Featured Kitaifa

RAIS SAMIA ATUNUKIWA UDAKTARI WA HESHIMA NA CHUO KIKUU CHA ANKARA UTURUKI

Written by mzalendo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan atunukiwa Udaktari wa Heshima kutoka Chuo Kikuu cha Ankara nchini Uturuki, kutambua jitihada zake za kuendeleza mageuzi ya kijamii, kisiasa na kiuchumi -4R.

Katika picha chini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari (Honoris Causa) ya Uchumi kutoka kwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ankara nchini Uturuki Profesa Necdet Unuvar kwenye hafla iliyofanyika Chuoni hapo tarehe 18 Aprili, 2024.

About the author

mzalendo