Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

VYOMBO VYA HABARI KUWENI MSTARI WA MBELE KUANISHA CHANGAMOTO ZA KIUCHUMI NA KIFEDHA -DUCHI

Written by mzalendo
MENEJA wa Biashara benki ya CRDB Zanzibar, Abdalla Duchi (kushoto) akizungumza na viongozi wa Klabu ya Waandishi wa Habari Zanzibar (ZPC), walipofanya ziara ya kukuza mahusiano katika ofisi za benki hiyo zilizomo katika jengo la Michezani Mall, Zanzibar.
Screenshot_20240227-171800
MENEJA wa Biashara benki ya CRDB Zanzibar, Abdalla Duchi, akifafanua jambo wakati wamazungumzo baina ya viongozi wa benki hiyo na wa Klabu ya Wandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) yaliyofanyika katika ofisi za benki hiyo zilizomo katika jengo la Michezani Mall, Zanzibar.
Screenshot_20240227-171831
MWENYEKITI wa Klabu ya Waandishi wa Habari Zanzibar (ZPC), Abdallah Mfaume (kulia) na Mratibu wa klabu hiyo, Mgeni Hamad wakimsikiliza Meneja Biashara wa benki ya CRDB Zanzibar wakati wa mazungumzo baina ya vingozi wa ZPC na CRDB yaliyofanyika katika ofisi za benki hiyo zilizomo katika jengo la Michezani Mall, Zanzibar.
Screenshot_20240227-171847
MJUMBE wa Kamati Tendaji wa Klabu ya Waandishi wa Habari Zanzibar (ZPC), zuhura msabah akizungumza jambo wakati viongozi wa klabu hiyo walipofanya mazungumzo ya kukuza mahusiano na uongozi wa benki ya CRDB katika ofisi za benki hiyo zilizomo katika jengo la Michezani Mall, Zanzibar. Kushoti ni katibu mkuu wa ZPC, Mwinyimvua Nzukwi.
Screenshot_20240227-171902
AFISA Biashara na Mauzo, Lucy Mbuya na Afisa Ubora wa huduma wa benki ya CRDB, Zainab Ally, wakiwa katika kikao cha mazungumzo baina ya vingozi wa ZPC na CRDB kilichofanyika katika ofisi za benki hiyo zilizomo katika jengo la Michezani Mall, Zanzibar.
Screenshot_20240227-171919
VIONGOZI wa benki ya CRDB na klabu ya waandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya mazungumzo baina yao yaliyofanyika katika ofisi za benki hiyo zilizomo katika jengo la Michezani Mall, Zanzibar

Na.Mwandishi Wetu-ZANZIBAR

VYOMBO vya habari vimetakiwa kuwa mstari wa mbele kuanisha changamoto za kiuchumi na kifedha zinazoikabili jamii ili zipatiwe ufumbuzi na taasisi za kifedha.

Akizungumza katika kikao maalum na uongozi wa Klabu ya Waandishi wa Habari Zanzibar (ZPC), Meneja wa biashara wa benki ya CRDB Zanzibar, Abdalla Duchi, alieleza kuna changamoto ya uhaba wa elimu ya kifedha katika jamii jambo linalopelekea kuzorota kwa shughuli za maendeleo.

Alieleza kuwa pamoja na juhudi zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuhimiza ujasiriamali na uwezeshaji wa wananchi kiuchumi, bado elimu jumuishi ya kifedha inahitajika ili kuwe na matokeo chanya.  

Aidha Duchi aliahidi kuendelea kutumia vyombo vya habari na waandishi wa habari kueleza shughuli zinazofanywa na benki hiyo, hivyo aliwataka wanahabari kuendelea kushirikiana nao kusambaza elimu kwa umma.

“Niwapongeze kwa kazi kubwa mnayoifanya ya kuelimuisha  jamii juu ya masuala yanayohusu ustawi wao kiuchumi na kijamii jambo linalopaswa kufanywa kwa kasi zaidi kwa mashirikiano tunayoyaanzisha leo”, alieleza Duchi.

Alifafanua kuwa benki hiyo ina huduma mbali mbali zinazowagusa wananchi wa ngazi zote ikiwemo akaunti ya kiislamu Al Barakah na bima mbali mbali zinazoweza kuwanufaisha wateja pindi wanapopatwa na majanga, misiba au ulemavu.

“Miongoni mwa bidhaa tulizonazo ni bima ya mtu mmoja mmoja na ya vikundi ambayo hutoa mafao yasiyopungua shilingi milioni moja kwa ajali, kifo, majanga, ulemavu wa kudumu, elimu na kadhalika kwa gharama inayoanzia shilingi 1,000”, alieeleza Meneja huyo.

Awali Mwenyekiti wa ZPC, Abdallah Mfaume, alieleza lengo la ziara hiyo inayofanyika kila mwanzo wa mwaka ni kuimarisha mahusiano baina ya klabu na wadau wake.

Alieleza kuwa ZPC ni taasisi mwamvuli wa waandishi wa habari wanaoishi na kufanya kazi katika vyombo mbali vya habari vya ndani na nje ya Zanzibar ikiwa na jukumu la kuwaunganisha kitaaluma ili kujenga weledi wanachama wake kupitia shughuli mbali mbali.

Aliongeza kuwa katika kutekeleza majukumu yake, ZPC hutoa mafunzo yanayowajengea uwezo wanachama wake na waandishi wa habari hivyo kukua kwa mahusiano baina yake na benki hiyo kutaongeza uelewa wa jamii na wanachama wa klabu juu ya masuala ya kifedha na njia za kujiongezea kipato.

“Tumekuwa na utaratibu huu kila mwaka lengo ni kukumbushana juu ya namna bora ya kufanya kazi pamoja kwa malengo ya kukuza ufanisi wa malengo tuliyojiwekea kupitia shughuli za taasisi zetu”, alieleza Mfaume.

Kwa upande wake Meneja Biashara wa benki ya Kiislamu wa CRDB Zanzibar, Anwar Said, alieleza kufurahishwa kwake na ziara ya viongozi hao na kuongeza kuwa benki hiyo inaendelea kutoa huduma mbali mbali kupitia akaunti ya Al Barakah toka ilipoanzishwa mwezi Novemba 2021.

“Katika benki ya kiislamu kuna huduma na bidhaa nyingi sana ikilinganishwa na benki nyengine ambazo tutahitaji msaada wa vyombo vya habari kuujulisha umma”, alieleza Anwar.

Katika ziara hiyo Mfaume aliambatana na Katibu Mkuu wa Zpc, Mwinyimvua Nzukwi, Mjumbe wa Kamati Tendaji, Zuhura Msabaha na Mratibu, Mgeni Hamad wakati mbali ya Duchi na Anwar, CRDB iliwakilishwa na Afisa Biashara na Mauzo, Lucy Mbuya na Afisa Ubora wa huduma, Zainab Ally.

About the author

mzalendo