marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

holiganbet

grandpashabet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

casinomilyon

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

Grandpashabet Güncel Adres

vdcasino

betvole

Featured Kitaifa

VIJANA 19 WAHITIMU MAFUNZO YA UTENGENEZAJI WA VIHENGE KUDHIBITI SUMUKUVU

Written by Alex Sonna

 

Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia (katikati) akikagua vihenge vilivyotengenezwa na vijana walioshiriki mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa ‘Tanzania Initiative for Preventing Aflatoxin Contamination – TANIPAC)’ ulio chini ya Wizara ya Kilimo

 

Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
Jumla ya vijana 19 kutoka Halmashauri za Wilaya ya Buchosa (Mwanza), Itilima (Simiyu) , Nzega (Tabora) na Bukombe (Geita) wamehitimu mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa ‘Tanzania Initiative for Preventing Aflatoxin Contamination – TANIPAC)’ ulio chini ya Wizara ya Kilimo kwa lengo la kuimarisha usalama wa chakula kwa wananchi na afya ya jamii.
 
Mafunzo hayo yaliyofanyika kuanzia Machi 14,2024 yakitolewa na Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) yamefungwa leo Jumatano Machi 27, 2024 katika ukumbi wa SIDO Mkoa wa Shinyanga na Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia.
 
Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo, Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia amesema mafunzo hayo ni sehemu ya utekelezaji wa Mradi wa TANIPAC unaolenga kuiwezesha jamii kutumia njia sahihi na za kisasa za uhifadhi wa nafaka hususani mahindi kutokana na sumukuvu.
 
“Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Kilimo imeingia gharama kuhakikisha kuwa vijana wanapatiwa ujuzi wa kutengeneza vifaa vya kisasa na vinavyodumu kwa muda mrefu ili kutimiza adhima ya kupunguza sumukuvu ili kuimarisha usalama wa chakula kwa wananchi lakini pia kuhakikisha vijana wanapata ajira kwa kujiajiri na kuajiri wengine”,amesema Elia.
 
Amesema kupitia mafunzo hayo, washiriki wamejifunza mbinu mbalimbali za utengenezaji vihenge kwa vitendo, ujasiriamali, masoko, usimamizi wa fedha na urasimishaji biashara hivyo kuwataka wakayatumie kwa vitendo ili kujipatia ajira na kutimiza malengo ya serikali ya kutokomeza sumukuvu na wakawe mabalozi wa kukemea matumizi yasiyo sahihi ya utunzaji wa nafaka yanayopelekea sumukuvu.
 
Aidha amewataka vijana hao wakazingatie kutengeneza vifaa vyenye ubora, kutumia muda vizuri, wajifunze kuweka akiba na kutumia lugha nzuri kwa wateja wao na watumie huduma zinazotolewa SIDO.
 
Akisoma Risala ya wahitimu wa mafunzo hayo, George Stanley Joseph amesema wamejifunza kuhusu ujasiriamali, masoko na huduma kwa wateja, usimamizi wa fedha, urasimishaji wa biashara na utengenezaji wa vihenge kwa vitendo na kwamba elimu na mafunzo waliyopata yatawasaidia kuboresha utendaji kazi na kuzalisha bidhaa za vihenge (Silos) na nyinginezo kwa tija ili kukidhi mahitaji ya soko la ndani na nje ya nchi.
 
“Tunaushukuru uongozi wa SIDO na Wizara ya Kilimo kwa kutoa fursa ya mafunzo haya ambayo yametujengea uwezo wa kujiamini na kuamsha ari ndani yetu ya kujiajiri na kuachana na kasumba ya kusubiri ajira”,amesema Joseph.
Mwenyekiti wa darasa la mafunzo ya utengenezaji Vihenge, Emmanuel Ngasa Masaka (kushoto) akimwelezea Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia kuhusu vihenge vilivyotengenezwa na vijana walioshiriki mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa ‘Tanzania Initiative for Preventing Aflatoxin Contamination – TANIPAC)’ ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia (kulia) akizungumza wakati akikagua vihenge vilivyotengenezwa na vijana walioshiriki mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa ‘Tanzania Initiative for Preventing Aflatoxin Contamination – TANIPAC)’ ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia (katikati) akizungumza wakati akikagua vihenge vilivyotengenezwa na vijana walioshiriki mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa ‘Tanzania Initiative for Preventing Aflatoxin Contamination – TANIPAC)’ ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia (katikati) akipiga picha ya kumbukumbu na vijana walioshiriki mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC) ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia akizungumza wakati akifunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC) ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia akizungumza wakati akifunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC) ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia akizungumza wakati akifunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC) ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia akizungumza wakati akifunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC) ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia akizungumza wakati akifunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC) ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia akizungumza wakati akifunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC) ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC) ulio chini ya Wizara ya Kilimo wakiwa ukumbini
Mwenyekiti wa darasa la mafunzo ya utengenezaji Vihenge, Emmanuel Ngasa Masaka akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC) ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Mhasibu wa SIDO Mkoa wa Shinyanga, bi. Misuka Makwaya akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC) ulio chini ya Wizara ya Kilimo
George Stanley Joseph akisoma risala ya wahitimu wa mafunzo
Mratibu wa Mafunzo SIDO Mkoa wa Shinyanga, Mhandisi Manyama Lububi akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC) ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Hafla ya kufunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC) ikiendelea
Hafla ya kufunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC) ikiendelea
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia (kulia) akimkabidhi  cheti cha uthibitisho wa kushiriki mafunzo mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC)
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia (kulia) akimkabidhi  cheti cha uthibitisho wa kushiriki mafunzo mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC)
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia (kulia) akimkabidhi  cheti cha uthibitisho wa kushiriki mafunzo mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC)
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia (kulia) akimkabidhi  cheti cha uthibitisho wa kushiriki mafunzo mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC)
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia (kulia) akimkabidhi  cheti cha uthibitisho wa kushiriki mafunzo mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC)
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia (kulia) akimkabidhi  cheti cha uthibitisho wa kushiriki mafunzo mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC)
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia (kulia) akimkabidhi  cheti cha uthibitisho wa kushiriki mafunzo mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC)
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia (kulia) akimkabidhi  cheti cha uthibitisho wa kushiriki mafunzo mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC)
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia (kulia) akimkabidhi  cheti cha uthibitisho wa kushiriki mafunzo mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC)
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia (kulia) akimkabidhi  cheti cha uthibitisho wa kushiriki mafunzo mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC)
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia (kulia) akimkabidhi  cheti cha uthibitisho wa kushiriki mafunzo mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC)
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia (kulia) akimkabidhi  cheti cha uthibitisho wa kushiriki mafunzo mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC)
Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga Hopeness Elia (wa tatu kulia waliokaa) akipiga picha ya kumbukumbu na washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu (TANIPAC).

About the author

Alex Sonna