Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

holiganbet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

imajbet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

starzbet

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

Featured Kitaifa

MHE.MNYEMA:ZINGATIENI MISINGI YA MAADILI

Written by mzalendo

Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Mhe. Pilli Manyema akifungua mafunzo ya Maadili kwa Viongozi kutoka Taasisi mbalimbali za Umma mkoani Tanga . Mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga tarehe 29 Februari,2024.

 

Afisa Maadili kutoka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kanda ya Mashariki Bi. Zainab Kissoky akitoa mada kuhusu Maadili ya Viongozi wa Umma katika mafunzo ya Maadili kwa Viongozi kutoka Taasisi mbalimbali za Umma mkoani Tanga .Mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga tarehe 29 Februari,2024.

Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya maadili ambao ni viongozi kutoka Taasisi mbalimbali za Umma mkoani Tanga wakifuatilia kwa makini mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga tarehe 29 Februari,2024.

Katibu Msaidizi Idara ya Ukuzaji Maadili Bw. Salvatory Kilasara akitoa neno la ukaribisho katika mafunzo ya Maadili kwa Viongozi kutoka Taasisi mbalimbali za Umma mkoani Tanga .Mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga tarehe 29 Februari,2024.

Kaimu Katibu Msaidizi Kanda ya Mashariki Bw, Seleman Seleman akitoa mada kuhusu mgongano wa maslahi katika mafunzo ya Maadili kwa Viongozi kutoka Taasisi mbalimbali za Umma mkoani Tanga .Mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga tarehe 29 Februari,2024.

………………

Viongozi wa Umma wameaswa kuzingatia misingi ya Maadili ya Viongozi wa Umma katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku ili kuleta mchango wenye tija kwa serikali na wananchi kwa ujumla.

Hayo yalisemwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Mhe. Pili Mnyema alipofungua mafunzo ya Maadili kwa Viongozi wa Taasisi mbalimbali za Umma mkoani Tanga. Mafunzo hayo yalifanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga tarehe 29 Februari,2024.

Akifungua mafunzo hayo Mhe. Mnyema alisema kuwa ipo misingi ya Maadili inayomuongoza kiongozi yeyote namna anavyopaswa kutenda na kuenenda wakati wa utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku misingi hiyo ni pamoja na Uadlifu, Uwazi, Uaminifu na ukweli, kuheshimu Sheria, Uwajibikaji, Haki na Kutopendelea, Kujiepusha na Mgongano wa Maslahi na mingine mingi.

Mhe. Myema alieleza kuwa Dira ya Taifa hususan kipengele cha utawala bora inasisitiza kuwa ifikapo mwaka 2025 uadilifu uwe sehemu ya utamaduni wa jamii ya Tanzania.” Kila wakati tumemsikia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisisitiza umuhimu wa kuzingatia maadili hivyo sisi kama viongozi ni lazima tutii”

“Niwaase Viongozi wenzangu tuache mienendo isiyofaa mfano matumizi mabaya ya rasilimali za nchi, ubadhilifu wa mali za umma ,kuomba na kupokea rushwa ama zawadi, kujilimbikizia mali na mengineyo yanayofanana na hayo na hii itatufanya kuwa waadilifu ili tuweze kwenda sawa na dira inayotuongoza” alisema.

Aidha Mhe. Myema alitumia wasaa huo kuwakumbusha viongozi hao kuhusu maelekezo mbalimbali ya Serikali yanayohusu maadili na utawala Bora kwamba kila kiongozi anapaswa kutanguliza maslah ya Taifa mbele badala ya maslah yake binafsi, kiongozi anapaswa kushiriki katika kuimarisha utawala Bora nchini ili kutoa mchango wenye tija kwa maendeleo ya Taifa badala ya kuviachia vyombo vinavyosimamia Utawala Bora, Kila kiongozi awe mzalendo katika kusimamia miradi ya maendeleo ya Nchi na mengine mengi.

Awali akimkaribisha mgeni rasmi, Katibu Msaidizi Idara ya Ukuzaji Maadili , Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Bw. Salvatory Kilasara alisema kuwa Sekretarieti ya Maadili imeandaa mafunzo hayo kwa Viongozi husika lengo likiwa ni kuwambusha juu ya dhana nzima ya maadili.

“Tunafahamu kuwa nyote hapa mna uelewa juu ya dhana nzima ya Maadili lakini binadamu tumeumbiwa kusahau hivyo sisi kama Taasisi inayosimamia maadili kwa Viongozi wa Umma ni jukumu letu kutoa elimu hii mara kwa mara hivyo tumekuja kuwakumbusha kufuata sheria ,kanuni na taratibu za utumishi wa Umma mnapotekeleza majukumu yenu ya kila siku’’ alisema

Bw, Kilasara alitumia fursa hiyo kuwaasa Viongozi hao kuwa mfano wa kuigwa kwa kutenda yale wanayohubiri kwa watumishi walio chini yao kwa kutenda yaliyo mema mfano matumizi na usimamizi mzuri wa rasilimali za nchi, matumizi ya lugha ya staha nk. Ili kujenga Imani kwa watumishi walio chini yao na jamii kwa ujumla.

“Viongozi wenzangu huwezi kuwa jasiri wa kusimamia maadili kwa watumishi walio chini yako kama wewe sio muadilifu kama binadamu lazima uone haya, hivyo tuishi yale tunayoyahubiri” alisema

Mada mbalimbali ziliwasilishwa katika mafunzo hayo ya siku moja ambazo ni pamoja na mada kuhusu Mgongano wa Maslahi, mada kuhusu Maadili ya Viongozi wa Umma, mada kuhusu Mgongano wa Maslahi, mada kuhusu Maadili na Uwajibikaji katika Utumishi wa Umma, na mada kuhusu mifumo ya kudhibiti rushwa, matumizi mabaya ya madaraka na mgongano wa maslahi.

About the author

mzalendo