slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

casinoroyal

pusulabet giriş

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

marsbahis

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betgar, betgar giriş

betgar, betgar giriş

matbet, matbet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

betwoon giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

perabet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet giriş

bets10 giriş

tipobet

lunabet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

marsbahis, marsbahis giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

marsbahis

tipobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

galabet, galabet giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

betasus

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

meritking

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

holiganbet

matbet

marsbahis

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

holiganbet

Hacklink panel

matbet

kingroyal

matbet

matbet

Casibom

Featured Kitaifa

DKT. BITEKO ATAKA MIUNDOMBINU YA UMEME KUBORESHWA KWA WAKATI

Written by mzalendo

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko
akizungumza mara baada ya kuwasha umeme katika Kijiji cha Ikwavila
wilayani Wanging’ombe mkoani Njombe.

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko (wa nne
kushoto)  akikata utepe kuashiria uwashaji umeme katika Kijiji cha
Ikwavila wilayani Wanging’ombe mkoani Njombe. Wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka na wa tatu kutoka kulia Mbunge wa Wanging’ombe Dkt.Festo Dugange.

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko
(kushoto),  Mbunge wa Wanging’ombe Dkt.Festo Dugange (kulia) na Mkuu
wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka  (wa kwanza kutoka kushoto) wakipiga
makofi mara baada ya kuwasha umeme katika Kijiji cha Ikwavila wilayani Wanging’ombe mkoani Njombe.

……………………

Aagiza kituo cha kupoza umeme kujengwa Wanging’ombe

 Asema JNHPP imefikia asilimia 97

Ataka kigezo cha mavazi kisikwamishe watoto kwenda shule

Vijiji vyote 108 Wanging’ombe vyapata umeme

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko
amewaagiza wataalam kufanya ukarabati wa miundombinu ya umeme kwa
wakati ili kuwawezesha wananchi kupata huduma ya umeme ya uhakika.

Dkt. Biteko amesema tabia ya  kutobadilisha au kukarabati miundombinu
kwa wakati pale inapoharibika inawakosesha wananchi  huduma ya umeme
kwa kipindi kirefu.

Amesema hayo tarehe 21 Februari, 2024  wakati wa ziara yake mkoani
Njombe ambapo amewasha umeme katika Kijiji cha Ikwavila na Shule ya
Sekondari ya Wasichana Njombe iliyoko wilayani Wanging’ombe pamoja na
kukagua mindombinu ya uzalishaji umeme na nguzo za umeme katika
kiwanda cha TANWAT.

Dkt. Biteko ametoa maagizo hayo baada ya Mbunge wa Wanging’ombe, Mhe.
Dkt. Festo Dugange kueleza kuwa, Wilaya hiyo ina changamoto ya radi
nyingi zinazosabababisha transfoma kuungua kwa takriban 50 hadi 60 kwa
mwaka lakini ubadilishaji wake umekuwa ukichukua muda mrefu na hivyo
kuathiri shughuli za kijamii na kiuchumi.

“Hili suala la transfoma inaungua halafu inachukua hadi mwezi mmoja
kubadiliswa, uzembe huu haukubaliki,  Idara ya Manunuzi TANESCO
tumeibadilisha kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kama hii ya
uzembe wakati  vifaa hivi vinazalishwa kwenye viwanda vya ndani,
tunataka watendaji hawa waone shida wanazopata wananchi na kuzitatua,
kweli kuna changamoto ya umeme lakini kuna baadhi ya matatizo TANESCO
wanaweza kuyamaliza.”  Amesema Dkt. Biteko

Amesema kuwa, Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan hataki kero ya umeme
iendelee ndio mana utekelezaji wa mradi wa umeme wa Julius Nyerere
(JHNPP) unaenda kwa kasi na sasa umefikia asilimia 97 na mtambo mmoja
umekamilika utakaoingiza megawati 235 kwenye gridi mwezi huu huku
mtambo mwingine ukitarajiwa kuingiza megawati nyingine 235 mwezi Machi
mwaka huu.

Kuhusu ombi la Mbunge wa Wanging’ombe kupata  laini ya umeme
inayojitegemea kwani laini ya sasa inatumiwa pia na eneo Lupembe na
TANWAT mkoani Njombe na hivyo kufanya umeme wilayani humo kuwa hafifu,
ameagiza TANESCO kujenga kituo cha kupoza umeme wilayani humo ili
kutengemaza hali ya upatikanaji umeme..

Dkt. Biteko amesema kuwa, Serikali imeamua kwa nia moja kuwaletea
maendeleo wananchi kwa kutekeleza miradi katika Sekta zote ikiwemo
Miundombinu, Nishati, Afya, Maji na ndio maana wilaya hiyo ya
Wanging’ombe imesambaziwa umeme kwenye vijiji vyote 108 na zaidi ya
asilimia 56 ya vitongoji wilayani humo vimesambaziwa umeme huku kazi
ikiendelea na kwamba shilingi Bilioni 9 zimetengwa kwa ajili ya
kusambaza umeme wilayani humo.

Katika hatua nyingine. Dkt.Biteko amewataka wananchi kutoruhusu
itikadi za vyama kuwagawanya hasa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa
utakaofanyika mwaka huu na kusisitiza kuwa watumie uchaguzi huo
kuchagua viongozi wanaowaunganisha na kuwaletea maendeleo.

Aidha ameagiza viongozi mbalimbali wa Serikali kujikita kwenye kutatua
changamoto.za wananchi na kuwapelekea maendeleo na si kushughulikiana.

Vilevile, Dkt. Biteko ameagiza kuwa, watoto wote wanaopaswa kuripoti
mashuleni wafanye hivyo na kuelekeza wasimamizi wa Elimu kuhakikisha
kuwa hakuna mtoto anayekwamishwa kuripoti shule kwa sababu ya kigezo
cha mavazi kama vile viatu kwani suala la msingi kwa watoto hao ni
elimu.

Kwa upande wake, Mbunge wa Wanging’ombe, Mhe. Dkt. Festo Dugange
amempongeza Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa utekelezaji wa miradi
mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ya Afya, Elimu, Nishati na Maji katika
wilaya ya Wanging’ombe.

Kuhusu miradi ya umeme vijijini, ameishukuru Serikali kupitia Wizara
ya Nishati kwani vijiji vyote108 katika Wilaya ya Wanging’ombe vina
umeme na katika vitongoji 523 wilayani humo tayari vijiji 295 vina
umeme na kazi ya kupeleka umeme kwenye vitongoji vingine ikiendelea.

Awali Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (
REA), Mhandisi Godfrey Chibulunje alisema kuwa, Mkoa wa Njombe
umetengewa shilingi biioni 70.44 kusambaza umeme vijijini huku
Wangingombe ikipata shilingi bilioni 9.35.
Kuhusu usambazaji umeme vijijini mkoani humo amesema.kuwa katika
vijiji 381 tayari vijiji 361 vina umeme sawa na aslimia 94.75

Katika vitongoji amesema kuwa Mkoa una vitongoji 1836 ambapo vitongoji
1148 vina umeme sawa na asilimia 62.5 huku kazi ya kusambaza umeme
kwenye vitongoji vilivyosalia ikiendelea.

Kwa nyakati tofauti viongozi mbalimbali wa Wilaya hiyo wamemshukuru
Dkt. Biteko kwa kuwa kiongozi wa kwanza kufika katika kijiji cha
Ikwavila na hii ikionesha jinsi anavyofuatilia utekelezaji wa miradi
kwa umakini.

About the author

mzalendo