Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

casibom giriş

pokerklas

royalbet

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

casibom giriş

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

türk ifşa

pokerklas

İkimisli

onwin

grandpashabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

mobilbahis

casibom

perabet giriş

jasminbet giriş

imajbet

imajbet giriş

kavbet

perabet

artemisbet

mislibet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino giriş

zirvebet

jojobet güncel giriş

nerobet

jojobet

nerobet

jojobet giriş

kavbet giriş

Meritking

jojobet

สล็อตเว็บตรง

bets10

pusulabet

jojobet

marsbahis

holiganbet

trust score weak 3

marsbahis giriş

ikimisli

tipobet

mislibet

jasminbet

casibom

realbahis

ikimisli

queenbet

jojobet

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

casibom giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet giriş

holiganbet giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

interbahis, interbahis giriş

betgar, betgar giriş

monobahis, monobahis giriş

superbetin

meritking

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

roketbet

jojobet

ligobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

sahabet

jojobet

perabet

ilbet

deneme bonusu

casibom güncel giriş

sweet bonanza siteleri

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

kulisbet, kulisbet giriş

google

ganobet

tophillbet

marsbahis

atlasbet

Doctors | Akdeniz University Hospital

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

casibom güncel giriş

casibom giriş

sweet bonanza

casibom

betflix giriş

betflix

betturkey

grandpashabet

gameofbet

betgit

1win

radissonbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

ikimisli

queenbet

jojobet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom giriş

casibom

meritking giriş

meritking giriş

meritking

marsbahis

meritking

marsbahis giriş

marsbahis giriş

meritking

jojobet

goldenbahis

holiganbet

galabet

holiganbet

mislibet

casibom

romabet

Hacklink panel

betturkey

jojobet

google giir

jojobet

jojobet

realbahis

casibom giriş

royalbet

jojobet giriş

royalbet

casibom giriş

casibom giriş

casibom

primebahis

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

meritking giriş

marsbahis

betpas

betgaranti

betoffice

timebet

Bet365 Giriş

betturkey

betturkey giriş

atlasbet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

casibom

vdcasino

mislibet giriş

tarafbet

tarafbet

betpark giriş

betpark

betpark

betpark güncel giriş

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

betine

jojobet

betvole

betvole

betkolik

betkolik

betplay

betplay

aresbet

aresbet

jojobet giriş

alfabahis

gobahis

gobahis

livebahis

livebahis

atlasbet

atlasbet

ultrabet

ultrabet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis

coinbar

coinbar

elitcasino

elitcasino

bahisfair

bahisfair

gonebet

gonebet

betovis

betovis

goldenbahis

goldenbahis

pokerklas, pokerklas giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

deneme bonusu

casibom

jojobet

https://sjconsultors.com/

kavbet

Featured Kitaifa

ABU MBINU MPYA YA KUANDAA VIJANA WABOBEVU KATIKA SEKTA YA MADINI

Written by mzalendo

Wahitimu 40 wa vyuo mbalimbali nchini ambao wanatarajia kuanza mpango wa mafunzo kazini kwa vitendo unaodhaminiwa na kampuni ya GGML kwa mwaka 2024/2025 wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukaribishwa rasmi mwishoni mwa wiki mkoani Geita.

Mkuu wa Idara ya Mafunzo na Ujuzi, Albert Rukeisa (kushoto) akizungumza na Meneja Mwandamizi wa masuala ya Rasilimali watu kutoka GGML, Charles Masubi (kulia) katika hafla ya kuwakaribisha wahitimu 40 wa vyuo mbalimbali wasio na ajira ambao wamepatiwa fursa ndani ya GGML kupata mafunzo ya vitendo kazini kwa muda wa mwaka mmoja sambamba na wahitimu 10 wa mafunzo huo kwa mwaka jana ambao wamepata ajira ya kudumu ndani ya kampuni hiyo.

