Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

KLINIKI MAALUM ZA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA ZIANZISHWE KWENYE VITUO VYOTE VYA AFYA NCHINI

Written by Alex Sonna

Na. WAF – Dar Es Salaam

Serikali kupitia Wizara ya Afya imevitaka vituo vyote vya Afya nchini kuanzisha kliniki maalum za kupima Magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo ugonjwa wa Kisukari, Shinikizo la Juu la Damu (Presha) pamoja na kuwapima Selimundu (Sikoseli) watoto wanaozaliwa katika vituo hivyo.

Hayo yamebainishwa leo Machi 7, 2024 na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu alipofanya ziara katika Kituo cha Afya Chanika kwa lengo la kuangalia hali ya utoaji huduma ambapo ameridhishwa na huduma za Afya zinazotolewa katika kituo hicho kilichopo Jijini Dar Es Salaam.

“Nawapongeza sana wataalam wa kituo hiki cha Afya cha Chanika kwa huduma nzuri mnazozitoa, lakini pia kuwa na kliniki za magonjwa yasiyoambukiza, Sasa hivi tunataka kuona kila kituo cha Afya nchini kuwa na kliniki za magonjwa hayo hususan upimaji wa ugonjwa wa Kisukari, Shinikizo la Juu la Damu pamoja na Sikoseli.” Amesema Waziri Ummy

Aidha, Amesema watoto wanaozaliwa na ugonjwa wa Sikoseli wakianza kupata matibabu mapema inasaidia kuondoa fikra potofu kwa baadhi ya wazazi kuwa na imani za kishirikina kwa kudhani watoto wao wamerogwa kwa kuwa mtoto asipogundulika mapema huwa anaumwa mara kwa mara.

Aidha, Waziri Ummy amesema miondombinu ya majengo itaongezwa katika Kituo hicho cha Afya Chanika ili iweze kupadishwa hadhi na kuwa Hospitali ya ngazi ya kwanza kwa kuwa kituo hicho kinafanya kazi kubwa ya kuwadumia wananchi wengi zaidi.

“Katika kituo hiki kwa siku wanatoa huduma za kuzalisha wanawake 30 hadi 50 kwa siku hali ambayo ukifananisha na baadhi ya Hospitali za Wilaya idadi hiyo ndio wanaozalishwa kwa mwezi, pia kituo hiki kwa mwezi kinaona wagonjwa kati ya 700 hadi 800, hii ni kazi kubwa na nzuri inayofanywa ma kituo hiki cha Chanika.” Amesema Waziri Ummy

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Jiji Dkt. Zaituni Hamza ameishukuru Serikali na kuipongeza Wizara ya Afya chini ya Waziri Mhe. Ummy Mwalimu kwa kuendelea kuwatia moyo watumishi wa Afya kwa kuthamini kwa kile wanachokifanya hasa kutoa huduma bora kwa wateja.

“Lakini pia tunamshuku Mhe. Waziri kuelekeza kituo hiki kuwa na hadhi ya Hospitali baada ya kukamilisha vigezo vilivyobakia ikiwemo kuongeza baadhi ya majengo, kitu hiki kikiwa Hospitali itasaidia kupunguza msongamano wa wateja kwenda katika Hospitali nyingine kama Muhimbili na Amana.” Amesema Dkt. Zaituni

About the author

Alex Sonna