Featured Kitaifa

KATIBU MKUU WA CCM AWASILI MKOANI KATAVI KWA ZIARA YA KIKAZI

Written by mzalendo

Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dk, Emmanuel John Nchimbi na ujumbe wake amewasili asubuhi hii mkoani Katavi kuanza ziara ya mikoa sita nchini. Katika ziara hii anaongozana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makala na Katibu wa NEC, Oganaizesheni, Issa Ussi Haji Gavu

About the author

mzalendo