Meneja Mwandamizi wa masuala ya Rasilimali watu kutoka GGML, Charles Masubi (kulia) akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigella (kushoto) wakati wa uzinduzi wa programu ya mafunzo tarajali ya GGML kwa 2024/2025. Katikati yao ni Makamu wa Rais Mwandamizi wa AngloGold Ashanti – Kitengo cha Ubia na Ushirika Afrika kutoka AngloGold Ashant – GGML, Terry Strong na Katibu Mtendaji wa Chemba ya Migodi Tanzania, Eng.Benjamin Mchwampaka

NA MWANDISHI WETU

Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), mdau mashuhuri katika tasnia ya madini nchini Tanzania kwa zaidi ya miongo miwili, imekuwa mstari wa mbele katika kushughulikia suala muhimu la uhaba wa ujuzi na ukuzaji vipaji ndani ya sekta hiyo. Tangu kuanzishwa kwake mwaka 2000, GGML haijazingatia tu ubora wa utendaji kazi bali pia kuwekeza katika nguvu kazi ya baadaye ya Tanzania.

Kwa kutambua umuhimu wa kuandaa wafanyakazi wa baadaye na kukuza vipaji, GGML, kwa kushirikiana na wadau wengine, ilitoa mchango mkubwa wa zaidi ya dola milioni mbili mwaka 2009 katika kuandaa mitaala kuandaa vijana wa Kitanzania kupitia Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), Moshi. Mpango huu umezaa matunda kwa miaka mingi, ambapo zaidi ya vijana 1,400 wamepata mafunzo ya uchimbaji wa kina kifupi juu ya ardhi, hivyo kusaidia kupunguza uhaba wa ujuzi katika sekta hiyo.

Hata hivyo, dhamira ya GGML katika kukuza vipaji inazidi mafunzo ya ufundi stadi. Mnamo 2009, kampuni ilizindua mpango wa kuajiri wahitimu ili kutoa fursa za mafunzo kwa vitendo kwa wahitimu wa vyuo vikuu wasio na ajira. Programu hiyo ilikuwa na idadi ya wahitimu 12 kila mwaka hadi mwaka 2012. Baada ya kusitishwa kwa miaka mitano, GGML ya 2017 ilirjesha programu ya mafunzo kwa vitendo, ikiwapa vijana wa Kitanzania uzoefu muhimu wa kufanya kazi ndani ya GGML kwa mwaka, huku ikiwaruhusu kubobea zaidi katika fani zao. Kati ya 2017 na 2023, GGML ilichukua wahitimu 194 kwenye programu yake ya mafunzo tarajali.

Katika kupanua mafunzo hayo, mwaka huu 2024, kampuni hiyo imekuja na programu iliyopewa jina la African Business Unit (ABU) ambayo  ni zaidi ya program ya mafunzo Taraji ynayaotolewa kwa mwaka. Katika progamu hiyo ya ABU, jumla ya wahitimu 10 wa mafunzo tarajali kwa mwaka jana wamechaguliwa kuendelea na program hiyo ambayo mbali na kupata mafunzo ya juu zaidi pia wamepata ajira za kudumu ndani ya GGML.

Menejea Mwandamizi wa masuala ya Rasilimali watu, Charles Masubi anasema dhumuni la kuwa na mafunzo hayo tarajali kwa wahitimu wa vyuo vikuu kwanza ni kushirikiana na serikali kuhakikisha wahitimu wanapata ujuzi stahiki.

“Lakini pili, kwetu sisi GGML ina maana kubwa zaidi ya hapo kwani tunaandaa wafanyakazi wetu wa baadae tunatengeneza vipaji ambavyo huwa tunavichukua baada ya kuvinoa kutoka kwa wahitimu na kuwaajiri.

“Mbali na kuwafundisha kwa mwaka mmoja, pia tunawapatia kila maarifa wanayohitaji kwenye eneo lao la utaalam kama ni mhandisi tunahakikisha tunamfundisha na kumpa maarifa yote kwa vitendo akisimamiwa na wahandisi wabobevu,” anasema.

Masubi anasema program hiyo ya ABU inawajumuisha wahitimu wa vyuo mbalimbali waliomaliza progamu ya mafunzo tarajali kwa mwaka mmoja ndani ya GGML.

