marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

bets10

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

imajbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

pusulabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

sonbahis

marsbahis

perabet giriş

imajbet

klasbahis

bahiscasino

goldenbahis

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

jojobet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

ngsbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu veren siteler

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

superbetin

sahabet

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

onwin

romabet

betsilin

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

marsbahis

matbet

jojobet

herabet

herabet

Featured Kitaifa

SERIKALI YAANIKA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZA WANYAMAPORI WAKALI

Written by mzalendo

Na Happiness Shayo – Dodoma

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imeainisha mikakati mbalimbali ya kukabiliana na changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu katika maeneo mbalimbali nchini ikiwemo Wilaya ya Mbarali, ambapo imesema inatekeleza Mkakati wa Kitaifa wa Utatuzi wa Migogoro baina ya Binadamu na Wanyamapori (2020-2024), Mkakati wa Kusimamia na Kuhifadhi Tembo Nchini (2023-2033) na Mpango kazi wa Kuongoa Shoroba za Wanyamapori nchini (2022-2026).

Hayo yamesemwa leo Mei 2,2024 Bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Maliasili na Utalii , Mhe. Angellah Kairuki alipokuwa akitoa kauli ya Serikali kuhusu changamoto za wanyamapori wakali na waharibifu katika Wilaya ya Mbarali na maeneo mengine nchini.

Ametaja hatua zilizochukuliwa kuwa ni pamoja na kufanya doria za kudhibiti wanyamapori wakali na waharibifu wakiwemo Tembo , kujenga vituo vya askari uhifadhi ambapo Wizara ina vituo 154 Nchi nzima vikijumuisha ofisi za Kanda kwa ajili ya kuimarisha shughuli za uhifadhi ikiwemo doria za udhibiti wa wanyamapori wakali na waharibifu hususan Tembo kwenye maeneo yenye changamoto.

“Kati ya idadi hiyo, vituo 16 vimejengwa Mwaka 2022/2023 katika Vijiji vya Wilaya za Meatu, Itilima, Busega, Lindi, Rufiji, Liwale, Tunduru, Nachingwea, Mwanga, Songwe, Iringa (V), Nzega, Mvomero, Chamwino, Mpwapwa na Kondoa. Aidha, kwa Mwaka 2023/2024” Mhe. Kairuki amesema.

Amefafanua kuwa Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea kujenga vituo vingine 16 katika Vijiji vya Wilaya za Mbarali, Kalambo, Kilwa, Namtumbo, Ruangwa, Serengeti, Bunda (V), Bariadi, Manyoni, Kilosa, Rufiji, Morogoro (V), Korogwe, Same, Babati na Monduli. Ujenzi wa vituo hivyo upo katika hatua mbalimbali za utekelezaji na kutoa mafunzo ya mbinu rafiki za kujikinga na tembo kwa wakufunzi 1,626 kutoka Wilaya 28 kati ya Wilaya 44 zenye changamoto kubwa ya wanyamapori wakali na waharibifu.

Vilevile, amesema ili kuendelea kudhibiti wanyamapori wakali na waharibifu Wizara ya Maliasili na Utalii imetoa elimu kwa jamii ambapo wananchi 2,053 walipatiwa elimu katika vijiji Vitano (5) vya Wilaya ya Mbarali ambavyo ni Ilualanje, Ikanutwa, Vikae, Igunda na Igava vyenye changamoto kubwa ya tembo na pia kwa kushirikiana na wadau wa uhifadhi Wizara yake imetoa mafunzo ya mbinu rafiki za kukabiliana na Tembo kwa wakufunzi 41 kutoka katika vijiji hivyo.

