kijamii ya JKT ambayo ni Twitter, Instagram na Facebook ili kuupa wigo umma wa watanzania kupata habari mbalimbali zinazohusu JKT wakati wa hafla ya kuhitimisha zoezi la ufungaji  mafunzo ya awali ya Kijeshi kwa Vijana wa kujitolea Operesheni miaka 60 ya JKT katika Kikosi cha Jeshi 822 KJ Rwamkoma wilayani Butiama Mkoani Mara.

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda, Mkurugenzi wa Utumishi kutoka Tawi la Utumishi Jeshini Brigedia Jenerali Simon Pigapiga,akizungumza wakati wa hafla ya kuhitimisha zoezi la ufungaji  mafunzo ya awali ya Kijeshi kwa Vijana wa kujitolea Operesheni miaka 60 ya JKT katika Kikosi cha Jeshi 822 KJ Rwamkoma wilayani Butiama Mkoani Mara.

Mkuu wa Tawi la Mafunzo na Operesheni JKT Kanali Aisha Matanza, akizungumza  wakati wa hafla ya kuhitimisha zoezi la ufungaji  mafunzo ya awali ya Kijeshi kwa Vijana wa kujitolea Operesheni miaka 60 ya JKT katika Kikosi cha Jeshi 822 KJ Rwamkoma wilayani Butiama Mkoani Mara.

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) Kanali Makame Daima,akizungumza  wakati wa hafla ya kuhitimisha zoezi la ufungaji  mafunzo ya awali ya Kijeshi kwa Vijana wa kujitolea Operesheni miaka 60 ya JKT katika Kikosi cha Jeshi 822 KJ Rwamkoma wilayani Butiama Mkoani Mara.

Kamanda Kikosi Luteni Kanali Gaudencia Mapunda,akizungumza  wakati wa hafla ya kuhitimisha zoezi la ufungaji  mafunzo ya awali ya Kijeshi kwa Vijana wa kujitolea Operesheni miaka 60 ya JKT katika Kikosi cha Jeshi 822 KJ Rwamkoma wilayani Butiama Mkoani Mara.

MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele, akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuhitimisha zoezi la ufungaji  mafunzo ya awali ya Kijeshi kwa Vijana wa kujitolea Operesheni miaka 60 ya JKT katika Kikosi cha Jeshi 822 KJ Rwamkoma wilayani Butiama Mkoani Mara.

About the author

Alex Sonna