Hii ina maana kuwa baada ya kumaliza mafunzo hayo tarajali wahitimu waliofanya vizuri wanaunganishwa na waliopo kwenye migodi mingine ya Afrika ambapo wanafanya program kama hiyo ya GGML.

“Kisha tunawapa mafunzo ya juu zaidi ya ujuzi au juu ya elimu yao ya darasani, kama ni mhandisi tutamfundisha kuweka vipaumbele, makubaliano, kuandaa bajeti kupata ujuzi wa namna ya kuwasiliana kwa usahihi na wenzake. Kwa sababu vyote hivyo ni muhimu katika kufanya kazi,” anasema Masubi.

Anasema waashiriki wa program hiyo ya ABU, watashirikiana na migodi ya Afrika iliyo chini ya kampuni mama ya AngloGold Ashanti kwenye nchi za Ghana, Guinea.

“Wote watakuwa kwenye program inayofanana na lakini bado wakiendelea kubobea zaidi kwenye fani zao na kufanya mzunguko wa kujifunza zaidi kwenye migodi mingine.

“Hawa watu hatuwaandai kuishia kuwa wafanyakazi wa ngazi za chini, wakati mwingine tunawaandalia fursa ya kupanda juu na kuwa viongozi wakubwa wa kampuni haopo baadae,’ anasema Masubi na kuongeza;

“Tunapokuwa na programu ya pamoja tunatengeneza kiongozi ambaye atafahamu mila na desturi zetu za kazi kama kampuni, utamaduni wetu wa kazi, miiko yetu kila kitu kuhusu kampuni kwa hiyo ikitokea kiongozi huyu amepata nafasi kufanya kazi Ghana atakuwa na ufahamu wa kutosha.

“Atakwenda akiwa ameiva kwenye nyanja zote tunazozingatia AngloGold Ashanti mfano masuala ya uhasibu, uhandisi, mawasiliano, lazima awe vizuri kwa hiyo anakuwa mtaalam ambaye anaweza kuwa kwenye idara yoyote na kufanya kazi vizuri na kukua. Hilo ndio lengo kubwa la  kuanzishwa kwa ABU,’ anasema Masubi.

Mmoja wa wahitimu hao ni Diana Laswai ambaye mbali na kuishukuru GGML pia waliishukuru Serikali kwa kuendelea kuhamasisha sekta binafsi kutoa mafunzo kazini kwa vitendo.

Pia alitoa wito kwa wanafunzi wapya wanaoanza mafunzo hayo mwaka huu  kufanya kazi kwa bidii, kuzingatia nidhamu na kuzingatia tunu za GGML ambavyo ni usalama.

Evelyne Julius ambaye ni mhandisi wa masuala ya umeme naye anasema “nimejifunza vitu vingi. Uwepo wangu GGML ni fursa ya kipekee kwa sababu nitaweza kutekeleza miradi mbalimbali kwa ujasiri na ujuzi nilioupata,” alisema.

Mkunde Frank ambaye ni mteknolojia wa masuala ya jiolojia, naye anasema nafasi aliyoipata ya kuendelea kufanya kazi ndani ya GGML kupitia progamu ya ABU, imeendelea kumjengea kujiamini na kunoa zaidi ujuzi wake.

“Mathalani kwenye kitengo cha geolojia tumepata fursa ya kipekee, kila mfanyakazi anapewa uthamani bila kujali mkubwa au mdogo. Lakini hata ukishuka kwenye machimbo chini ya ardhi kila mfanyakazi anazingatia mafunzo aliyopewa kwa vitendo hasa katika kutekeleza kipaumbele cha kwanza ambacho ni usalama,” anasema.

Mkuu wa Idara ya Mafunzo na Ujuzi kutoka Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), Albert Rukeisa anasema hitihada hizo za GGML kwa zaidi ya miaka 15 zimekuwa chachu kwa waajiri wengine kuendelea kutoa nafasi kwa vijana kujifunza na kuongeza wataalam wa madini katika sekta hiyo.

About the author

mzalendo