marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

vdcasino

Featured Kitaifa

REA YAMHESHIMISHA RAIS SAMIA CHEKELEI KOROGWE

Written by mzalendo

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Balozi Meja Jenerali Mstaafu, Jacob Kingu akizungumza wakati wa tukio la Bodi hiyo na Menejimenti ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kukabidhi Vifaa mbalimbali ikiwemo Printa ya kisasa kwa Shule ya Sekondari Chekelei iliyopo Kijiji cha Madumu wilayani Korogwe, Mkoa wa Tanga ikiwa ni ahadi ya Serikali kuwezesha matumizi ya umeme yenye tija kwa wananchi vijijini. Tukio hilo limefanyika leo, Machi 26, 2024 ikiwa ni sehemu ya ziara ya Bodi kukagua miradi mbalimbali ya nishati vijijini.

Viongozi wa Shule ya Sekondari Chekelei iliyopo Kijiji cha Madumu wilayani Korogwe, Mkoa wa Tanga wakipokea Vifaa mbalimbali ikiwemo Printa ya kisasa kutoka kwa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) na Menejimenti ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ikiwa ni ahadi ya Serikali kuwezesha matumizi ya umeme yenye tija kwa wananchi vijijini. Tukio hilo limefanyika leo, Machi 26, 2024 ikiwa ni sehemu ya ziara ya Bodi kukagua miradi mbalimbali ya nishati vijijini.

Na Veronica Simba – REA, Korogwe

Walimu na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Chekelei iliyopo kijiji cha Madumu, wilayani Korogwe, Mkoa wa Tanga wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha wanapata huduma zote za msingi ikiwemo umeme na vitendea kazi mbalimbali, hali ambayo wameeleza itasaidia kuboresha taaluma shuleni hapo.

Wametoa shukrani hizo leo Machi 26, 2024 wakati Bodi ya Nishati Vijijini (REB) na Menejimenti ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) walipotembelea Shule hiyo na kukabidhi Printa ya kisasa, wino wake pamoja na karatasi za kuchapishia, ikiwa ni kutimiza ahadi iliyotolewa Machi mwaka jana na aliyekuwa Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini.

Akizungumza mbele ya Ujumbe huo ulioongozwa na Mwenyekiti wa Bodi, Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu, Mkuu wa Shule, Siwema Mashoto amesema uwepo wa umeme wa REA sambamba na Mashine hiyo ya Printa waliyokabidhiwa pamoja na vifaa vyake vitasaidia kuboresha kiwango cha elimu kwa wanafunzi.

“Hakika Mama Samia anaupiga mwingi na REA mmemheshimisha. Tunamshukuru sana. Baaada ya muda rudini mtuulize kuhusu mabadiliko katika kiwango cha taaluma maana tunaamini yatakuwa yamekuwa bora zaidi,” amesisitiza.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Bodi Balozi Kingu amewataka walimu na wanafunzi kutunza vyema vifaa walivyopatiwa na kuvitumia kwa tija ili vilete manufaa yanayokusudiwa kwao.

Awali, akieleza lengo la ziara hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa REA ambaye pia ni Katibu wa Bodi, amesema Wakala unatamani kuona wananchi wote waliofikiwa na umeme wanautumia kwa tija ili azma ya Serikali inayolenga kuboresha maisha vijijini itimie.

“Ndiyo maana leo tumewatembelea ili kutekeleza ahadi iliyotolewa kwenu na viongozi wetu. Tunataka wananchi waelewe kwamba kuunganisha umeme peke yake haitoshi ikiwa hautumiki kubadili maisha. Printa na vifaa vingine tulivyowapatia leo, vinalenga kuleta tija ya uwepo wa umeme shuleni hapa,” amefafanua.

Katika hatua nyingine, Mkurugenzi Mkuu ametoa ahadi kuwa REA itawapatia majiko banifu, Walimu wote wa Shule hiyo pamoja na viongozi mbalimbali walioshiriki katika tukio hilo ili wawe Mabalozi wazuri wa Ajenda ya Rais Samia ya kumtua Mama kuni kichwani kwa kuwezesha matumizi ya nishati safi ya kupikia.

Pia, ameahidi kuwa REA itakamilisha kazi ya kutandaza mfumo wa nyaya za umeme (wiring) katika majengo yote ya shule hiyo ili umeme ambao umekwishafikishwa utumike kwa tija zaidi.

“Tutatuma wataalamu kufanya tathmini kisha tufanye hiyo kazi mara moja.”

Naye Katibu wa Chama Cha Mapinduzi, Kata ya Chekelei, Mohamedi Fumbili ameipongeza Serikali kupitia REA akinukuu maneno kutoka Vitabu Vitakatifu kuwa ‘anayeahidi na kutimiza anapata thawabu kwa Mungu.”

Aidha ameongeza kuwa tukio lililofanywa na REA ni utekelezaji wa Ilani ya Chama Tawala hivyo ni kumuheshimisha Mwenyekiti wake, Mama Samia Suluhu Hassan pamoja na Serikali kwa ujumla.

Bodi ya Nishati Vijijini iko mkoani Tanga kushiriki vikao vya kazi na hivyo inatumia fursa hiyo pia kutembelea na kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini.

About the author

mzalendo