Katika hatua nyingine, Waziri Kairuki amesema Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kushirikiana na wadau wa uhifadhi inaendelea kuwajengea uwezo jamii kushiriki katika uhifadhi pamoja na kudhibiti wanyamapori wakali na waharibifu kwa kutoa mafunzo kwa Askari Wanyamapori wa Vijiji (Village Game Scouts – VGS) ambapo katika kipindi cha Mwaka 2021/2022 hadi 2023/2024 jumla ya Askari Wanyamapori wa Vijiji 882 wamepatiwa mafunzo maalum juu ya uhifadhi na mbinu za kujikinga na wanyamapori wakali na waharibifu lengo ikiwa ni kuongeza nguvu na ufanisi katika udhibiti wa matukio ya wanyamapori wakali na waharibifu.

Aidha, amesema Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia taasisi zake za TAWIRI na TANAPA (Hifadhi ya Taifa Ruaha) imewapatia mafunzo ya ukakamavu, elimu ya uhifadhi na mbinu za kukabiliana na wanyamapori wakali na waharibifu Askari Wanyamapori wa Vijiji 23 kutoka Vijiji vya Igunda, Igava, Iwalanje, Vikae na Ikanutwa katika Kata ya Igava, Tarafa ya Rujewa, Wilaya ya Mbarali mwezi Aprili, 2022.

Waziri Kairuki amesema Serikali inaendelea kufuatilia mienendo ya wanyamapori wakali na waharibifu ikiwemo tembo na inatumia teknolojia mbalimbali kwa kuwafunga Mikanda Maalumu ya Mawasiliano (GPS-Satellite Collars).

”Mpaka sasa katika mifumo mitatu ya ikolojia tumeweza kufunga katika mikanda 157 katika mifumo mitano Katika kipindi cha kuanzia Mwaka 2022/2023 hadi 2023/2024 jumla ya tembo 157 viongozi wa makundi wamefungwa mikanda hiyo katika mifumo ikolojia ya Tarangire – Manyara, Serengeti, Selous – Mikumi, Lake Natron – Longido na Selous – Niassa ili kuonesha mahali walipo na hivyo kuwezesha kuwadhibiti mapema kabla ya kusababisha madhara lengo ikiwa ni kuwezesha kuona mahali tembo walipo na kuwadhibiti mapema kabla hawajasababisha madhara” Mhe. Kairuki amesisitiza.

Amesema kuwa tafiti zinaonyesha kuwa Tanzania ina jumla ya mifumo ikolojia nane (08) inayohitaji jumla ya mikanda ya mawasiliano 200 kwa wakati mmoja ili kurahisisha kupata taarifa za mienendo ya tembo, hivyo, Wizara ya Maliasili na Utalii itaendeleza juhudi za kuongeza mikanda hiyo kwa kushirikisha wadau wa uhifadhi ukizingatia kuwa gharama ya kufunga mkanda mmoja ni takriban Shilingi Milioni 16 na hivyo kwa mikanda 200 ni takriban Shilingi Bilioni 3.2.

Pia, amesema kuwa Wizara ya Maliasili na Utalii imeendelea na operesheni mbalimbali za kutumia helikopta kwa ajili ya kuwafukuza tembo ambao wamekuwa wakizagaa kutoka katika hifadhi kwenda katika maeneo mbalimbali ya wananchi na mpaka sasa operesheni imefanyika katika Wilaya za Nachingwea, Liwale ,Same, Bunda na Mvomero ambapo imefunga mikanda kwa tembo kiongozi na tembo zaidi ya 91 wamerudishwa hifadhini.

Kuhusu Wilaya ya Mbarali Waziri Kairuki amesema Wizara yake imeandaa zoezi la kufunga tembo watatu mikanda tarehe 8 Mei na 9 Mei,2024 ili waweze kufuatiliwa mienendo yao.

Waziri Kairuki amehitimisha kwa kuwahakikishia Waheshimiwa Wabunge kuwa Wizara ya Maliasili na Utalii itaendelea kuongeza vitendea kazi na kununua helikopta tatu ili kurahisisha zoezi la kuwarudisha tembo hifadhini.

About the author

mzalendo