Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

timebet

porno izle

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

avrupabet, avrupabet giriş

gameofbet

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

betpas

betcup

casinofast giris

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

jojobet giriş

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

radissonbet

meritbet

jojobet güncel giriş

marsbahis

bets10

betsat

jojobet

marsbahis

ultrabet

mavibet

kavbet

setrabet

betpas

perabet

ibizabet

deneme bonusu veren siteler

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

cratosroyalbet giriş

betlike giriş

kavbet giriş

cratosroyalbet

mavibet

mavibet

artemisbet giriş

imajbet

mavibet giriş

betlike

mavibet giriş

mavibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat giriş

dinamobet

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betface

betface

imajbet giriş

Featured Kitaifa

MTATURU:IKUNGI TUNASIMAMA NA SAMIA

Written by Alex Sonna

 

MBUNGE wa Singida Mashariki Mhe.Miraji Mtaturu,akichangia bajeti ya Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI),bungeni Jijini Dodoma.

Na.Mwandishi Wetu

MBUNGE wa Singida Mashariki,Miraji Mtaturu amesema kutokana na kazi nzuri anayoifanya Rais Samia Suluhu Hassan jimboni kwake 2025 wakazi wa Ikungi wanasimama na Rais Samia mpaka kieleweke.

Akichangia bajeti ya Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI),April 18,2024,Bungeni,Mtaturu amesema mwaka wa fedha wa 2023/2024,Wilaya ya Ikungi imepokea takribani Bilioni 15.

“Ndio maana tunasema hatuna sababu ya kuelekezwa,tunasimama na Rais Samia mpaka kieleweke kuhakikisha kwamba tunampa kura za kutosha, wapiga kelele hawana nafasi tena kwa kuwa vitendo vinaongea kuliko maneno.”amesema.

Amesema katika jimbo la Singida Mashariki jambo hilo halijapata kutokea.

“Sisi tunaposema tunamshukuru Rais tunasema kwa vitendo kwa maana tunayaona, hatukuwahi kuzidi bilioni 3 huko nyuma, leo tunapata bilioni 15 kwetu ni jambo kubwa haijapata kutokea,”

Amesema wamejengewa madarasa 128 mapya katika shule za msingi, madarasa 20 katika shule za Sekondari na kujengewa shule mpya mbili ambapo fedha nyingi zimetumika kwa kazi hiyo.

“Hatukuwa na jengo lolote kutoka ardhi hadi majengo leo hatuwezi kuacha kumsemea Rais kwa kazi anazotufanyia leo watoto wanaenda umbali mfupi kufata masomo kitu ambacho ndio lengo kuhakikisha watoto wanapata elimu bora,”amesema.

Aidha amesema kiasi cha sh. milioni 590 kimetumika kujenga shule mpya ambayo imekuwa kama chuo jambo ambalo ni lazima kumshukuru Rais.

“Kwa sababu miradi ni mingi ninaamini kabisa kwenye eneo la barabara tulikuwa hatuna lami sasa ipo mjini na juzi tumepata tena kilomita moja mkandarasi yupo kazini anaendelea na kazi.”

Upande wa taa za barabarani zimewekwa hivyo Wilaya ya Ikungi ina alama kwa sababu ya namna ambavyo Rais amemua kutekeleza miradi.

“Nampongeza Rais kwa kazi kubwa anayofanya ikiwemo kutoa maelekezo mbalimbali ya kuhakikisha kwamba fedha zinakwenda kwenye miradi ya maendeleo ambayo ipo katika maeneo ya wabunge nchini,”amesema.

Amesema kwa hakika Rais Samia amefanya kazi kubwa katika wizara nyingi na kupeleka fedha za kutosha kwa ajili ya utekelezaji majukumu kwa wizara hizo.

“Kwenye vitabu vya dini wanasema moyo usiokuwa na shukrani hukausha mema yote, lakini kushukuru ni kupata thawabu kwa sababu unatambua juhudi ya mwenzako, hivyo kushukuru ni uungwana,”amesema.

USHAURI.

Mtaturu ameshauri kuwa kwa kuwa rasilimali watu ni nyenzo muhimu katika kazi ikiwemo ya kutosha itasukuma juhudi za maendeleo.

Amesema katika halmashauri ya Ikungi wanahitaji watumishi 4,664 lakini wanao 2,369 hivyo upungufu ni watumishi 2,292, sawa na asilimia 50.

“Maana yake kuna watumishi wachache wanabeba mzigo kwa ajili ya wengine hivyo kama tunataka kupata maendeleo ya haraka kule vijijini, mitaani tuongeze watumishi.

Rais Samia ametoa vibali vingi vya utumishi nina amini kwamba tukipata watumishi tunakuwa na mgawanyo kwenye halmashauri zetu, naomba Ikungi tuongezewe ili fedha zinazokwenda kule zisimamiwe vizuri,”ameongeza.

Ametolea mfano eneo la idara ya sheria wanahitajika watumishi wanne hata hivyo aliyepo ni mmoja hivyo kushauri eneo hilo liangaliwe kwa jicho lingine.

PONGEZI KWA TAMISEMI.

Wizara ya Tamisemi ndio ya vijiji, vitongoji na mitaa yote nchini hivyoni kubwa na inagusa maisha ya wananchi wa ndani vijijini hivyo ina umuhimu sana.

“Wilaya ya Ikungi katika jimbo la Singida Mashariki ni mashahidi na nitasema hapa, Nampongeza Mchengerwa kwa kazi nzuri anayofanya kwenye maeneo yetu, hata ya mafuriko yaliyotokea Rufiji naomba Mungu yapite salama ili uweze kurudi mwaka 2020/2025 kwa sababu unamsaidia Rais katika mambo mbalimbali,”amesema.

Amesema kwa hakika kauli ya kusema watu wenye akili huwa wanapigwa vita kwenye maeneo yao imeungwa mkono na watu kwakuwa ameonyesha uwajibikaji wa vitendo.

Mbali na pongezi hizo ameomba Tamisemi impe kiasi cha Sh. Bilioni tatu kwa ajili ya ujenzi wa madaraja na barabara ili zipitike wakati wa kwenda kumuombea kura Rais Dkt. Samia.

Amesema ili kukamilisha wizara ya Tamisemi ni lazima kutaja wakuu wa mikoa , wilaya na wakurugenzi ambao wamekuwa wakisimamia maagizo yanayotolewa na Rais na mawaziri.

“Nampongeza Rais kwa kutuletea mkuu wa Mkoa Halima Dendegu mlezi wa wana hakika mama yule tangu amefika ametuunganisha wana Singida kwa pamoja na tumekaa nae na kuzungumza mambo ya maendeleo kwa wananchi wa mkoa huo.”

“Nampongeza Mkuu wa wilaya Thomas Apson, Mkurugenzi Justice Kijazi kwa kazi nzuri wanazofanya ndio maana mnaona Ikungi ya leo sio ya jana kwa sababu fedha zikija zinapelekwa zilipolengwa na maendeleo yanaonekana na wananchi wanashukuru sana,”amesema.

About the author

Alex Sonna